Kwa Wanayanga: Nini Kifanyike ili Yanga icheze Fainali ya CAF Champions League msimu ujao

Kwa Wanayanga: Nini Kifanyike ili Yanga icheze Fainali ya CAF Champions League msimu ujao

Yanga inahitaji mawinga wawili wabunifu wanaoweza kudrible na wenye speed, morison na kisinda watemwe moloko abaki ila asiwe kikos cha kwanza.

Winga kama kisinda na moloko ni ma winga wa kizaman sana hawaendan na mpira wa kisasa, wanahitajika mawinga wanaomfata beki wakiwa na mpira kisha wanaingia ndan kufunga au kutoa pasi.

Pia yanga inahitaji kiungo wa kati namba 8 mwenye uwezo wa kukaa na mali kama niyonzima, mchezaji mwenye first touch nzuri sio kama sure boy ambye ni mzur ila first touch yake sio nzuri, kiungo mwepes mwenye uwezo wa kukaba na kumiliki mpira ili wawe wanapishana na aucho.

Alafu namba kumi mwenye uwezo wa kukaba na kushambulia mwenye uwezo wa kupiga pasi za mwisho kiufund na kupiga mashuti kiusahihi.

Yanga inahitaji wachezaji 4 tu kuboresha kikos mawinga wawili ,kiungo wa kati namba 8 na kiungo mshambuliaji namba 10
Hao wachezaji wapo ila bei yake sasa...ndio kizingimkuti.

Klabu yako bado haina hela..tuongee ukweli..tusiwe wanafki..

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna hata mmoja humu anaesema mshabiki milioni 15 Kila mmoja achangie laki 100 zipatikale 1,500,000,000,000 trillion 1.5 kusajili safu za ushindi.

Ni Hoya Hoya tu.
 
Na huu ni mpira wa kizamani. USMA walikua dhaifu mno jana..hadi mashabiki kuwasha mabaruti zilikua janjajanja za kupoteza muda na kupumzika. Walikua dhaifu mno..mnoo..mnoo...ila yanga tuu hawakustukia mapema.

Angalia walivyokuwa wanamkaba mayele na kum-mark Morrison alipoingia..coz walijua kuwa hawa ndio hatari.

Morrison ana dribbling nzuri sana.

Wangepata playmaker mmoja au wawili jana..mbona mechi ingekua rahisi mno.

Laiti simba angekutana na wale..wangechakazwa kinomanoma yaani..wangepigwa hata nne

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Simba Sc kacheza na Wydad na hakupigwa hizo 4, aje kupigwa na hao walioko mkiani Algeria?

Tofauti na ile penalty hakuna la maana mlilofanya jana.
 
Simba Sc kacheza na Wydad na hakupigwa hizo 4, aje kupigwa na hao walioko mkiani Algeria?

Tofauti na ile penalty hakuna la maana mlilofanya jana.
Ulicheza na Azam, Nangwanda kule, vipi ulishinda? Hata kikombe cha Ghahwa hamjapata.
 
Simba Sc kacheza na Wydad na hakupigwa hizo 4, aje kupigwa na hao walioko mkiani Algeria?

Tofauti na ile penalty hakuna la maana mlilofanya jana.
Wampe Nabi mahitaji anayo yataka,wamwachie yy apendekeze wachezaji wa kiwasajili na mwisho viongozi waache ubahili, hela ambayo Yanga kaingiza kwenye michuano hii ina karibia dola 3m,inatosha kufanya usajili wa wachezaji hawa 3-5 wakubwa na nyingine tufanyie mambo mwengine.

Tukifanikiwa kumbakisha Nabi,Mayele na Diara ,tutakuwa hatari sana.
Finalist kaingiza dola milioni moja na bingwa kaingiza dola milioni mbili

Kuhusu bajeti ya usajili; itakuwa kituko mwanamichezo wa bongo kuamin kuwa tunaweza kucompete kusajili quality players na waarabu, wakati sisi tunasajili kwa bilioni moja au mbili kikosi chote, al ahly wanasajili mchezaji mmoja kwa bilioni10

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Yaan wale hawana bahati kabisaa, msimu wa 4 huu wanaishia Robo na nusu, afu kikosi chao ni boraa sanaaa.
Unapozungumzia champions league ili ucheze nusu fainali unalazimika kumtoa mmoja kati ya wydad, esperence, al ahly na mamelody

Na ili ucheze fainali utalazimika kumtoa kat ya al ahly na wydad hatua ya nusu fainali

Sasa je, unawajua vizur hawa shughuli yao wakiingia hatua hizi za mtoano

Kama hujawah kukutana nao katika hatua hizo muulize shalulile atakusimulia

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Mechi ya Al hilal zote 2 yanga ndo walicheza vzr kuliko Al hilal tuwe wakweli .

Ila ukweli una baki pale pale viungo wa yanga kama sure boy sio wa kuwategemea kbsa mfano mudathir ni mzur kukaba tu ila hana ubunifu, na pia sure akikutana na team inayokaba kwa nguvu utamktaa kwasababu kwanza ni mchezaji ambye hana first touch nzuri, anahitaji kupokea mpira akiwa ktk nafas kubwa bila kubugudhiw sas mechi za ushindan lazma apoteze tu mipira.

Kiufupi pale yanga wachezaji wa kati wenye first touch nzuri ni aucho, bangala na aziz ki japo aziz anazingua
Ujinga mwingine tulionao ni huu, "japo tumewafunga lakini chenga tumewalamba"

Kauli hii iliwah kutamba sana kipnd flan

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Finalist kaingiza dola milioni moja na bingwa kaingiza dola milioni mbili

Kuhusu bajeti ya usajili; itakuwa kituko mwanamichezo wa bongo kuamin kuwa tunaweza kucompete kusajili quality players na waarabu, wakati sisi tunasajili kwa bilioni moja au mbili kikosi chote, al ahly wanasajili mchezaji mmoja kwa bilioni10

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Kijana fanya kitu kutokana na uchumi wako unavyokuwa,Al Ahly wana uchumi mkubwa wana resources kibao na mashabiki wao wana isupport timu yao kwa michango sio kama kwetu,oya oya nyingi michango hatutoi.

Sometimes sio lazima usajili wachezaji wa bei ya ghali ndio upate mafanikio, kama una maskauti wazuri unaweza pata wachezaji wazuri kwa bei ya kawaida ambayo vilabu vyetu vina imudu na wakacompete vizuri na wachezaji wa Al Ahly.

Kwani FC Porto ilichukua UEFA na wachezaji wa aina gani? Leicester imechukua EPL na wachezaji wa aina gani tuachane na upuuzi wa kamati za usajili wanao vizia 10%.
 
Back
Top Bottom