Kwa Wapenzi wa Filamu za Kihindi (Bollywood Films)

Kwa Wapenzi wa Filamu za Kihindi (Bollywood Films)

Yani kuliko kiangalia filamu za india ni bora utazame za kibongo najua mnajua sababu. Wahindi wanaunda filamu kila saa ila filamu zao sasa mtu anapigwa ngumi kwa tumbo anaangukia bima.
 
Duh Safi Sana..Kuna movie wanaita ""vaada"" Ni Moto wa kuotea mbali. Humo yanatokea mauaji ambayo mtizamaji unashindwa kujua Nani muuaji..labda Ni huyu labda Ni huyu. Asee Ni hatari.ukipata chansi itafute.

Nyingine Ni ile iitwayo KANTEE ya amitabachan, sunilsheti, Akshay Kumar, pamoja sanjey duty. Wanaiba bank wanashindwa kugawana kwa usawa kinachotokeA wote wanauana.
 
Yani kuliko kiangalia filamu za india ni bora utazame za kibongo najua mnajua sababu.

wahindi wanaunda filamu kila saa ila filamu zao sasa mtu anapigwa ngumi kwa tumbo anaangukia bima
Unatazama Sana muvi za kusini ya India! Hizo Ni mbovu hata stori zake br.

Hebu Leo tafuta ama unaijua kitu wanaita BHAHU BALI.
NI fire humo hamna hizo makitu unasema.

Sema nn sometime hata Mimi movie zenye action feki Kama vile ngumi moja mtu anapaa kimo Cha mnazi sipendi asee man.
 
Movie za kihindi siziangaliagi kabisa.

Huwa naona wana uongo sanaa tena wa kitoto.

Niliangaliaga 3 Idots at least.
 
Unatazama Sana muvi za kusini ya India! Hizo Ni mbovu hata stori zake br.
Hebu Leo tafuta ama unaijua kitu wanaita BHAHU BALI.
NI fire humo hamna hizo makitu unasema..
Sema nn sometime hata Mimi movie zenye action feki Kama vile ngumi moja mtu anapaa kimo Cha mnazi sipendi asee man
Nimeitazama hiyo si ya jamaa mmoja anapiga sana mkono alifanyiwa figisu asirithi kiti cha ufalme akarithi mwana wa mama wa kambo baadae akarudi akaamsha popo vibaya sana au unayoizungumzia ni nyingine?
 
Duh Safi Sana..Kuna movie wanaita ""vaada"" Ni Moto wa kuotea mbali. Humo yanatokea mauaji ambayo mtizamaji unashindwa kujua nani muuaji labda Ni huyu labda Ni huyu. Asee Ni hatari.ukipata chansi itafute.

Nyingine Ni ile iitwayo KANTEE ya amitabachan, sunilsheti, Akshay Kumar, pamoja sanjey duty. Wanaiba bank wanashindwa kugawana kwa usawa kinachotokeA wote wanauana.
Kaante movie nzuri sana.
 
Hizo ndio zenyewe yaani zilikuwa Tamu sana hasa mard tangewala na ganga jamuna saraswati Ongeza hizi:- Kaalia, Mr. India, LOHA na Disco dancer.

Siku hizi siangalii kabisa movie za Hao jamaa.

Yaah loha ilikuwa khatari sana shatrugansinha na dharam palikuwa hapatoshi amrish puri alikipata kiranga.
 
Duh Safi Sana. Kuna movie wanaita ""vaada"" Ni Moto wa kuotea mbali. Humo yanatokea mauaji ambayo mtizamaji unashindwa kujua Nani muuaji..labda Ni huyu labda Ni huyu. Asee Ni hatari.ukipata chansi itafute.

Nyingine Ni ile iitwayo KANTEE ya amitabachan, sunilsheti, Akshay Kumar, pamoja sanjey duty. Wanaiba bank wanashindwa kugawana kwa usawa kinachotokea wote wanauana.
Yan humu watu wangekuwa wanaelezea kidogo kama hivi wangetufanya na sisi tuzitizame, nitaitafuta hiyo movie nimeipenda.
 
Yaan usingeiweka veer zaar uzi ungekosa mvuto. Hii muvi nliaangalia usiku aseeh nliliaa kinoma. Sharkur Khan anajua aseeh, ina hisia kama zotee.
 
Back
Top Bottom