Wanafunzi wapo na gurudumu, wazee vijana tulee wajukuu.
talnam amekuwa master.
Numbisa bado ana jinamizi la ban ila ujuzi upo, haulizi tena link za kupakua drama.
Khantwe bado hajiamini ila ni legendary shupavu na mwerevu, huyu nadhani harusi yake atafanyia shilla hotel.
adriz Bado yupo gizani, kwake yeye sanaa ni wavaa mapazia tu, ananikumbusha nyakati zile naaza kukolea kuangalia wakorea..nilikuwa nawapenda wavaa mapazia tu.
Al-Hadidy amekuja kuongeza kitu kikubwa sana, ameupeleka huu uzi mpaka kwenye level ya variety show.
Heshima kwake, halafu anashabikia manchester united.....
Sijui ni reincarnation yangu?
Ana maneno ya shombo kama mjinga yule wa unguja pindi anapokerwa.
Respect kwake, kuna mambo najifunza kutoka kwake.
Mvaa Kobazi naye yupo, muhenga mwenda pole.
Hziyech22 bado ndio yule yule.