Anakwambia Directors wanamuangusha Ha Ji Won [emoji23]
Six flying dragons ya kwanza- nasikia ni Kali Sana, mi nili Angalia hidden roots- ya pili 🔥🔥Hii ni moto sana
Numby alikasirika sababu kiss scene ilichelewa[emoji1787]
Kwakweli nimepata moyo sana kutazama six flying dragon wengi wapo kwenye Mr sunshine yani hadi nasinzia kwenye kioo cha pc
Mapazia yanataka moyo ep 50 here i go[emoji16][emoji3525]
Wapo pamoja kwa sababu wanapendana we si unakumbuka kwenye zile barua za kumuelezea ex Min-young alisema anajutia breakup waliachana kwa jambo dogo sana![emoji1787][emoji1787] mi huyo dada simuweki kwenye drama ntazotizama yani curtain call ndo kanimaliza utafikiri rookie
Transit love nimeishia 12 wamenikera
Yani mapenzi yenye drama huwa wanadumu sana sijui kwanini mpaka leo couple ya juhwi ipo lol
Mimi lazima iwe mapazia ,panga na pori tu ,hata wale mapazia advanced yenye maurembo na makofia yenye masikio naona ninapigwa wa design hiyo nimecheki Jang yeong sill na hii Six_fying dragon.Wanafunzi wapo na gurudumu, wazee vijana tulee wajukuu.
talnam amekuwa master.
Numbisa bado ana jinamizi la ban ila ujuzi upo, haulizi tena link za kupakua drama.
Khantwe bado hajiamini ila ni legendary shupavu na mwerevu, huyu nadhani harusi yake atafanyia shilla hotel.
adriz Bado yupo gizani, kwake yeye sanaa ni wavaa mapazia tu, ananikumbusha nyakati zile naaza kukolea kuangalia wakorea..nilikuwa nawapenda wavaa mapazia tu.
Al-Hadidy amekuja kuongeza kitu kikubwa sana, ameupeleka huu uzi mpaka kwenye level ya variety show.
Heshima kwake, halafu anashabikia manchester united.....
Sijui ni reincarnation yangu?
Ana maneno ya shombo kama mjinga yule wa unguja pindi anapokerwa.
Respect kwake, kuna mambo najifunza kutoka kwake.
Mvaa Kobazi naye yupo, muhenga mwenda pole.
Hziyech22 bado ndio yule yule.
Wapo pamoja kwa sababu wanapendana we si unakumbuka kwenye zile barua za kumuelezea ex Min-young alisema anajutia breakup waliachana kwa jambo dogo sana!
Pia katikati ya show walianza kupoteza na watu wengine walikuwa mahaba yao yasharudi but ilibidi tu wafuate sheria wasiwakatalie date wanaowaomba[emoji16]
Juhwi naye alifuata moyo wake licha ya charms za Hye Sun na mikogo yake.
Naipenda sana hii couple hawaoni tabu kupostiana kabisa[emoji23]
Sema kaangalie tu Love Recall.utaipenda inaumiza na kufurahisha moyo kwa wakati mmoja
View attachment 2717075
Relationship ili iwe imara lazima ipitie ups and downs hapo nyuma ilikuwa ni utoto tu(immaturity) iliyosababisha wakatengana now wamekua kiakili watatoboa tu.Juhwi anakera kujinunisha
Na min young muhuni tu [emoji35]
Coco wangu angerudiana na ex wake
Ho min nilimuelewa ila akanikera, wanaume huwa selfish sana hasa kwenye transit atake yeye tu[emoji35]
Aisee hii series inasisimuaLady Gil Chae
View attachment 2716299
Wazee wa kazi chafu wale cha msingi mdomo uende kinywani 😂😂Mvaa Kobazi wale mapacha wa Kwenye Mr sunshine, nime wakubali Sana😁😂.
👉Wana Uwezo wa kupata kitu chochote.
👉Wana piga hao😂😁
Hawajui kukataa deal, na Wana mabiti hao😁😂🤣Wazee wa kazi chafu wale cha msingi mdomo uende kinywani 😂😂
Sema Yule mzee wa palace, Ali enda wapi??Hawajui kukataa deal, na Wana mabiti hao😁😂🤣
Halafu kuna yule demu mwenye Hotel Hina demu kachero ana info zote zinazotokea kila kona ya nchiHawajui kukataa deal, na Wana mabiti hao😁😂🤣
Hatari Sana💪, nime imaliza leo asubuiii.Halafu kuna yule demu mwenye Hotel Hina demu kachero ana info zote zinazotokea kila kona ya nchi
Hakuna drama iliyonisikitisha mwishoni kama hiyo. Kifo cha Hina kinasikitisha.Hatari Sana💪, nime imaliza leo asubuiii.
👉Dah wame waua main na semi character wote😪😪
Big Mouth dude kali piabig mouth mouth ni Kali Sana aisee, Mvaa Kobazi
Dah kwa zilizo Isha vibaya Kuna dokgo rewind 😪😪, ila big mouth nayo Ina bamba.Hakuna drama iliyonisikitisha mwishoni kama hiyo. Kifo cha Hina kinasikitisha.
Big Mouth dude kali pia
Ni action Kali Sana ehh??Aisee hii series inasisimua
Mi sio mpenzi wa series za mavita na kuuana ila hapa nimejikuta nafuatilia kipande kwa kipande,tukio kwa tukio!
Ni nzuri especially kama unaijua historia ya yule khan aliesumbua sana korea,Japan na china enzi hizoNi action Kali Sana ehh??
Ni action Sasa ??Ni nzuri especially kama unaijua historia ya yule khan aliesumbua sana korea,Japan na china enzi hizo
Sasa hii series ndo story ya huko jamaa alikua balaa kwa mapigano as alimvamia na kumuua adi young emperor wa japan wala kama sio china!