Khaaa!
Hii movie ingekuwa halisi mmmmh, sijui?!!!!!
Mimi bana upara wa michelle umeniturn on kweli, hata sielewi naandika nini.Nani kasema bila kompetishen??
Hata Asha D alale vipi, lazima ndundi zipigwe
Tena Asha D anapiga ka Asha Ngedere
Usione nilikaa kimya... nilikupotea dear,, naona umeamua unyoe upara... umepata contract ya modelling eeeh.... Enways good nite mpenzi and sweet dreams, naomba utaniagia na hao lovebirds.... By the way ulivyonyoa napo umependeza....
Ndio my dear nimepata contract ya modelling,kaniunganishia Kanye West.....nafurahi kusikia nikinyoa napendeza, manake nilikuwa nahofia bichwa hili....lolest!!!!! haya,mwenyewe nataka niage,ni muda wa watu wazima kulala,watoto kina Kloro wabaki hapa.....goodnight dearest and sweetdreams......Lizzy and CPU, dearest Asha says, 9t 9t and enjot the rest of the day....lol:A S-rose:
akili kumkichwa......CPU kama ni mlalahoi Lizzy atamtunza as uwezo anao....kuwa tu JF analipwa dola 1000 kwa siku....sasa wewe Kloro muuza chipsi maarufu mwenye ndoto za kuwa na Halle Berry ninauwezo wa kukufungulia mgahawa ukatulia pale ukatoa huduma zako za chipsi...so ngoma droo,hakuna ubaya!!:A S-rose:Halaf michelle bana, yaani anamsukumiza Lizzy kwa mlalahoi CPU ili yeye apate chansi ya kujilengesha kwa faifu star klorokwini bila competition.
gud naiti bana! niote nimevaa boxerNdio my dear nimepata contract ya modelling,kaniunganishia Kanye West.....nafurahi kusikia nikinyoa napendeza, manake nilikuwa nahofia bichwa hili....lolest!!!!! haya,mwenyewe nataka niage,ni muda wa watu wazima kulala,watoto kina Kloro wabaki hapa.....goodnight dearest and sweetdreams......Lizzy and CPU, dearest Asha says, 9t 9t and enjot the rest of the day....lol:A S-rose:
gud naiti bana! niote nimevaa boxer
Khaaa! Hollywood wakiona hii post hakyababu hupewi viza ya marekani.akili kumkichwa......CPU kama ni mlalahoi Lizzy atamtunza as uwezo anao....kuwa tu JF analipwa dola 1000 kwa siku....sasa wewe Kloro muuza chipsi maarufu mwenye ndoto za kuwa na Halle Berry ninauwezo wa kukufungulia mgahawa ukatulia pale ukatoa huduma zako za chipsi...so ngoma droo,hakuna ubaya!!:A S-rose:
uzito wa nywele na kemikali ulikuwa unaharibu uwezo wangu wa kufikiri.....una lingine???tangu ubadilishe avatar unaongea mapointi kweli aisee
kama unataka mafanikio,usimweke maanani Kloro.....:dance::dance::dance:Hahahah...mapenzi hadithi nyingine dearest...mpaka mwenyewe najishangaa nilivyokua mpole!!Mhhh unamwona Kloro lakini...anasema eti unaogopa kompetisheni!!
ha ha ha haaaaaaaaaa CPU kakupiga wajidai upara wangu,em rudi kwa topicMimi bana upara wa michelle umeniturn on kweli, hata sielewi naandika nini.
Meaning......?!
rangi ya CCM, made in ParisUnayo????!
Jokes have nuthing to learn to be compared with serious issues
:A S 103::A S 103: siku utavaa boxer ndo siku utaondoka kwenye kuuza chipsi...nitakuota isiwe tabu....!!gud naiti bana! niote nimevaa boxer
si ndo kasema nimuote dearest....hana boxer,hela ya chipsi ndo hiyo anaendea internet cafe...priority namba one kwake ni JF:dance::dance:Unayo????!
rangi ya CCM, made in Paris
:A S 103::A S 103: siku utavaa boxer ndo siku utaondoka kwenye kuuza chipsi...nitakuota isiwe tabu....!!
si ndo kasema nimuote dearest....hana boxer,hela ya chipsi ndo hiyo anaendea internet cafe...priority namba one kwake ni JF:dance::dance:
Ndio my dear nimepata contract ya modelling,kaniunganishia Kanye West.....nafurahi kusikia nikinyoa napendeza, manake nilikuwa nahofia bichwa hili....lolest!!!!! haya,mwenyewe nataka niage,ni muda wa watu wazima kulala,watoto kina Kloro wabaki hapa.....goodnight dearest and sweetdreams......Lizzy and CPU, dearest Asha says, 9t 9t and enjot the rest of the day....lol:A S-rose:
:A S 103::A S 103: siku utavaa boxer ndo siku utaondoka kwenye kuuza chipsi...nitakuota isiwe tabu....!!
si ndo kasema nimuote dearest....hana boxer,hela ya chipsi ndo hiyo anaendea internet cafe...priority namba one kwake ni JF:dance::dance:
Nikilegea ulimwengu utajazwa na nani?Shindwa na ulegeee!
hauwezi kuamini napost kutumia remote tu hapa. Hii teknolojia bado tandale haijafikaHahhahahha...haya kalale dearest mwache Kloro abaki kumkomoa mwenye cafe!