Nilikwambia uniambie series za historical drama ili nizichukue ambazo sijazionaTulikubariana Unaanza Wewe
Iyo Inaitwa Seven Day Queen..Itafuta Ni Nzuri Sana
Ushamaliza Six Fly Dragon?Nilikwambia uniambie series za historical drama ili nizichukue ambazo sijaziona
Poa Mkuu nakukubali ,ulinambia defendant nimeichek nipo episode ya 15 ni nzur sanaa .Iyo Inaitwa Seven Day Queen..Itafuta Ni Nzuri Sana
Tatizo anapenda series za story lovePoa Mkuu nakukubali ,ulinambia defendant nimeichek nipo episode ya 15 ni nzur sanaa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado Kama episode 23Ushamaliza Six Fly Dragon?
Mkuu tumia hiyo hiyo dramamice ila kabla ujadownload akikisha unabadilisha quality weka 300 pale chini kulia na kama unatumia idm itakupa option ya kudownload quality unayotaka.Mkuu nimejaribu kutumia hiyo Dramafire aisee iko vizuri kwenye Mb mfano Episode ya 1na2 kila moja ina Mb 160 wakati Dramanice ya kwanza tu ina 578. Aisee Dramanice wameniiba sana, tatizo lnakuja hapa Dramafire nimedownload episode mbili lakin nilivyo jaribu ya tatu na kuendelea imegoma inazunguka tu ikifika 21% inakata yaan haiendelei, pia hizo mbili haziingii kwenye memory kuziona nazionea kule niliko download tu. Myasiantv nayo nimejaribu wanazingua tu nielekeze hapo nn nifanye
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tumia hiyo hiyo dramamice ila kabla ujadownload akikisha unabadilisha quality weka 300 pale chini kulia na kama unatumia idm itakupa option ya kudownload quality unayotaka.Mkuu nimejaribu kutumia hiyo Dramafire aisee iko vizuri kwenye Mb mfano Episode ya 1na2 kila moja ina Mb 160 wakati Dramanice ya kwanza tu ina 578. Aisee Dramanice wameniiba sana, tatizo lnakuja hapa Dramafire nimedownload episode mbili lakin nilivyo jaribu ya tatu na kuendelea imegoma inazunguka tu ikifika 21% inakata yaan haiendelei, pia hizo mbili haziingii kwenye memory kuziona nazionea kule niliko download tu. Myasiantv nayo nimejaribu wanazingua tu nielekeze hapo nn nifanye
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha!, Duuuhh!! Kuna Chengine Kipi Kwenye Hii Dunia Zaidi ya Ilo!! Lol..Tatizo anapenda series za story love
Ukimaliza Hiyo NjooBado Kama episode 23
We Unapenda zipi??Tatizo anapenda series za story love
Chini wap nieleweshe vizur mkuuMkuu tumia hiyo hiyo dramamice ila kabla ujadownload akikisha unabadilisha quality weka 300 pale chini kulia na kama unatumia idm itakupa option ya kudownload quality unayotaka.
Me nashusha mizigo humo size inacheza 160Mb hadi 220Mb kwa kila drama nayodownload
Mkuu tumia hiyo hiyo dramamice ila kabla ujadownload akikisha unabadilisha quality weka 300 pale chini kulia na kama unatumia idm itakupa option ya kudownload quality unayotaka.
Me nashusha mizigo humo size inacheza 160Mb hadi 220Mb kwak
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemaliza janaUkimaliza Hiyo Njoo
Ina Malove Love Iyo?Nimemaliza jana
Sawa nitapunguza mdau ila nilikuwa nauliza tuu!mtunzasiri Izo Picha Dear...Lol! Unaweza Ukazipunguzia Ukari Kidogo?
Mkuu chini wapi hapo tuambie km Vp tuna na screenshotMkuu tumia hiyo hiyo dramamice ila kabla ujadownload akikisha unabadilisha quality weka 300 pale chini kulia na kama unatumia idm itakupa option ya kudownload quality unayotaka.
Me nashusha mizigo humo size inacheza 160Mb hadi 220Mb kwa kila drama nayodownload
Mkuu tumia hiyo hiyo dramamice ila kabla ujadownload akikisha unabadilisha quality weka 300 pale chini kulia na kama unatumia idm itakupa option ya kudownload quality unayotaka.
Me nashusha mizigo humo size inacheza 160Mb hadi 220Mb kwak
Sent using Jamii Forums mobile app