Safii sana.
Vipi huyu mrembo unampata sonaksh.
Kacheza filamu moja anagawa dozi sana (Kung-fu).
Akabambikiziwa kesi na kisha akapelekwa hospital ya vichaa, jina la filamu limeniponyoka.
View attachment 967560View attachment 967561View attachment 967562View attachment 967563View attachment 967565
Nimeumia mnoo kuflop ile movie daah
Inaitwa Akira...Sonakshi Sinha huyu nzuri kichizi ile muvieSafii sana.
Vipi huyu mrembo unampata sonaksh.
Kacheza filamu moja anagawa dozi sana (Kung-fu).
Akabambikiziwa kesi na kisha akapelekwa hospital ya vichaa, jina la filamu limeniponyoka.
View attachment 967560View attachment 967561View attachment 967562View attachment 967563View attachment 967565
Ongeza hapo rena Roy
Shabana Azim
Meenaksh
Aruna Iran
Neetu Singh
Rekhash roshan
Sana tu! Nakapendaga ingawa movie zake zinahitaji akili mpk Leo dhoom three siielewagi!Mkuu wewe ni Aamir Khan fan?
Sawa-sawa. Mimi mw enyewe nikiona filamu sielewi/haini vutiii huwa naachana nayo
Au wakongwe Saizi wamechoka akina Akshey Kumar,Khan,Salumn,Sunil,Amri,sanji,, bob,Ajay..' ?
Kunakipindi flani nilisitisha kutazama baada ya kuona hawa jamaa hapo juu umri unawatupa mkono.
Bollywood,Kollywood,Tollywood..
Sana tu!!!nakapendaga ingawa movie zake zinahitaji akili mpk Leo dhoom three siielewagi!
Ya Amir Khan?!!Kuna moja inaitwa Dhobi Ghat nishaiangalia zaidi ya 4 bado nimeshindwa ielewa, Ila imetulia sana.
Tamil ndo wanaongoza sasa its like kama jamii imewachoka Bollywood kwa kua walikua km wamewatenga hivi basi zikitoka za kule Tamil wanazipigia kampeni kama zote kushindana flani hivi!!!!!
Ya Amir Khan?!!
Tamili hawawezi waongoza bollywood mkuu. Ni kweli kuna filamu mbili tatu za south India zimefanya vizuri sana kimauzo zaidi ya Bollywood lakini bado wapo nyuma sana kulinganisha na Bollywood kwa kila nyanja.
Sijaiona!!!!Ndio mkuu, ila haipo kimuhemko, Imetulia kabisa ni style ya Art film wahindi wanaita.
Sana tu!!!nakapendaga ingawa movie zake zinahitaji akili mpk Leo dhoom three siielewagi!
Talaash nzuriiKuna Filamu inaitwa Talaash iyo imgenda msela, ipo poa kinoma.
Sijaiona!!!!
Shukran kwa Ukumbusho.Inaitwa Akira...Sonakshi Sinha huyu nzuri kichizi ile muvie
Aisee Hii filamu itabidi nijitahidi kuitazama....mnanitamanisha.Farhan akhtar na vidya balani movie nzuri sana hiii!!!
Mimi naangilia yoyote itakayopita machoni mwangu.Tamil ndo wanaongoza sasa its like kama jamii imewachoka Bollywood kwa kua walikua km wamewatenga hivi basi zikitoka za kule Tamil wanazipigia kampeni kama zote kushindana flani hivi!!!!!