Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Cheki single movie inaitwa : The Throne

Alafu cheki series inaitwa :Secret door

Ukimaliza anza : Yi san (Lee san)

Ukimaliza zama wikipedia msome Crown Prince Sado na hapo ndo utaona umuhimu wa kucheki matambala yote hayo matatu,

Historical zidumu sana
Poa man
 
talnam kuna hii show inaitwa Love Recall nimejaribu kutest kidogo ni nzuri flani hii ipo tofauti kidogo na nyingine.

Hii anatokea mwanaume anaongea na main host wa kipindi akielezea kuhusu relationship yake historia hadi iliyovunjika halafu anatafuta ex wake wanakutanishwa sehemu wanafanya mazungumzo akijaribu kuyajenga kurudisha enzi.

Then mwisho wa episode mwanaume anafika studio hiyo pichani then anaambiwa amuite ex wake wa sauti kubwa[emoji16]

Sasa hapo kuna mapazia yanafunguka so yakishafunguka utachokiona mbele yako ndio matokeo,either ex wako unamuona mbele yako karudi yupo tayari mrudiane ama unaona empty kabisa mbele yako ex wako hajaja hawezi kurudi kwako tena.


Anyway episode ya 2 nimevutiwa na story ya huyu jamaa wa raia wa Australia akiwa na miaka 22 alipendana na mwanamke wa Kikorea mkubwa kwa miaka 9,ila wakaja kuachana kisa mambo ya ndoa mwanamke age inasogea alitaka kujua future yao ila jamaa kwa umri wake na pia financially hajajipanga kuhusu kuoa kama unavyojua Korea life ni ghali kuoa inahitaji ujipange haswa,basi tena wakazinguana wakaachana.

Miezi 5 baadae jamaa ndio akatuma request kwa hii show akaomba kukutana na ex wake wayamalize bahati ikawa kwake baada ya kujaribu kuyajenga na kufunguka kuhusu plan yake kuhusu ndoa,mwisho wa episode ex akarudi kwa mwamba ila alijua kumpa presha pazia zilivyofunguka hakuonekana kumbe alitaka kufanya surprise alitokea upande tofauti kila mtu alijua harudi,jamaa alitaka hadi kulia.

2023-40-06_11-40-46.jpg
 
Wazee wa vitonga tuwe na subira tuone what's wrong maana hata cha asubuhi kinapiga kazi ila kimagumashi sana
 
talnam kuna hii show inaitwa Love Recall nimejaribu kutest kidogo ni nzuri flani hii ipo tofauti kidogo na nyingine.

Hii anatokea mwanaume anaongea na main host wa kipindi akielezea kuhusu relationship yake historia hadi iliyovunjika halafu anatafuta ex wake wanakutanishwa sehemu wanafanya mazungumzo akijaribu kuyajenga kurudisha enzi.

Then mwisho wa episode mwanaume anafika studio hiyo pichani then anaambiwa amuite ex wake wa sauti kubwa[emoji16]

Sasa hapo kuna mapazia yanafunguka so yakishafunguka utachokiona mbele yako ndio matokeo,either ex wako unamuona mbele yako karudi yupo tayari mrudiane ama unaona empty kabisa mbele yako ex wako hajaja hawezi kurudi kwako tena.


Anyway episode ya 2 nimevutiwa na story ya huyu jamaa wa raia wa Australia akiwa na miaka 22 alipendana na mwanamke wa Kikorea mkubwa kwa miaka 9,ila wakaja kuachana kisa mambo ya ndoa mwanamke age inasogea alitaka kujua future yao ila jamaa kwa umri wake na pia financially hajajipanga kuhusu kuoa kama unavyojua Korea life ni ghali kuoa inahitaji ujipange haswa,basi tena wakazinguana wakaachana.

Miezi 5 baadae jamaa ndio akatuma request kwa hii show akaomba kukutana na ex wake wayamalize bahati ikawa kwake baada ya kujaribu kuyajenga na kufunguka kuhusu plan yake kuhusu ndoa,mwisho wa episode ex akarudi kwa mwamba ila alijua kumpa presha pazia zilivyofunguka hakuonekana kumbe alitaka kufanya surprise alitokea upande tofauti kila mtu alijua harudi,jamaa alitaka hadi kulia.

View attachment 2710247

Definitely inaonekana tofauti
Ila kwakweli wakorea age is just a number kwao

Vivulana vina akili sana unaweza kujichanganya

Nitaitazama nikimaliza transit love s1

Mpango wa kutizama heartsignal s4 unao?iruke utaboreka tu,

Kuna inayoitwa love mafia ushaiona?
 
Baby Wangu kim seonho katisha sana kwenye the childe

Ingawa nashindwa kumchukulia serious na zile dimpoz[emoji1787]
 
Definitely inaonekana tofauti
Ila kwakweli wakorea age is just a number kwao

Vivulana vina akili sana unaweza kujichanganya

Nitaitazama nikimaliza transit love s1

Mpango wa kutizama heartsignal s4 unao?iruke utaboreka tu,

Kuna inayoitwa love mafia ushaiona?
Hata mimi ningekuwa Mkorea ningedate na older woman ila miaka 9 mingi asiee[emoji23][emoji23]


Love Mafia no nina mpango wa kuangalia moja hivi inaitwa Somebody hii ni dating show ila wanadance sana humo ndani.

Pia nadhani First Love Again itafutia hii ni kama jina lake wale wapenzi wa utotoni wanapata fursa ya kukutana tena na kuwa karibu hapa kazi kwao wakumbushie enzi relationship ichanue ama kila mtu afuate yake.

Kuna Love After Divorce 4 imeanza last week hii wale ambao walikuwa mke na mume wanakutana tena na kusolve misunderstandings kama watarudiana au kila mru achukue hamsini zake.


•Hapa nacheza na kitonga cha asubuhi nipo na Transit Love S2 mwanzo mwanzo
 
Back
Top Bottom