Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
- Thread starter
- #81
Aweeee![emoji1787]Kama wako ni mgonjwa mtibu mapema siku hyo ni nyama Kwa nyama mnofu kwa mnofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aweeee![emoji1787]Kama wako ni mgonjwa mtibu mapema siku hyo ni nyama Kwa nyama mnofu kwa mnofu
Wana mahasira haoooo, lol[emoji23][emoji23]Single sugu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Woyooooo, nishakuandalia mazawadi kama yote na sehemu ya kukupeleka babe wa mimi, mtoto wa kingoni naijua habari yako [emoji8][emoji8][emoji3059][emoji7][emoji3590]Niko winja winja babeeeee, siku ni yetu na ililetwa kwa wenyewee.
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]
Sio rahisi bro, eternal love [emoji7]Ukiachwa tuletee na mrejesho mkuu
Kuna wa kukodi, kikubwa usikae kinyonge [emoji1]Yesu Ruwaa mimi nisiye na Mpenzi nitatoana out na mti [emoji17]
Hana bahati huyo, sasa jitoe out na ujipongeze pesa yako imepona [emoji2960]Nimeachwa mwez huu wa pili dah nimeumia ila no way goodbye babe[emoji173][emoji24]nitakumic mno goodbye
Hahahahaha masingle sugu tunawajuaAstaghfirullah !, ndugu zangu katika imani tukwepe hii dhambi
View attachment 2891081
View attachment 2891082
Huna mpenzi Mideko?Hongereni Kwa kupendana.
😂 Hongera mkuu penzi lidumuSio rahisi bro, eternal love [emoji7]
Hahahaha short and clear
Hii ndoa imepita lini mbona kungwi sina habari?cocastic njoo wife utambe, upo peke yakooo
Mchawi sugu na singooo sugu kuwahi kutokea duniani...Mtaachana tu
Kaka mzuri kajua kukushika 😂😂Raha ya penzi liwe mutual, sio mashaka kama unaoga nje.
Mi nimejipata, ila hiyo siku si mmesema itakuwa Kwaresma jamani? Itakuwaje sasa mi kaka mzuri wangu ni churchman 🥹🥹
Hahahaha nimecheka hiyo mchawi sugu [emoji23]Mchawi sugu na singooo sugu kuwahi kutokea duniani...
Daah! aje ajibu tuhuma hiziMdogo angu coca kumbe una mume na husemi..?? [emoji15]
Asa itakuaje Kungwi hujapewa taarifa [emoji848][emoji1787][emoji1787] sema nini... tunabariki valentine hii [emoji3060]Hii ndoa imepita lini mbona kungwi sina habari?
Kwa hiyo nijiandae kumfunda mwariAsa itakuaje Kungwi hujapewa taarifa [emoji848][emoji1787][emoji1787] sema nini... tunabariki valentine hii [emoji3060]