Kwa Wanaume: Ulijuaje kama hiyo Style yako ya kunyoa inakupendeza? Ushawahi take risk kujaribu Style nyingine?

Kwa Wanaume: Ulijuaje kama hiyo Style yako ya kunyoa inakupendeza? Ushawahi take risk kujaribu Style nyingine?

Kama Delima kile kisahani sikichoki...huku namaliza kisahani cha Crown kwa road 🤣🤣

Onyo: Sio mimi Vijana wa Makumbusho hao
 
Upara ndio siwezi kunyoa hata siku moja. Nina style yangu, sijui mnaita ngazi tatu...
Kila baada ya wiki mbili nanyoa.
Nyoa para labda una kichwa kibaya sawa na mimi kuvaa pensi eti natamba nayo mtaani siwezi
 
Binafsi sipendi hekaheka, nywele za brash zinanitosha halafu namwambia kinyonzi usichonge ili nywele zikiwa kubwa nakuwa kama mwalimu Nyerere.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alikuwa ananyoa para anaonekana kama mtu mzima sana, nikasema wacha kinyozi wakujitolea niingie kazini,. Sijui ndio wanaiita "Push Back " Au nini inamkaa poa sana kijana wangu
 
, zinajikata zenyewe na kitana
1738941321628.png
 
Back
Top Bottom