Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,178
- 4,449
Safi sana.Inaitwa Akira, ni mzuri sana huyu dada. Kuna filamu moja amecheza inaitwa Noor nayo ni safi sana.View attachment 968050
Shukran kwa ukumbusho.
Huyu mrembo yupo njema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana.Inaitwa Akira, ni mzuri sana huyu dada. Kuna filamu moja amecheza inaitwa Noor nayo ni safi sana.View attachment 968050
Farhan akhtar na vidya balani movie nzuri sana hiii!!!
Sema tu hawajulikani kihivyoo lakini wako vzrFarhan Akhtar na Vidya Balan ni moja ya ma actors wakiwango cha juu kabisa ndani ya bollywood.
Ni nzuri hii
Raynavero:
Safii sana,anasema very nice.
Mimi nipo nasikiliza song's,
Chori chori chupke chupke salman khan akiwa na mwanadada mwenye dimpoz shavuni Preity G Zinta.
&
Kalho Naa ho,( Tomorrow may never come) King khan & preity G zinta.
Yes...yes.Kal ho naa ho iache tu iyo filamu mkuu. Shahrukh Khan na Saif Ali khan walikuwa kwenye ubora wao kabisa.
Yes...yes.
Bonge la filamu hilo.
Hasa Ile "sound track"/au biti inayosikika kwa chinichini ndio ilamaliza kilakitu.
Kunawakati wa kuzaliwa, kunawati wa kufa.Bollywood LEGEND KADER KHAN passes away at 81View attachment 983888
Hao TAMIL ni watu wengine KABISA, wana TV ZAO,,RADIO yao,,,LUGHA YAO..na BOLLYWOOD YAO...na wana ACTORS na ACTRESS WAO...Hao HINDU walikuwa zamani,,,ndy wanaigiza MOVIE HADI UNALIA,,sio sasa,,,,hapana KITUBollywood wamekuwa wapuuzi nowadays.. Movies zao mbovu sana..
Kama hii thug of Hindustan na 2.0 nilishindwa zimaliza nilikaa nusu Saa nikasepa..
Ukitaka burudani za kihindi ingia Tamil.. Kuna dude linatoka mwezi huu.. KGF.. Angalia trailer
Mkuu,,, una KUMBUKUMBU nzr,,ila andhar tofan starring ni MITHUN CHAKARABOT na SHATRA GAN SINGHA....Sijui uzee au nini picha yangu ya mwisho kuangalia ya kihindi ilikuwa aandhir tofaan mwaka 1986 staring alikuwa shash kapoor humo bibie hema malin pale shatrunghan sinha jambazi dany denzongpa
Kweli mkuu,,,kuna KALIA,,COOLIE,,GIRAFTAH,,DOSITANA,,GANGA JAMUNAH...,,MARD,,AMITAH batchan,,,,KARATE,,DANCE DANCE,,WANTED,,EK AU SIKANDAR,,MITHUN CHAKRABOAT,,,SAAGAR KINARE,,,SANAM TERI KASSAM, starring ,KAMAL HASSAN,,JAN BAAZ,,QURBAN,,FEROZ KHAN,,kuna movie inaitwa NOORIE hatari sn,,,kuna movie inaitwa MAIN TULSI TWRI YAA NGANI KI..hatari sana mkuu,,,masong yametulia,,sio MADISCO DISCO...Kama umeangalia sholay au disco dancer ama kasam paida karne walek au shan na naseeb pana ladha huwezi kuipata kwa vijana wa sasa.
Hyo zamani mkuu, now wana technology nzrMambo ya Sterling kufia kwenye mauwa hayo!mtu anapigwa risasi pale ilipopita panaanza kuwa na ishara ya damu kabla hapajatoboka.
Hatari sana!