Hiyo scene ya kwanza inaitwa baby puss, yapili unitajie matukio zaid nitaijuaZinaitwaje nazitaka kweli, unaweza weka picha za hizo scene
Tommy na jerry walikua wanaishi nyumba flani hivi ikaja greda ikaibomoa wakaingia kitaa jerry akawa anamfuata tommy tom anamfukuza, akamfuata mwisho akamwachia amfuate. Baada ya muda wakagundua kua wanaongea kama binaadam, wakatambulishana majina. Wakaokotwa na kabinti hivi kalikua kanaishi kwa ndugu yake baba ake kasafir mbali hafu kanateswa. Baaada ya mateso kuzid huyo bint, tom na jerry wakatoroka kumtafuta baba wa huyo binti... Mwisho wa siku ugomvi wa T n j uriludi tenaHiyo scene ya kwanza inaitwa baby puss, yapili unitajie matukio zaid nitaijua
Nitakukalisha tubado hujanikalisha chini kutazama Disney Films
smart penguins
Kwa ajili yako..naweza kuketi...unisimulie lakini...Nitakukalisha tu
sawa love!Kwa ajili yako..naweza kuketi...unisimulie lakini...