Aziz Ki Mayele
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 899
- 1,955
Tumefunga Mazembe nje ndani, kwani Mamelod na Mazembe nani nguli?Unadhani fainali za CAFCL ni mataqo? Miziki ya Mamelod na Al Ahl ndio ucheze na hao kina Aziz Ki?
Kwamba wana aili nyingi lakini wanacheza mpira wa mtaani[emoji23][emoji23][emoji23]mamerod.wanacheza.mpira.wa.mtaani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mm ushaur wangu kwa yanga ni wachezaj waongezewe mazoez ya kubeba tofar za inchi sita zinasaidia sana
Unaumwa wewe? Hata kulinganisha Mazembe na Simba Sc huweziTumefunga Mazembe nje ndani, kwani Mamelod na Mazembe nani nguli?
Hao wachezaji wapo ila bei yake sasa...ndio kizingimkuti.Yanga inahitaji mawinga wawili wabunifu wanaoweza kudrible na wenye speed, morison na kisinda watemwe moloko abaki ila asiwe kikos cha kwanza.
Winga kama kisinda na moloko ni ma winga wa kizaman sana hawaendan na mpira wa kisasa, wanahitajika mawinga wanaomfata beki wakiwa na mpira kisha wanaingia ndan kufunga au kutoa pasi.
Pia yanga inahitaji kiungo wa kati namba 8 mwenye uwezo wa kukaa na mali kama niyonzima, mchezaji mwenye first touch nzuri sio kama sure boy ambye ni mzur ila first touch yake sio nzuri, kiungo mwepes mwenye uwezo wa kukaba na kumiliki mpira ili wawe wanapishana na aucho.
Alafu namba kumi mwenye uwezo wa kukaba na kushambulia mwenye uwezo wa kupiga pasi za mwisho kiufund na kupiga mashuti kiusahihi.
Yanga inahitaji wachezaji 4 tu kuboresha kikos mawinga wawili ,kiungo wa kati namba 8 na kiungo mshambuliaji namba 10
Acha kujifananisha na wanaojua.Tumefunga Mazembe nje ndani, kwani Mamelod na Mazembe nani nguli?
Kwani unalinganishaje wewe usiyeumwa?! Unalinganisha kwa parameters zipi?Unaumwa wewe? Hata kulinganisha Mazembe na Simba Sc huwezi
Wanaojua dhidi ya Mazembe ni wapi? Mamelodi au Simba taja moja moja then twende sawaAcha kujifananisha na wanaojua.
Inaonekana upstairs haupo vizuri..
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Stamina na ball control.mm ushaur wangu kwa yanga ni wachezaj waongezewe mazoez ya kubeba tofar za inchi sita zinasaidia sana
Simba Sc kacheza na Wydad na hakupigwa hizo 4, aje kupigwa na hao walioko mkiani Algeria?Na huu ni mpira wa kizamani. USMA walikua dhaifu mno jana..hadi mashabiki kuwasha mabaruti zilikua janjajanja za kupoteza muda na kupumzika. Walikua dhaifu mno..mnoo..mnoo...ila yanga tuu hawakustukia mapema.
Angalia walivyokuwa wanamkaba mayele na kum-mark Morrison alipoingia..coz walijua kuwa hawa ndio hatari.
Morrison ana dribbling nzuri sana.
Wangepata playmaker mmoja au wawili jana..mbona mechi ingekua rahisi mno.
Laiti simba angekutana na wale..wangechakazwa kinomanoma yaani..wangepigwa hata nne
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Ulicheza na Azam, Nangwanda kule, vipi ulishinda? Hata kikombe cha Ghahwa hamjapata.Simba Sc kacheza na Wydad na hakupigwa hizo 4, aje kupigwa na hao walioko mkiani Algeria?
Tofauti na ile penalty hakuna la maana mlilofanya jana.
Simba Sc kacheza na Wydad na hakupigwa hizo 4, aje kupigwa na hao walioko mkiani Algeria?
Tofauti na ile penalty hakuna la maana mlilofanya jana.
Finalist kaingiza dola milioni moja na bingwa kaingiza dola milioni mbiliWampe Nabi mahitaji anayo yataka,wamwachie yy apendekeze wachezaji wa kiwasajili na mwisho viongozi waache ubahili, hela ambayo Yanga kaingiza kwenye michuano hii ina karibia dola 3m,inatosha kufanya usajili wa wachezaji hawa 3-5 wakubwa na nyingine tufanyie mambo mwengine.
Tukifanikiwa kumbakisha Nabi,Mayele na Diara ,tutakuwa hatari sana.
Kuimaintain ni vigumu kwa sababu hatuna hela, mayele wanamtaka wakamlipe 50m yanga wanamlipa 16m, huyo atakubali kubaki?Hii timu wai maintain tu, na waongeze wachezaji 2 tu, we are ready to go
Kama team bora ni lazima ishinde siku zote,Ulicheza na Azam, Nangwanda kule, vipi ulishinda? Hata kikombe cha Ghahwa hamjapata.
Unapozungumzia champions league ili ucheze nusu fainali unalazimika kumtoa mmoja kati ya wydad, esperence, al ahly na mamelodyYaan wale hawana bahati kabisaa, msimu wa 4 huu wanaishia Robo na nusu, afu kikosi chao ni boraa sanaaa.
Ujinga mwingine tulionao ni huu, "japo tumewafunga lakini chenga tumewalamba"Mechi ya Al hilal zote 2 yanga ndo walicheza vzr kuliko Al hilal tuwe wakweli .
Ila ukweli una baki pale pale viungo wa yanga kama sure boy sio wa kuwategemea kbsa mfano mudathir ni mzur kukaba tu ila hana ubunifu, na pia sure akikutana na team inayokaba kwa nguvu utamktaa kwasababu kwanza ni mchezaji ambye hana first touch nzuri, anahitaji kupokea mpira akiwa ktk nafas kubwa bila kubugudhiw sas mechi za ushindan lazma apoteze tu mipira.
Kiufupi pale yanga wachezaji wa kati wenye first touch nzuri ni aucho, bangala na aziz ki japo aziz anazingua
Kijana fanya kitu kutokana na uchumi wako unavyokuwa,Al Ahly wana uchumi mkubwa wana resources kibao na mashabiki wao wana isupport timu yao kwa michango sio kama kwetu,oya oya nyingi michango hatutoi.Finalist kaingiza dola milioni moja na bingwa kaingiza dola milioni mbili
Kuhusu bajeti ya usajili; itakuwa kituko mwanamichezo wa bongo kuamin kuwa tunaweza kucompete kusajili quality players na waarabu, wakati sisi tunasajili kwa bilioni moja au mbili kikosi chote, al ahly wanasajili mchezaji mmoja kwa bilioni10
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Hao mamelod waliishIa wapi? Nimegundua kumbe ndo maana ya wazungu na wafricaUnadhani fainali za CAFCL ni mataqo? Miziki ya Mamelod na Al Ahl ndio ucheze na hao kina Aziz Ki?
Nitajie bara ambalo timu zote huchukua kombeHao mamelod waliishIa wapi? Nimegundua kumbe ndo maana ya wazungu na wafrica