Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,411
- 3,077
[emoji23][emoji23][emoji23]I knew it huwezi iacha hiyoIcheki Innocent defendant kwanza hiyo Ndio kubwa kuliko Gwanggaeto the Great
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]I knew it huwezi iacha hiyoIcheki Innocent defendant kwanza hiyo Ndio kubwa kuliko Gwanggaeto the Great
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]I knew it huwezi iacha hiyo
Ukimaliza Six flying dragon tafuta muendelezo wake inaitwa "Deep Rooted Tree" ya Jang Hyuk nayo ni balaa director yule yule.Nimeanza Six-flying dragon nipo episode ya 10 now ,ni bonge moja la picha la drama
[emoji16][emoji16] na haikuwepo hata kwenye machaguo ila mwamba kaipenyeza[emoji23][emoji23][emoji23]I knew it huwezi iacha hiyo
Mzee wa innocent defendant🤣🤣🤣Icheki Innocent defendant kwanza hiyo Ndio kubwa kuliko Gwanggaeto the Great
Naiscreenshot comment yako nizitafute maana hizo ni taste zangu. Six flying dragon imenifanya kuna siku nilale mpaka sasa 7 usiku .Ukimaliza Six flying dragon tafuta muendelezo wake inaitwa "Deep Rooted Tree" ya Jang Hyuk nayo ni balaa director yule yule.
Halafu kuna "king of rears Lee Bang-Won" ukipata access nayo hutajutia muda wako.
Black knight Ume angalia[emoji848]
Nimeanza Six-flying dragon nipo episode ya 10 now ,ni bonge moja la picha la drama
Kuna series mayo nafuatilia ila niliweka kwenye Library ya kutafsiriwa na maDj ,yeye kaiandika Baekje kama unaijua naomba jina lake halisi ikiwa hajachange niwe nafuatilia mtandaoni nilipoishia .Ukimaliza Six flying dragon tafuta muendelezo wake inaitwa "Deep Rooted Tree" ya Jang Hyuk nayo ni balaa director yule yule.
Halafu kuna "king of tears Lee Bang-Won" ukipata access nayo hutajutia muda wako.
Huo mzigo unaitwa "Ballad of Seodong" upo vizuri huo mzigo.Kuna series mayo nafuatilia ila niliweka kwenye Library ya kutafsiriwa na maDj ,yeye kaiandika Baekje kama unaijua naomba jina lake halisi ikiwa hajachange niwe nafuatilia mtandaoni nilipoishia .
Star ni huyo chini anaitwa Jang Baba yake mfamle wa Baekje alizaa na mcheza dansi mtumishi wa jumba la kifalme na yeye amekuwa bila kumjua Baba.View attachment 2714824
Lengo ni ushindwe itafuta, urudi uwaungisheHuo mzigo unaitwa "Ballad of Seodong" upo vizuri huo mzigo.
Halafu hawa wazee wa kutafsiri wanapenda kujitungia majina unakuta drama wanaiita "fake love", "the mask", "revenge" , "betrayal" wanajitungia majina sijui wana shida gani😀
View attachment 2714879
Kumbe sikuwahi fikiri hivyo sasa nimeelewa it make sense.Lengo ni ushindwe itafuta, urudi uwaungishe
[emoji2][emoji2][emoji2],Hata Mimi nimeona mkuu drama Kama crash landing on you wanaiita emergency love n.kHuo mzigo unaitwa "Ballad of Seodong" upo vizuri huo mzigo.
Halafu hawa wazee wa kutafsiri wanapenda kujitungia majina unakuta drama wanaiita "fake love", "the mask", "revenge" , "betrayal" wanajitungia majina sijui wana shida gani[emoji3]
View attachment 2714879
Ndugu zangu wakorea, wapendwa wangu naombeni mwenye mseleleko jamani hata kama ni mb 200 kwa siku, sina hata cha kutizama halafu week yote hii nipo idle nisaidieni jamani [emoji24]
Subiri hadi waokozi wafanikiwe mimi bado napambanaNdugu zangu wakorea, wapendwa wangu naombeni mwenye mseleleko jamani hata kama ni mb 200 kwa siku, sina hata cha kutizama halafu week yote hii nipo idle nisaidieni jamani [emoji24]
Vitonga adimu sasa kila siku nakaza kutafuta technique hata mbili ili moja niwasogezeeKua idle kwa korean fan ni disaster
Hope wazee wa vitonga wataliona hili
Sawa mkuuSubiri hadi waokozi wafanikiwe mimi bado napambana
Wewe kweli mtabe wa kazi hizi ndio yenyewe hiyo, ndio series ya kwanza inayobase Baekje kuifuatilia maana mimi nimezama zaidi Gugryeo .Huo mzigo unaitwa "Ballad of Seodong" upo vizuri huo mzigo.
Halafu hawa wazee wa kutafsiri wanapenda kujitungia majina unakuta drama wanaiita "fake love", "the mask", "revenge" , "betrayal" wanajitungia majina sijui wana shida gani😀
View attachment 2714879
Halotel ukidownload MyHalotel app play store unapata GB 1 au 2 bure.Ndugu zangu wakorea, wapendwa wangu naombeni mwenye mseleleko jamani hata kama ni mb 200 kwa siku, sina hata cha kutizama halafu week yote hii nipo idle nisaidieni jamani [emoji24]