Kwa wanawake: Wanaume tuliowengi tunapenda majibu ya moja kwa moja.

Umewahi kusikia kisa cha "a man of few words"?
 
Hahaa ... wewe nawe ni guru sana kwenye hii sekta .. ma-gentleman huwaga ni watu hatari sana wa kimya kimya kama Toxic

Sent using Jamii Forums mobile app

Old schools techniques and then uki integrate na new age technology (hapa nazungumzia baada ya simu kuja) hukwami sana.

Ingawa kwa umri wangu sasa hivi haya mambo yameshapita.
 
Hahahaha, we sikuwezi Mkuu

MTC | 101| [emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…