BB If I may ask, ulishawahi kuwa kanyumba kadogo ka mtu?....If not ulijuaje hii siri kubwa namna hii?Ila twende nyuma twende mbele, nyumba ndogo zinafaidi jamani, yaani utakuta jamaa kwake round moja chali, kwa nyumba ndogo mpaka povu linamtoka,bado atapewa story za nyumba kubwa zooote bila chenga, hapo inampa urahisi wa kurekebisha zile weakness za nyumba kubwa, inauma sana
Hommie....ex Saint RR....hapa naona unataka kuanza ujenzi ila nikutahadharishe hiki kiwanja kimeshanunuliwa na mtu na ana hati kabisa...lol
..............
Naenda kuikana signature yangu...........! Afu nakusemea kwa nyumba ya vigae.
Kibaya zaidi nasikia kiwanja chenyewe kimenunuliwa na mtoto wa Gadaffi........ hommie, utahudhuria mazishi ya hommie?
Siyo kila kilichopo kwenye shelf kinauzwa!...........First warning!Hivi nyumba ndogo huwa haziuzwi? I mean kama nina hela ya kununua...and the user is ready to sell....lol
Siyo kila kilichopo kwenye shelf kinauzwa!...........First warning!
Not me.......but Kaizer!Feudalism.....
Not me.......but Kaizer!
....Ambacho ningependa hasa tufikia muafaka ni kwa nini ziliitwa 'nyumba ndogo'?
Kingine...ni wakati gani hasa nyumba inakuwa rasmi nyumba ndogo.....kutofautisha na a one nite stand lets say....au kafling ka siku mbili...ni mwaka? mwezi? au wiki? au material investments? factors zipi zinadetermine kuwa ''sasa hii ni nyumba ndogo'" kwa mtizamo wa kijamii?
Karibuni tushee maexperience hapa......
Oh Shem sorry (Nlifikiri umeweka kambi kule kwenye makisses, nafuta kauli mpaka utakapo LOG OUT)Dah!!! (najua ugomvi wa wanaume hauingiliwi but i can not agree with Sweetie's name kutajwa in relation to that... hata kama ni ODM Khaa! I'm OFF )
babu mie tenaBB If I may ask, ulishawahi kuwa kanyumba kadogo ka mtu?....If not ulijuaje hii siri kubwa namna hii?
Khaaa! Hapa itakubidi either uthibitishe au ukanushe kauli yako. Vinginevyo nitaunda tume afu nitamwomba Asprin awe msemaji mkuu!Hommie....ex Saint RR....hapa naona unataka kuanza ujenzi ila nikutahadharishe hiki kiwanja kimeshanunuliwa na mtu na ana hati kabisa...lol
Nyumba ndogo ni haramu kabisa; tena ni aibu kwa mtu kusema ana nyumba ndogo. Nyumba ndogo ni uhuni. Ridhika na mke wa kwanza tu.
Khaaa! Hapa itakubidi either uthibitishe au ukanushe kauli yako. Vinginevyo nitaunda tume afu nitamwomba Asprin awe msemaji mkuu!
Hommie....hapo ulitaka kusemaje hebu rudia tena....kabla sijakubomolea nyumba ndogo yako kwa greda...:A S 100:
Afadhali kaka (your name says it) Naomba mawazo yako hivi ni kwanini saizi inaongezeka saana kwa kasi pamoja na kusema kuna maradhi lakini bado kaka/baba/waume zetu hawaelewi kabisa somo na cha ajabu maisha yamepanda saana hivo kuongeza gharam juu ya gharama?? Na katika marafiki wakaribu lets say watato ni wangapi umeshuhudia kua wana nyumba ndogo??
NiliulizaBB If I may ask, ulishawahi kuwa kanyumba kadogo ka mtu?....If not ulijuaje hii siri kubwa namna hii?
Nikajibiwa, sina tena swali.babu mie tena
Hapa nikapewa ulaji............Khaaa! Hapa itakubidi either uthibitishe au ukanushe kauli yako. Vinginevyo nitaunda tume afu nitamwomba Asprin awe msemaji mkuu!
Hommie akataka kunitibuliaSL mpendwa sikurupuki...sasa hapo kauli sifuti nasubiri tume....kesi ya Nyani kupeleka kwa ngedere....lol
Hapa hommie akazidi kuniharibiaHommie....hapo ulitaka kusemaje hebu rudia tena....kabla sijakubomolea nyumba ndogo yako kwa greda...:A S 100:
Huyu ndo akaamua kuua mazimaUtakua na magreda ya kutosha?
Kama hukutakata MTONI usitegemee kutakata BAFUNIAisee unamaanisha anazo nyingi sana........
Almost not good enough...Wewe wasema hommie...