Kwa Wapenzi wa Filamu za Kihindi (Bollywood Films)

Kwa Wapenzi wa Filamu za Kihindi (Bollywood Films)

Kuna movie moja naitafuta. Star ni Bob Deo na Akishay Kumar. Movie hii Akshay anamchezea Bob Deo mchezo mbaya, wanatoka wote kupiga masanga, wakati Deo kazima wanabadilisha mademu. Deo analala kwa Akshey, na Akshey ana kwenda kwa Deo. Sasa hapa Akshay anamuua demu fulani Kisha anamlaza kwa Deo then demu wa Akshey anasepa Kisha jumba bovu linamuangukia Deo na kupelekwa Segerea. Wakati Deo yuko segedansi Akshey anakwenda kufanya mpango wakuiba pesa kadi ya Bank nakutak kuhamishia mkwanja wote Katika akaunt yake na kutaifisha nyumbani. lkn baade Deo anafanikuwa kutoroka Segerea na kuanzia kumsaka Akshey. nimeeleza kwa kifupi. Ila ni bonge la movie. Nimesahau jina.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ajnabee (2001)
 
Mehek
Kulfi the singer
Twist of fate
This is fate
Gangaa

Karibia zote zimeshaonyeshwa na zinaonyeshwa Dstv channel 166

bidada unaonekanwa ni mtu mwingi kwenye series.

hiyo Kulfi niliwahi angalia, ilikua nzuri sana mwanzoni ila mbeleni nilipoona inaanza kupoteza utamu nikaachana nayo. mana Simshabiki sana wa series

Yule lead actor wake ambaye anakua singer jamaa yupo poa sana nilimkubali kabisa.
 
Koyla
Sholay
Mere ram mere
Ashok
Sangdil sanam
Andhaa kanoon
Sita awa gita
Sajaan
Koi mil gaya
Imtihan
Dilwale
Dilwale dilhania di jayenge
Suhaag
Plat form
Deedar
Soldier
Chori chori chupke chupke
Qayamat se qayamat tak

Kama bado sema niendelee...

ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]

Hapo kwenye Sholay umenikosha sanaaa yaani sanaaa!! Maana hapa naangalia hiyo Movie tena ule wimbo wao wa Kwanza Jhanahi Tulengeee!! Minah Tolengeee!!
 
Kuna movie moja naitafuta. Star ni Bob Deo na Akishay Kumar. Movie hii Akshay anamchezea Bob Deo mchezo mbaya, wanatoka wote kupiga masanga, wakati Deo kazima wanabadilisha mademu. Deo analala kwa Akshey, na Akshey ana kwenda kwa Deo. Sasa hapa Akshay anamuua demu fulani Kisha anamlaza kwa Deo then demu wa Akshey anasepa Kisha jumba bovu linamuangukia Deo na kupelekwa Segerea. Wakati Deo yuko segedansi Akshey anakwenda kufanya mpango wakuiba pesa kadi ya Bank nakutak kuhamishia mkwanja wote Katika akaunt yake na kutaifisha nyumbani. lkn baade Deo anafanikuwa kutoroka Segerea na kuanzia kumsaka Akshey. nimeeleza kwa kifupi. Ila ni bonge la movie. Nimesahau jina.


Sent using Jamii Forums mobile app
Inaitwa AJNABEE

ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]
 
YouTube zipo mkuu.

Ila Mara nyingi za YouTube wanazikatakata hivyo ukitaka ujue kama hii ni full length yake Mimi huwa naisoma hiyo movie kwanza wikipedia ama IMDb ili nijue time length yake kisha narudi YouTube kuangalia kama muda wa hiyo movie ni sawa ama zinaendana labda tuseme imepishana dakika tu. Kisha naidownload na kuadd subtitles kwa sababu najua sasa zitaendana na maneneo wanayotamka, ingawa zenye subtitles zipo.

Ila nikiona imepishana sana muda huwa naenda Google na kusearch movie husika, mfano hivi;

Sholay full movie 720p au 1080p download... Zinaniletea links kibao na kuchagua mojawapo inayofaa.
Shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zanzibar kulikuwa na kumbi kongwe sana za sinema, kama vile Empire, Sultana, ila niliyoifaidi ni Majestic Cinema

ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]
safi sana....
 
Sanaaaa kacheza series nyingi mnoo mojawapo dol alma rok sijui nimepatia spelling km umewahi kuiona hata azam tv niliona wameiweka wakatafsiri kisw,
Ila ni ya zamani kidogo
bidada unaonekanwa ni mtu mwingi kwenye series.

hiyo Kulfi niliwahi angalia, ilikua nzuri sana mwanzoni ila mbeleni nilipoona inaanza kupoteza utamu nikaachana nayo. mana Simshabiki sana wa series

Yule lead actor wake ambaye anakua singer jamaa yupo poa sana nilimkubali kabisa.
 
Back
Top Bottom