Kwa Wanayanga: Nini Kifanyike ili Yanga icheze Fainali ya CAF Champions League msimu ujao

Nitajie bara ambalo timu zote huchukua kombe
Kama unajua hivyo hoja Yko inakosa mashiko moja kwa moja . Timu ulizozitaja haziwezi kuwa kipimo cha timu na mashindano yote Na ushindi siyo kombe tu. Miaka yte simb walishiriki si walipata pesa na nchi kuongeza nafasi? Hayo siyo mafanikio???
 
Huko Hakuna rivers, bamako. Huko Kuna raja, widadi, Esperance nk

Mkumbuke Hilo.
 
Hao wachezaji wapo ila bei yake sasa...ndio kizingimkuti.

Klabu yako bado haina hela..tuongee ukweli..tusiwe wanafki..

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Wapo wengi tu mfano namba 8 hata ile team ya mali kuna namba 8 mzuri sana pale anamiliki mpira na anapiga pasi kiusahih na first touch yake ni fire
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…