Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Hahahaha 😂😂😂 relax JamaniiiiWe em toka hapo ogopa hata moto kama Mungu humuogopi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 😂😂😂 relax JamaniiiiWe em toka hapo ogopa hata moto kama Mungu humuogopi
kweli?mimi naona ni sawa tu maana inachukua almost 70% ya maisha yetudah sex is overrated!
No mimi nasoma comments ili nijue watu hufikiria nini,ama kuhusu kujua nini cha kumfanyia mwanamke wangu,bro nisikie mimi nasoma sana vitabu,kila siku huwa nasoma kitabu,majarida na kuangalia chaneli mbalimbali za tvBroo kama unatumia comment za humu ndani ili ujue jinsi ya kumshughulikia mpenzi wako, unakosea. Wanawake wametofautiana, wanawake wana sexual attributes tofauti, vitu anavyopenda huyu sio anavyopenda mwingine.
Ongea na mpenzi wako ujue anataka nn, hio ndo njia pekee nzuri ya kupata majibu sahihi.
(Utanirekebisha kama nimekosea)
Abee!Ubahili kitandani!!!??
Babe ujue ni kamchakato eeh🤣🤣🤣Umeambiwa kitandani😅😅😅yani wewe na pesa🙌
Ujengewe sanamu pale karibu na stand ya magufuli.Broo kama unatumia comment za humu ndani ili ujue jinsi ya kumshughulikia mpenzi wako, unakosea. Wanawake wametofautiana, wanawake wana sexual attributes tofauti, vitu anavyopenda huyu sio anavyopenda mwingine.
Ongea na mpenzi wako ujue anataka nn, hio ndo njia pekee nzuri ya kupata majibu sahihi.
(Utanirekebisha kama nimekosea)
Kweli umeongea pointBroo kama unatumia comment za humu ndani ili ujue jinsi ya kumshughulikia mpenzi wako, unakosea. Wanawake wametofautiana, wanawake wana sexual attributes tofauti, vitu anavyopenda huyu sio anavyopenda mwingine.
Ongea na mpenzi wako ujue anataka nn, hio ndo njia pekee nzuri ya kupata majibu sahihi.
(Utanirekebisha kama nimekosea)
Aiseeeeeee!!Naona umechanganya mafile,,hebu fatilia tulkua tunaongelea nin🤣,, sjambo shkamoo 😌
usifanye mashara bro,mimi nasoma sana,na zaidi ya hapo Mola amenijalia kipaji kikubwa sana,naongea kwa ufasaha kiswahili,kiingereza,kifaransa,kijerumani,kilatini ambacho nilisoma seminari,kireno na kispaniola na kijaluo maana nimeishi kisumo kenya,nikifundisha maseno miaka 7Ujengewe sanamu pale karibu na stand ya magufuli.
alivyofikiri sivyo nifanyavyoKweli umeongea point
Uuuuwii. Mwisho wa dunia ni kesho kwa sababu uongo uliozidi uongo wowote duniani umefunuliwa.😂😂😂😂sisi mabikira tunachukua ujuzi
kwenye angle gani?kweli?mimi naona ni sawa tu maana inachukua almost 70% ya maisha yetu
kwa engo hii,kila set ya watu,wawe wanawake kwa wanawake wanaongea na wenzao,au wanaume wakiongea na wanaume au wakiwa mchanganyiko,asilimia 70 ya maongezi yao ni sex,maisha ya unyumba,sex inachukua asilimia hizo nilizozitajakwenye angle gani?
Chache hizo nitanunua.Elufu hamusini🥲
Kwanini umemtag dkt?@ dkt gwajima
Kwanini?we tutashindwana bei
sjawahi fka dasilamu,sooo utanpga bei za kijanja za ki dasilamuKwanini?
Karibu mteja ingia na viatuChache hizo nitanunua.
Sawa mrembo, Sasa negotiations tunafanyia hapa?Karibu mteja ingia na viatu
Bei unachagua wewe mrembo na hela inatumwa kwanzasjawahi fka dasilamu,sooo utanpga bei za kijanja za ki dasilamu