Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Wanafunzi wapo na gurudumu, wazee vijana tulee wajukuu.

talnam amekuwa master.

Numbisa bado ana jinamizi la ban ila ujuzi upo, haulizi tena link za kupakua drama.

Khantwe bado hajiamini ila ni legendary shupavu na mwerevu, huyu nadhani harusi yake atafanyia shilla hotel.

adriz Bado yupo gizani, kwake yeye sanaa ni wavaa mapazia tu, ananikumbusha nyakati zile naaza kukolea kuangalia wakorea..nilikuwa nawapenda wavaa mapazia tu.

Al-Hadidy amekuja kuongeza kitu kikubwa sana, ameupeleka huu uzi mpaka kwenye level ya variety show.
Heshima kwake, halafu anashabikia manchester united.....
Sijui ni reincarnation yangu?
Ana maneno ya shombo kama mjinga yule wa unguja pindi anapokerwa.
Respect kwake, kuna mambo najifunza kutoka kwake.

Mvaa Kobazi naye yupo, muhenga mwenda pole.

Hziyech22 bado ndio yule yule.
🤣🤣 mie ndio muhenga ambae bado nawatazama wavaa mapazia.
Yes Al hadidy ni moja great captain wa hili jahazi.
Mzee wa Haji won ana moyo mgumu
 
Wanafunzi wapo na gurudumu, wazee vijana tulee wajukuu.

talnam amekuwa master.

Numbisa bado ana jinamizi la ban ila ujuzi upo, haulizi tena link za kupakua drama.

Khantwe bado hajiamini ila ni legendary shupavu na mwerevu, huyu nadhani harusi yake atafanyia shilla hotel.

adriz Bado yupo gizani, kwake yeye sanaa ni wavaa mapazia tu, ananikumbusha nyakati zile naaza kukolea kuangalia wakorea..nilikuwa nawapenda wavaa mapazia tu.

Al-Hadidy amekuja kuongeza kitu kikubwa sana, ameupeleka huu uzi mpaka kwenye level ya variety show.
Heshima kwake, halafu anashabikia manchester united.....
Sijui ni reincarnation yangu?
Ana maneno ya shombo kama mjinga yule wa unguja pindi anapokerwa.
Respect kwake, kuna mambo najifunza kutoka kwake.

Mvaa Kobazi naye yupo, muhenga mwenda pole.

Hziyech22 bado ndio yule yule.
🤣🤣 unazeeka vibaya
 
Wanafunzi wapo na gurudumu, wazee vijana tulee wajukuu.

talnam amekuwa master.

Numbisa bado ana jinamizi la ban ila ujuzi upo, haulizi tena link za kupakua drama.

Khantwe bado hajiamini ila ni legendary shupavu na mwerevu, huyu nadhani harusi yake atafanyia shilla hotel.

adriz Bado yupo gizani, kwake yeye sanaa ni wavaa mapazia tu, ananikumbusha nyakati zile naaza kukolea kuangalia wakorea..nilikuwa nawapenda wavaa mapazia tu.

Al-Hadidy amekuja kuongeza kitu kikubwa sana, ameupeleka huu uzi mpaka kwenye level ya variety show.
Heshima kwake, halafu anashabikia manchester united.....
Sijui ni reincarnation yangu?
Ana maneno ya shombo kama mjinga yule wa unguja pindi anapokerwa.
Respect kwake, kuna mambo najifunza kutoka kwake.

Mvaa Kobazi naye yupo, muhenga mwenda pole.

Hziyech22 bado ndio yule yule.
Una accounts mbili bila shaka[emoji16]
 
Wanafunzi wapo na gurudumu, wazee vijana tulee wajukuu.

talnam amekuwa master.

Numbisa bado ana jinamizi la ban ila ujuzi upo, haulizi tena link za kupakua drama.

Khantwe bado hajiamini ila ni legendary shupavu na mwerevu, huyu nadhani harusi yake atafanyia shilla hotel.

adriz Bado yupo gizani, kwake yeye sanaa ni wavaa mapazia tu, ananikumbusha nyakati zile naaza kukolea kuangalia wakorea..nilikuwa nawapenda wavaa mapazia tu.

Al-Hadidy amekuja kuongeza kitu kikubwa sana, ameupeleka huu uzi mpaka kwenye level ya variety show.
Heshima kwake, halafu anashabikia manchester united.....
Sijui ni reincarnation yangu?
Ana maneno ya shombo kama mjinga yule wa unguja pindi anapokerwa.
Respect kwake, kuna mambo najifunza kutoka kwake.

Mvaa Kobazi naye yupo, muhenga mwenda pole.

Hziyech22 bado ndio yule yule.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi huyuhuyu. Hapo kwenye harusi ndio nimepapentaa... talnam jiandae kushona sare bwana harusi sijui atakuwa yupi kati ya wale wengi
 
60Billion Won

Hii drama imeingia kwenye list ya most expensive dramas ikienda juu ya Arthdal Chronicles.

Hii inafanya nitake kutizama yaliyomo
8.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi huyuhuyu. Hapo kwenye harusi ndio nimepapentaa... talnam jiandae kushona sare bwana harusi sijui atakuwa yupi kati ya wale wengi

Yoyote hata wa delivery ya Alibaba[emoji1787] ilimradi mkoreaa

Haya niangalie material ya gauni ( silk toka shilla)

Harusi tunayoo[mention]Khantwe [/mention]
 
Back
Top Bottom