Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Ongoing kali
Longing for you
My lovely liar
tovuti ya dramalist wanasema mpaka sasa zimeonyeshwa drama 63 za wakorea.
kati ya hizo nimeangalia drama moja tu iliokamilika na drama moja isiokamilika.

oasis drama - completed
romantic doctor kim - nimefika episode 8.

kwa kipindi cha miaka 10 iliopita, kiupande wangu hicho ndio kiwango kidogo zaidi cha kuangalia drama za wakorea. Nimezowea kuangalia drama 30 kuelekea 60 kwa kila mwaka,
huenda ni dalili ya uchovu,
huenda ni dalili ya ugonjwa wa kuridhishwa na sanaa ya wakorea.
huenda nimevamiwa na majukumu, hapa nimemkumbuka Nifah ( imani yangu ni mzima wa afya huko aliko).

aliwahi kuniambia
"dae utakapoandamwa na majukumu yako na ya wenzako hawa wavimba macho hutowatamani sana".
maneno mfano wa hayo aliniambia miaka 3 hadi mitano iliopita na sikusita kuyaweka akilini.

lakini bado sijakubali kupoteza pambano hili, kwa sasa nimejiwekea dhamira ya kuziangalia drama zifuatazo kabla ya kumalizika kwa mwaka huu.
  1. dear my love : baada ya miaka 10 hatimaye namgoong min atarudi kwenye vazi la hanbok. hii drama inatazamiwa kuanza usiku wa leo kupitia kituo cha NBC
  2. arthdal chronicles the sword of aramun : hii inatazamiwa kuanza septemba, tayari trailer ya kwanza imeshawekwa hadharani
  3. goryeo khitan war : baada ya miaka 10 hatimaye ahjussi choi soo jung anarudi tena kwenye periodic historical drama, nafikiri hii itaonekana mwezi Novemba
1691141480956.png

1691141499858.png
 
Pyeong swok na hee ji wanapendana sana sana

Jimin kuna anavyokua insecure wakiachana hiyo ndo sabab[emoji16]

My boy junghyun ashamwagwa?
Atavumiliwa tu watadumu ndio weakness yake hiyo atabadilika akishaexperience mapenzi[emoji23]
 
Mimi binafsi wewe na Nifa nimewafuatilia Sanaa, nikitaka kuangalia drama nzuri nakuja kwenye comment zenu kuangalia mmerecommend nini, then na Mimi napita humohumo[emoji2][emoji2][emoji2], miaka ya hivi karibuni nikaona wote mmepotea mnaonekana mara moja moja tuu, binafsi naweza kusema ni majukumu na Mimi yameniandama sio yule wa kukesha usiku mzima kuangalia drama. Ila naona kwa sasa kama historical drama zimepungua hivi.
 
Mimi binafsi wewe na Nifa nimewafuatilia Sanaa, nikitaka kuangalia drama nzuri nakuja kwenye comment zenu kuangalia mmerecommend nini, then na Mimi napita humohumo[emoji2][emoji2][emoji2], miaka ya hivi karibuni nikaona wote mmepotea mnaonekana mara moja moja tuu, binafsi naweza kusema ni majukumu na Mimi yameniandama sio yule wa kukesha usiku mzima kuangalia drama. Ila naona kwa sasa kama historical drama zimepungua hivi.
Historical drama zimepungua nadhani pop culture imebadilishwa na Korean wave (Hallyu) watu wanapenda family drama siku hizi na romcom.

Hata historical drama zinazotoka ni za episodes chache vile vigongo vya episodes 60-150 havitoki siku hizi.

Lakini pia upande wangu nadhani story nyingi pia za major historical figures na events wameshazitolea drama au movies. Wakitoa historical drama siku hizi zinakua based kwenye fantasy au fiction au adaptation/remake ya drama au movies za zamani.
 
Historical drama zimepungua nadhani pop culture imebadilishwa na Korean wave (Hallyu) watu wanapenda family drama siku hizi na romcom.

Hata historical drama zinazotoka ni za episodes chache vile vigongo vya episodes 60-150 havitoki siku hizi.

Lakini pia upande wangu nadhani story nyingi pia za major historical figures na events wameshazitolea drama au movies. Wakitoa historical drama siku hizi zinakua based kwenye fantasy au fiction au adaptation/remake ya drama au movies za zamani.
Ebhna kama Mimi historical drama hazipandi kabisa nimechek mbili tu Faith na Mr queen
 
Mimi binafsi wewe na Nifa nimewafuatilia Sanaa, nikitaka kuangalia drama nzuri nakuja kwenye comment zenu kuangalia mmerecommend nini, then na Mimi napita humohumo[emoji2][emoji2][emoji2], miaka ya hivi karibuni nikaona wote mmepotea mnaonekana mara moja moja tuu, binafsi naweza kusema ni majukumu na Mimi yameniandama sio yule wa kukesha usiku mzima kuangalia drama. Ila naona kwa sasa kama historical drama zimepungua hivi.
Shukrani ziwe kwako
 
Ukitaka kufurahia historical drama soma kwanza historia ya wakorea kisha utazame drama huku unaunganisha matukio kufuatana na jinsi yalivyotokea kwenye historia.

Nakuhakikishia wakorea wana historia tamu sana.View attachment 2708313
Mimi historical drama naangalia na ninazifurahia bila kujua hiyo historia...kwa sababu lengo langu si kujua historia bali ni kuburudika na kuelimika kwa matukio ya kwenye drama
 
Hii drama ninaisubiria kwa hamu sana. Nitaanza nayo tar 9 mpaka mwisho hata kama ina episode 100.
Inaitwa Concrete Utopia
Screenshot_20230804-193105.jpg
 
Mimi historical drama naangalia na ninazifurahia bila kujua hiyo historia...kwa sababu lengo langu si kujua historia bali ni kuburudika na kuelimika kwa matukio ya kwenye drama
Ila ukaijua historia vizuri kuna kafeeling flani ivi kuna muda hadi najikutaga ni rookie historian wa korea😀
 
Ebhna kama Mimi historical drama hazipandi kabisa nimechek mbili tu Faith na Mr queen
Cheki single movie inaitwa : The Throne

Alafu cheki series inaitwa :Secret door

Ukimaliza anza : Yi san (Lee san)

Ukimaliza zama wikipedia msome Crown Prince Sado na hapo ndo utaona umuhimu wa kucheki matambala yote hayo matatu,

Historical zidumu sana
 
Back
Top Bottom