Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan usingeiweka veer zaar uzi ungekosa mvuto....hii muvi nliaangalia usiku aseeh nliliaa kinoma...sharkur khan anajua aseeh....ina hisia kama zotee
[/QUOTEVeerzaar kweli nzuri tafuta movie inaitwa barfi utaichoka kuangali ndug yngu
Yan humu watu wangekuwa wanaelezea kidogo kama hivi wangetufanya na sisi tuzitizame,nitaitafuta hiyo movie nimeipenda....
Bollywood ni bongomovie waliochangamka hakuna tofauti
Mzee zile ngumi za kihindi kina mithun ndio unasema ulikuwa unaangalia unaona uhalisia kabisa😂😂😂 umetisha mzeeSiku hizi movie za kidosi hovyo kabisa,graphics tu,
Zamani unatizama movie ya kidosi mpaka unajihisi kama vile unatizama uhalisia coz akili inahamia kwenye movie kwa jinsi movie ilivyokua na uhalisia! siku hizi ukitizama movie za kidosi akili yako inajua kabisa kua unatizama kitu cha uongoa.
Sijaongelea part ya action bali story ya movie yenyewe.Mzee zile ngumi za kihindi kina mithun ndio unasema ulikuwa unaangalia unaona uhalisia kabisa😂😂😂 umetisha mzee
OkaySijaongelea part ya action bali story ya movie yenyewe.