Kwa wanawake wote mliofunga PM

Kwa wanawake wote mliofunga PM

Dada wanasemaga eti ukitokewa kwani huwezi kukataa na kusema ushawahiwa?

Pia nasikiaga wengine wanasemaga eti si kila anayekuja huko anakuja kwa ajili ya mtongozo eti hivyo ikaage tu wazi. [emoji1787][emoji1787]
Hawajui tuu adha ya PM, mimi huwa nakomaaga nao hivyo hivyo tuu!
 
Ukimaanisha nini ndugu Kwamba Ke wanafungua au ndio wanapotezea hizo kauli na kuendelea na makufuli yao?

Au unasemea mwanaume mwenye uwezo wa kuyasema hayo jukwaani?
Wanawake wapo wanao fungua


Na

Wanaume wanao weza kusema hivyo ni wachache sana


Na wanao weza kusema ni wale walio Sirius na jambo
 
Mimi sina wasiwasi na kufunga kwako, najua siku nikitaka tujadili mambo yetu private nakutafutaje.

VPL sindikizeni tu, bingwa anajulikana.
Ewaaaa!!! Sawa sawa kabisa Mtan.

Mpaka sasa Mtani bado hasa baada ya Mwadui kuwastopisheni juzi hapo muombee tu viporo tuvipoteze walau tukiwa mechi sawa muwe angalau mumetuzidi kwa Points hata tano.
 
Janga la kitaifa
Dahhh...
Pole sana comrade, maana hata mimi ni muhanga mkuu wa hili linalo kusibu.
Yaani tangu nijiunge humu Jf, sijawahi kubahatika hata onetime kupata mawasiliano ya huko PM kwa walimbwende wa humu aiseeee
 
Back
Top Bottom