Fountain of Youth
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 1,026
- 2,299
Kwa haraka haraka nilimuona kwenye Hospital playlist ni medical drama lakini pia nilimuona kwenye Reply 1994 zote kakiwasha kama kawa.Usiwaze, sema ana series zingine??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa haraka haraka nilimuona kwenye Hospital playlist ni medical drama lakini pia nilimuona kwenye Reply 1994 zote kakiwasha kama kawa.Usiwaze, sema ana series zingine??
Ni za action??Kwa haraka haraka nilimuona kwenye Hospital playlist ni medical drama lakini pia nilimuona kwenye Reply 1994 zote kakiwasha kama kawa.
Hapana si za action zinazungumzia maisha ya kila siku mainly struggle za vijana katika maisha ya kila siku and how they evolve.Ni za action??
Warrior Jang ok Jung Ume Iona??Hapana si za action zinazungumzia maisha ya kila siku mainly struggle za vijana katika maisha ya kila siku and how they evolve.
Hapana unazungumzka "Jang Ok Jung Living by love? Kama ni hii tayari Hio warrior Jang Ok Jung sijaiona.Warrior Jang ok Jung Ume Iona??
🤣🤣 mie ndio muhenga ambae bado nawatazama wavaa mapazia.Wanafunzi wapo na gurudumu, wazee vijana tulee wajukuu.
talnam amekuwa master.
Numbisa bado ana jinamizi la ban ila ujuzi upo, haulizi tena link za kupakua drama.
Khantwe bado hajiamini ila ni legendary shupavu na mwerevu, huyu nadhani harusi yake atafanyia shilla hotel.
adriz Bado yupo gizani, kwake yeye sanaa ni wavaa mapazia tu, ananikumbusha nyakati zile naaza kukolea kuangalia wakorea..nilikuwa nawapenda wavaa mapazia tu.
Al-Hadidy amekuja kuongeza kitu kikubwa sana, ameupeleka huu uzi mpaka kwenye level ya variety show.
Heshima kwake, halafu anashabikia manchester united.....
Sijui ni reincarnation yangu?
Ana maneno ya shombo kama mjinga yule wa unguja pindi anapokerwa.
Respect kwake, kuna mambo najifunza kutoka kwake.
Mvaa Kobazi naye yupo, muhenga mwenda pole.
Hziyech22 bado ndio yule yule.
Ndo hiyoo mkuuHapana unazungumzka "Jang Ok Jung Living by love? Kama ni hii tayari Hio warrior Jang Ok Jung sijaiona.
🤣🤣 unazeeka vibayaWanafunzi wapo na gurudumu, wazee vijana tulee wajukuu.
talnam amekuwa master.
Numbisa bado ana jinamizi la ban ila ujuzi upo, haulizi tena link za kupakua drama.
Khantwe bado hajiamini ila ni legendary shupavu na mwerevu, huyu nadhani harusi yake atafanyia shilla hotel.
adriz Bado yupo gizani, kwake yeye sanaa ni wavaa mapazia tu, ananikumbusha nyakati zile naaza kukolea kuangalia wakorea..nilikuwa nawapenda wavaa mapazia tu.
Al-Hadidy amekuja kuongeza kitu kikubwa sana, ameupeleka huu uzi mpaka kwenye level ya variety show.
Heshima kwake, halafu anashabikia manchester united.....
Sijui ni reincarnation yangu?
Ana maneno ya shombo kama mjinga yule wa unguja pindi anapokerwa.
Respect kwake, kuna mambo najifunza kutoka kwake.
Mvaa Kobazi naye yupo, muhenga mwenda pole.
Hziyech22 bado ndio yule yule.
Anakwambia Directors wanamuangusha Ha Ji Won [emoji23][emoji1787][emoji1787] mie ndio muhenga ambae bado nawatazama wavaa mapazia.
Yes Al hadidy ni moja great captain wa hili jahazi.
Mzee wa Haji won ana moyo mgumu
Una accounts mbili bila shaka[emoji16]Wanafunzi wapo na gurudumu, wazee vijana tulee wajukuu.
talnam amekuwa master.
Numbisa bado ana jinamizi la ban ila ujuzi upo, haulizi tena link za kupakua drama.
Khantwe bado hajiamini ila ni legendary shupavu na mwerevu, huyu nadhani harusi yake atafanyia shilla hotel.
adriz Bado yupo gizani, kwake yeye sanaa ni wavaa mapazia tu, ananikumbusha nyakati zile naaza kukolea kuangalia wakorea..nilikuwa nawapenda wavaa mapazia tu.
Al-Hadidy amekuja kuongeza kitu kikubwa sana, ameupeleka huu uzi mpaka kwenye level ya variety show.
Heshima kwake, halafu anashabikia manchester united.....
Sijui ni reincarnation yangu?
Ana maneno ya shombo kama mjinga yule wa unguja pindi anapokerwa.
Respect kwake, kuna mambo najifunza kutoka kwake.
Mvaa Kobazi naye yupo, muhenga mwenda pole.
Hziyech22 bado ndio yule yule.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtoto wa kufikia wa Jisung[emoji1787][emoji1787] mie ndio muhenga ambae bado nawatazama wavaa mapazia.
Yes Al hadidy ni moja great captain wa hili jahazi.
Mzee wa Haji won ana moyo mgumu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi huyuhuyu. Hapo kwenye harusi ndio nimepapentaa... talnam jiandae kushona sare bwana harusi sijui atakuwa yupi kati ya wale wengiWanafunzi wapo na gurudumu, wazee vijana tulee wajukuu.
talnam amekuwa master.
Numbisa bado ana jinamizi la ban ila ujuzi upo, haulizi tena link za kupakua drama.
Khantwe bado hajiamini ila ni legendary shupavu na mwerevu, huyu nadhani harusi yake atafanyia shilla hotel.
adriz Bado yupo gizani, kwake yeye sanaa ni wavaa mapazia tu, ananikumbusha nyakati zile naaza kukolea kuangalia wakorea..nilikuwa nawapenda wavaa mapazia tu.
Al-Hadidy amekuja kuongeza kitu kikubwa sana, ameupeleka huu uzi mpaka kwenye level ya variety show.
Heshima kwake, halafu anashabikia manchester united.....
Sijui ni reincarnation yangu?
Ana maneno ya shombo kama mjinga yule wa unguja pindi anapokerwa.
Respect kwake, kuna mambo najifunza kutoka kwake.
Mvaa Kobazi naye yupo, muhenga mwenda pole.
Hziyech22 bado ndio yule yule.
Kwa nini? Japo sijaulizwa mimiUna accounts mbili bila shaka[emoji16]
Huwa najua yeye na Daemushin ni mtu mmoja kwa swaga [emoji16]Kwa nini? Japo sijaulizwa mimi
Ndio yuleyule [emoji16]Huwa najua yeye na Daemushin ni mtu mmoja kwa swaga [emoji16]
Ila jamani Mr sun shine ni [emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi huyuhuyu. Hapo kwenye harusi ndio nimepapentaa... talnam jiandae kushona sare bwana harusi sijui atakuwa yupi kati ya wale wengi
Huwa najua yeye na Daemushin ni mtu mmoja kwa swaga [emoji16]