Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #21
so unatakaje??Kimo kifupi manake naniliu fupi
Unakihere hereTunaomba video yako ukiwa umejibinua
Kweli.Uongoo
Hivi umeoaga saivi unawatoto wangapi?? Mie sio single ila mie sina mtotoKweli.
Wewe sio mvivu?
Picha yako na video tuhakikishe unasema kweliMimi kiasi
4.4 ni nini sasa? Ft au m?4.4 bhana
Ft4.4 ni nini sasa? Ft au m?
Nimefurahi sanaYote ni kazi ya mungu alivyo tuumba Mimi mwenyewe ni mfupi sana 😁😂 ila huyu chinga Intelligent businessman ni mfupi kama wale mbilikimo wa congo sijui kwa sababu anashinda sana kwenye mabibo huko kwao lindi na anapigwa sana makwenzi na wake zake
HahahaHivi umeoaga saivi unawatoto wangapi?? Mie sio single ila mie sina mtoto
Tupe tukuone ulivyo msupuUnakihere here
Wewe umeshaoa??Hahaha
Unazingua nimekuuliza kama sio mvivu
Ukuje nithibitishe mrembo wa kaskazini.
Aaaha wapi huwezi kumfanyia hivyoNimempiga block
Wanawake wafupi ving'ang'anizi halafu wana gubu sanaKwa wanaume na wanawake,
Mnawachukuliaje wanawake na wanaume wafupi??
Maana humu comments nyingi .
Mnawasema vibaya kwani wanashida gani??
Tuambieni tujue
Sasa 4.4ft si ni special case.
Siku zote kitu kizuri hupata upinzani mkubwa. Wanaume wafupi ni mapambo ndio maana wanapata upinzani mkubwa. "Niliambiwa maneno haya na jamaa mmoja miaka kadhaa iliyopita"Kwa wanaume na wanawake,
Mnawachukuliaje wanawake na wanaume wafupi??
Maana humu comments nyingi .
Mnawasema vibaya kwani wanashida gani??
Tuambieni tujue
NjooWanakuja