Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Nakupa lipa namba😂ya jfNaomba control number 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupa lipa namba😂ya jfNaomba control number 😂
Elufu hamusini🥲Nitanunua yote mrembo kwani ni gunia ngapi?
Tendo la ngono halipimwi kwa magoli bali muda. Ipi bora kati ya bao 3 ndani ya dakika 10 na bao 1 ndani ya dakika 45??....Viwili havichoshi kuanzia viwili ndio najua nimelala na mwanaume
Ukifatilia sana wapiga chabo ni wapenzi sana wa pornograph na huishia kupoga pull na hawajui kutongoza. Chabo na pono ndo chakula chao.Tabia mbaya kuchungulia vibamia vya watu
Mimi ni mwanamme lakini nakushinda kwa kujua kinachowakera zaidi. Mapenzi siyo ngono. Hili ndilo kosa wanalofanya wabongo wanaume wengi. Hata kama atapiga goli kumi kila siku, bila mapenzi ni bure. Mwanamke anataka zaidi ya kitanda ili amheshimu mumewe. Trust me. Mwanamke anataka umwonyeshe mapenzi na siyo ubingwa wa kusugua. Kmoja kinaweza kumtosheleza na vitano vikamkera na akakuona kama fisi. Na neno ''mapenzi'' limefungasha maana kubwa.kimoja hapo anakoroma mpaka unafikiria anakata roho.
Uko sahihi. Lnapimwa kwa muda, matendo na maneno. Namna mnavyo-interact. Namna mnavyopendana. Ingekuwa ni magoli basi changudoa asingeweza kuhudumia wateja mpaka kumi kwa sikuTendo la ngono halipimwi kwa magoli bali muda. Ipi bora kati ya bao 3 ndani ya dakika 10 na bao 1 ndani ya dakika 45??....
🤣🤣🤣 Na asipokuwa makini ataharibika kweliMadam unatuharibia huyu kijana mleta uzi 😂😂
We em toka hapo ogopa hata moto kama Mungu humuogopi😂😂😂😂sisi mabikira tunachukua ujuzi
🤣🤣Utafika mbinguni ukiwa umechoka sana mkuuMimi nipo tayari uniite na unione bahili lakini vibunda vyangu na uchumi ubaki intact ili hata ukinichoka na wenzio wanaonimezea mate wakijua mi nina hela na hawajui mi bahili na wao wapate nafasi niwakule then wasanuke mi bahili wasepe and the circle continues........Men, please keep your money for yourselves....
Kwani jf ndo inayouza mahindi?😂Nakupa lipa namba😂ya jf
Yah nakuunga mkono kwenye hili kama huyu wa kwangu yeye hapendi masaa mengikuna wanawake wengine kimoja tu wametosheka, kimoja cha dk 20-30
Story yako nzuri ila mwishoni imegeuka chai hakuna mwanamke anayeweza kumpiga mwanaume kofi hata kama hajaridhika na show yakoKwa ufupi na kwa uchache sana kibamia kilimuangusha jamaa akapoteza pambano sababu kilikuwa kinachomoka nje mara kwa mara pindi alipokuwa anapambania kombe kwa kukata tako nzito nzito zenye ujazo nusu.
Alipigwa kofi la uso na demu(hapo ndo nilipo cheka)
Umeambiwa kitandani😅😅😅yani wewe na pesa🙌Ubahili.
Unapendelea angalau vifike vingapi?kimoja hapo anakoroma mpaka unafikiria anakata roho.
Broo kama unatumia comment za humu ndani ili ujue jinsi ya kumshughulikia mpenzi wako, unakosea. Wanawake wametofautiana, wanawake wana sexual attributes tofauti, vitu anavyopenda huyu sio anavyopenda mwingine.ok vipi romance unapenda? na unapenda unyonywa na kulambwa maeneo gani?
wao wenyewe hawajui wanataka nini just imagineBroo kama unatumia comment za humu ndani ili ujue jinsi ya kumshughulikia mpenzi wako, unakosea. Wanawake wametofautiana, wanawake wana sexual attributes tofauti, vitu anavyopenda huyu sio anavyopenda mwingine.
Ongea na mpenzi wako ujue anataka nn, hio ndo njia pekee nzuri ya kupata majibu sahihi.
(Utanirekebisha kama nimekosea)
Naona umechanganya mafile,,hebu fatilia tulkua tunaongelea nin🤣,, sjambo shkamoo 😌