Kwa wapenda MIELEKA, leo tutaje WWE FINISHERS na MOVES mbalimbali unazozipenda au ulizozipenda

Kwa wapenda MIELEKA, leo tutaje WWE FINISHERS na MOVES mbalimbali unazozipenda au ulizozipenda

Suplex ya brock lesna ndo habar ya mjini kamuulizen goldberg
 
Rock bottom - the rock
Sweet chin music - shawn michaels
Chokeslam - undertaker & kane
 
The undertaker alikuwa anatumia staili iliyokuwa inaitwa MSUMARI,
Kumtaja undertaker bila CANE ni sawa na kutaja pilau bila kachumbari,

DX a.k.a D generation, mzee mwenyewe SCHWAN MICHAEL na TRIPLE H huyu jamaa huwa harudi nyuma hata muwe 50,

Napenda sana style za mistaaaaaaaaa kene................... [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] anayejua anisaidia kujaza hapo [emoji115] [emoji115] juu kwenye gap
Keeeeneeeeeeeedy
 
Mi mpira siupendi kabisa

WWE nilikuwa naipenda sana ila nilisikia tetesi eti kumbe mshindi wanakuwa washamchagua kabla hata mechi haijaisha
HUKU MSIMAMIZI SIO JECHA
 
Kwangu mimi kwa sasa namkubali sana Roman Reigns, zamani niliwapenda sana John cena na Undertaker kwa zile staili zao.
 
Huwa nawaza kama mshindi anakuaga ameandaliwa inakuaje sasa mtu kama brock lesnar na hasira zake zote mpk huwa ana loose control akubali kupigwa na mtu kama cm punk! Hapa kwny kupanga mshindi kuna ukakasi, bado siamin km mshindi hupangwa[emoji36]
They are professional trained performers.
Moves zote wanazofanya wanasaidiana ili ionekane ni kweli kitu kinafanyika kwa nguvu sana, ule ulingo si mgumu kama unavyodhani pamoja na kwamba huwa sometimes wanaumia sana lakini wanajua namna gani ya kupigana na watu waone ni kweli jambo linafanyika na kuumizana.
Kwa mfano:
Mtu akirusha ngumi anatakiwa akunje sura ile kuwashilia kuwa anatumia nguvu kuirusha... vile vile anaepigwa anatakiwa aoneshe kuwa nguvu imetumia hivyo kwa pamoja akipigwa ngumi nae anajiangusha au anarudi nyuma kwa kupepesuka kuonesha uhalisia wa jambo.

Pia mtu anaepiga ngumi huwa anapiga miguu chini ili ionekane ni ngumi inatoa kishindo kikubwa kumbe ni miguu ila hii inafanyika kwa pamoja hivyo mtu si rahisi kugundua.

Ulingo umefungwa microphone ambazo zimeunganishwa kwa speaker hivyo mtu akianguka kishindo kinakuwa kikubwa kuonesha impact kubwa ku prove hili ni kwamba hata waangaliaji wote ndani ya ukumbi wakishangilia sauti ya kishindo kutoka ulingoni husikika.

Mshindi anakuwa amepangwa na refarii ndo mwongozaji kuhakikisha hilo linafanyika tena kwa usahihi na muda uliopangwa. N:B huwa mapambano yanapangiwa muda wa kuisha kama dakika 5 , 10 n.k.

Its real intertainment kwamba kinachotokea kinakuwa kimepangwa na jambo linafanyika na watu wakiona.

Wanasaidiana kuhakikisha mtu anaepigwa haumii au akipata maumivu ni kidogo.

Tombstone/ msumari ya undertaker kichwa cha anaepigwa hakibamizwi chini kama unavyoona, mtu anaepiga tombstone anatakiwa ahakikishe kichwa cha anae pigwa kiko juu kidogo ya magoti na anamshikilia kwa nguvu na anae pigwa anamshikilia mgongoni kwa nguvu zote ili asiteleze au kupigizwa chini kweli, kile kishindo kinachotokea kinatokana na magoti ya undertaker kupiga chini kwenye ulingo na si kichwa. Baada ya kupiga tombstone anamuachia kwa kumpeleka mbele ili aangukie mgongo ndo tombstone inakuwa imekamilika.

Chokeslam/ kumnyanyua mtu kwa mkono mmoja na kumpigiza chini ...
Anaenyanyuluwa anajinyanyua ili iweze kufanyika na kumfanya anaenyanyua aonekane ana nguvu nyingi kweli za kumnyanyua mtu kwenda juy kiasi hicho kwa mkono mmoja. Kinachofanyika ni anaenyanyua anamvuta kwa chini kidogo anaenyanyuliwa ili kumuashiria ajianze kujirusha ili wafanye kwa pamoja kunyanyuliwa na yeye kujinyanyua .

Wanamieleka ni wananguvu kweli ila mengine yanafanyika kwa kusaidiana na kurahisishiana.
 
Mi mpira siupendi kabisa

WWE nilikuwa naipenda sana ila nilisikia tetesi eti kumbe mshindi wanakuwa washamchagua kabla hata mechi haijaisha
Yah ni kweli. Pale wanafata "script" so kama umepangiwa upoteze match then unatakiwa upoteze.

Angalia UFC ipo fresh sana hasa HEAVYWEIGHT na LIGHT HEAVYWEIGHT, WWE ni kwa ajili ya watoto.
Btw WWE ishafulia now...WWE ilikuaga 2008 kurudi nyuma.
 
Back
Top Bottom