FURIOSA
Member
- Jul 21, 2017
- 60
- 67
Quality ukipunguza itafika hadi 100 mb😂Leo nipo na Single movie, ila huwa sipati zile za 200Mb's.View attachment 2629330
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Quality ukipunguza itafika hadi 100 mb😂Leo nipo na Single movie, ila huwa sipati zile za 200Mb's.View attachment 2629330
Kumbe tupo wengi.Drama nzuri nikishaiangalia,huwa nawaonea wivu sana ambao bado hawajaiangalia au wale ambao ndio wanaiangalia.
Nimeangalia mpaka nane bado sijaiona sura yakeMimi huwa sipendi kuangalia ongoing ila huwa nafanya exceptions kwa drama ambazo siwezi kusubiria hadi ziishe. The good bad mother nipo episode ya pili, it's really good.
Nimempenda huyu mke wa village head [emoji1787][emoji1787] muda wote yuko na mask usoni mpaka sasa sijafanikiwa kuona sura yake. Nimependa hiyo line, imenifikirisha sanaView attachment 2659433
🤣🤣🤣🤣🤣Binti wa Yakuza huyo[emoji23]
🤣🤣🤣 akina secretary kim, Miss ChoiNilijua swala la machawa ji Tz tu, mpaka nilipokuja kuona shughuli ya huyu mwamba😄View attachment 2672301
They can die kwaajili ya maboss wao🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzee Korea kuna machawa Pro ultra max
Kuna term za kihasibu sana mfano Bad loan,hii inanikumbusha kwenye Misaeng utumiaji wa maneno ya ununuzi na ugavi bahati nzuri walikuwa wanayatolea maana baadhi ya maneno.Ila Numbers mule tuliokimbia Mathematics na Accounts tunapelekwa mbio sana.
Saa hizi kuna drama tamu sana now nipo na HeartbeatHuu msimu kama vimeshuka vyuma vingi had mnanichanganya[emoji4]
Jana nimeshusha celebrity na king the land
Naomba site unayodownload maana kila site ninayojaribu nachemkaSaa hizi kuna drama tamu sana now nipo na Heartbeat
Wewe una kitonga...unadownload vipi drama mbili kwa sikuHuu msimu kama vimeshuka vyuma vingi had mnanichanganya[emoji4]
Jana nimeshusha celebrity na king the land
Naomba site unayodownload au kama ni app inaitwaje?Wewe una kitonga...unadownload vipi drama mbili kwa siku
NkiriNaomba site unayodownload au kama ni app inaitwaje?
Kissasian.mxNaomba site unayodownload maana kila site ninayojaribu nachemka
Naomba site unayodownload au kama ni app inaitwaje?
Ilipoishia last week inaelekea kuwa moto Girlfriend wa Han Seung Jo ametua na identity mpya anataka kupambana na dingi yake jamaa.Kuna term za kihasibu sana mfano Bad loan,hii inanikumbusha kwenye Misaeng utumiaji wa maneno ya ununuzi na ugavi bahati nzuri walikuwa wanayatolea maana baadhi ya maneno.
Nilkuwa sijui wahasibu professionally wanaitana Teacher [emoji16]
Wewe una kitonga...unadownload vipi drama mbili kwa siku
Hizo dawa kitonga cha asubuhi siku hizi sioni tabu kubeba episode ya drama kwa mb hata 500[emoji1787] kuna sehem ya wi-fi huwa naendaga
Nashuuusha
Siku nyingine huwa na i post simu ikadowldiwe drama[emoji1787][emoji1787]
Mb 300 mateso na zinavyokata
Na nna weekly variety kuanzia mb 700 huko
Ila wewe bwana wenzio kitonga cha asubuhi kimetugomea ila ndio huachi kukitaja ili tuumie roho au..?Hizo dawa kitonga cha asubuhi siku hizi sioni tabu kubeba episode ya drama kwa mb hata 500
Hizo dawa kitonga cha asubuhi siku hizi sioni tabu kubeba episode ya drama kwa mb hata 500