Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Huyu jamaa kapagawa na Sa Rang si kitoto[emoji23][emoji23]
photogrid.collagemaker.photocollage.squarefit_202372191641834.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe ulielewa kabla hata sijasema. Atashtukia tu umejifungua katoto kana dimples halafu mnaanza kupelekana tena mahakamani kukagombania.

[emoji1787][emoji1787] au naamua kua single maza by choice

Au naikomoa career yakee[emoji2] nakua kama faiza Ally
 
Chemistry yao ni kali sana unaweza fananisha na Lee Seung Gi na Bae Suzy
Yah na Chemistry yao ilianzia 2021 mwishoni kwenye MBC Music Festival waliperform duet na ile cheza yao aah kama couple vile ilikuwa[emoji38]
 
Hii series tamu aisee yaani kuiangalia ni kama vile unavuta picha ya mastaa wa Insta influencers
2023-11-02_23-11-31.jpg
 
Yah na Chemistry yao ilianzia 2021 mwishoni kwenye MBC Music Festival waliperform duet na ile cheza yao aah kama couple vile ilikuwa[emoji38]
Hawa sio bure wanadate mana hii chemistry as if hawaigizi[emoji23][emoji23]..
Nilichopenda zaidi yan wamepewa screetime kubwa mno
Episode 1-3 zilikuwa slow flan hivi kwangu lakini kuanzia ya 4 ni moto sana nasubiri kwa hamu za wiki ijayo huku nikiisindiza See you in my 19 life na Numbers
 
Hawa sio bure wanadate mana hii chemistry as if hawaigizi[emoji23][emoji23]..
Nilichopenda zaidi yan wamepewa screetime kubwa mno
Episode 1-3 zilikuwa slow flan hivi kwangu lakini kuanzia ya 4 ni moto sana nasubiri kwa hamu za wiki ijayo huku nikiisindiza See you in my 19 life na Numbers
Ila Numbers mule tuliokimbia Mathematics na Accounts tunapelekwa mbio sana.
 
Hii drama hadi mwisho sijaielewa na sijaona warembo zaidi ya waliokandikwa make ups

Wazee wa taste wataisimanga balaa
Ni tastes ndio tatizo in short inagusa life lao influencers,fame n.k

Ni kama vile ile Now We Are Breaking Up na fashion world ama Shooting Stars na life la supestars.

Wazee wa tastes hizi watuachie wale fans lialia maana kwenye reviews zao hata Family dramas huwa wanaziponda sana[emoji23]
 
Missing the other sides season 2 nimeipenda. Napenda drama zinazohusu mizimu(ghosts)hasa wasiotisha. Humu inaelezea watu walifariki kwa kuuliwa ama ajali kisha miili yao ikazikwa kwa kificho hivyo wanajikuta kwenye kijiji wasichokifahamu. Mwili ukigundulika anapotea kule kijijini.

Nianze safari ya kuivuta season 1 nayo nione yaliyomo

Variety show three meals a day. wanakula hawa watu kama mchwa😂😂😂😂
Asante ngoja namimi niivute hii
 
Back
Top Bottom