hahahahaaaa mi historical ndo vitu vyanguana nyota[emoji23], halafu wengi hawapendagi historical na watu wagumu.
mimi napenda mapanga ndo mana nawapenda marshals
akina anold,rambo walishaniathiri kisaikolojia[emoji23][emoji23]
Alikua anachekesha , Anaitwa Eun nadhani.....hahahahaaaaa we kiboko,smtm inanoga mbele ya safari usiwe unajinyima mautam hivyo
kingface mi nakushauri ukipatanafasi icheki tena,kastori kameenda shule
aaaah afu huyo mrembo cjmuona kwenye series nyingine zaid ya hiyo ya shine or go crayz
hahahaaaa aaah jamani wakaka wakikorea ni wazuri,mi nilikapenda ka 14th prince kale kalikochinjwa na main lead na mke wake
ni nzuri,kuna bnadam humo ana psychopaths ya kuua wa tu na chumaHwarang, ndio nimeimaliza, eps 20 na imejitosheleza kabisa.
Wadau aliyeiona VOICE anipe dondoo kidogo nataka nianze kuicheki.
Daaah shukrani ngoja niitafute,ni nzuri,kuna bnadam humo ana psychopaths ya kuua wa tu na chuma
si akakosea akamuua mke wa askari mmoko aka mad dog
huo mtaftano wake.ni nzuri balaa,jang hyuk tena hakoseag
ana series nyingine tofauti na hyoAlikua anachekesha , Anaitwa Eun nadhani....
ntaitazama very soon
hahahaaa wala hapendagi ujingaDaaah shukrani ngoja niitafute,
yaani, Jang Hyuk sio mtu wa sport sport.
Yule eunuch wa mfalme sijui mtabiri wa nyotaana series nyingine tofauti na hyo
ivi unayemsemea amefanana jack sparrow ni yupi?
Nimeiangalia good doctor!!! Yaani Tanzania tunawadharau watu kama yule doctor na kuwaona vichaa tu...Wapendwa wangu,wanafamilia yangu ya Joseon [emoji23] [emoji23] [emoji23] na Seoul. Sasa hivi naangalia drama ya good doctor na karibia nitaimaliza.
Wakati wote huu nimekuwa nikiburudika na hii OST,nimeona ni vyema nikishare na Wanakorea wenzangu.
Nimeikubali sana
cc Damushin Khantwe Prishaz (Noona umepotea sana,khaaa)
Enjoy it guys
Duu! Hii niliipenda mwanzoni ila nikachoka fuatilia mbele... Ni mapenzi ya kiutu uzima... Mi napenda ya watoto [emoji23][emoji23][emoji23] kama boys over flowersWadau site gani nitaidownload love story in harvard ikiwa na high quality free
Team Lee Min Ho [emoji113]Tena nianzishe akicheka mimi nachekaga mpaka basi.
jamaa ni very funny
nmeanza kumfata tangu Chuno
Akiamua kubonda anabonda haina mfano
akiamua kucheka ndo anacheeka[emoji23][emoji23]
Jang hyuk ndie muigizaji wa korea nnaempenda kuliko wote
akifatiwa na Lee byung hun , Song jo ho, Lee soo hyuk(model) kang ha neul ( nampendaga tu)
na wabondaji wotee wanajua mkono.
watu tunatofautiana Mfano watu wanampenda Lee mi ho ,mm walaaa hata simhusudu namwona kama waigizaji wa kawaida kabisa. na sijawahi kutafuta series zake kwa nia nmeona city hunter akanichefua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mm napenda mwingizaji mwenye Greedy ,jitu makini liko serious likiamua kufanya kitu hakuna wench wakumzuia. kwahivo leminho hakidhi vigezo vyangu
Jamn m ninapenda hiz drama zao Ila nanunua CD sasa naona naona usumbufu njia rahisi ya kuzipata n ipi
Mkuu nisaidie kuipata bridal mask. Nina Cd ambazo zimeishia episode ya 22 tu
Nice songomo omo omo ..... pole sana japo kuwa ni maumivu ila kuwa mvumilivu ni miaka 2 tu.
japokuwa hujachagua wimbo unaoupenda ila nimeamua kukupigia huu wimbo unaoitwa painful love ambao ni ost kwenye THE HEIRS kutoka kwa Minoz oppa kwa ajili ya kuondoa mawazo na huzuni
Thank you very much mkuu. Ngoja nione kama naweza kuzipakua ili nimalizie huu uhondo
Acha tu,kumbe wana vipaji na akili masikini [emoji24]Nimeiangalia good doctor!!! Yaani Tanzania tunawadharau watu kama yule doctor na kuwaona vichaa tu...