asante sanaKuna mambo mengine ukiyapunguza kwa kaka Mr Miller muonekano wake utapungua yan atakuwa mtu wa stress mana kile alicho kuwa akikitumia kuondoa stress hakipo
Kuwa makin wew ni Mwanamke wenye bahat na Broo ni Mtu mwenye bahat
Sent using Jamii Forums mobile app
HAHAHA JAMAA ANAZINGUA SANAAnakwambia, "shhh..... everyone be quiet including me..... shh... who is making that noise?? Oooh, it's me again..."
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Anakwambia, "shhh..... everyone be quiet including me..... shh... who is making that noise?? Oooh, it's me again..."
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbuzi kweli huyo jamaaNinazo zote tatu.
Nilikua nina series za Penguins Of Madagascar kuna mbuzi kaiba
Kuna mda aliimba funk moja mbaya sana,Anakwambia, "shhh..... everyone be quiet including me..... shh... who is making that noise?? Oooh, it's me again..."
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha sasa katika hiyo penguins of madagascar wamekaa wakaamua kwenda mwezini wakajenga roketi wakaseti umbali wakajichanganya wakaangukia ghorofani.
Huko ghorofani kuna paka kakonda ana njaa vibaya sana anawinda hadi njiwa, sasa kamuona Private akapiga "Ooohh food" wakatokea wakina Skipper akamalizia "A buffet"
Mi nacheka vibaya hapo
Hiyo Rango hatari. Ice Age na haichoshiRango,strange magic na ratatouille haziishi utamu
i like to move it...move it...i like to move it....mive it, we like to.....move it!!!!!!!!! [emoji126][emoji126][emoji445][emoji443][emoji441]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji120] [emoji120] [emoji120]i like to move it...move it...i like to move it....mive it, we like to.....move it!!!!!!!!! [emoji126][emoji126][emoji445][emoji443][emoji441]
Sacha Baron[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
There you are.. Alafu alikua anacheza kinoma..
Ni nani aliingiza ile sauti??
Sent using Jamii Forums mobile app