Aigooooo mi mbona nakuamin nielekeze basi unavyo tumia huko Google kujua hii lughaomo omo omo google ndio inanisaidia ila sina uelewa wowote na lugha ya kikorea.
naomba uniamini
Ubishi UnaoAigooooo mi mbona nakuamin nielekeze basi unavyo tumia huko Google kujua hii lugha
Aigooooo,Pole Ndo Baada ya Kubadirisha Laptop?nimepoteza ost zote pamoja na collection hapa nilipo ndio naanza kudownload baadhi ya nyimbo pamoja na collection
umejuaje?Aigooooo,Pole Ndo Baada ya Kubadirisha Laptop?
Aisee hadi huku unaleta mambo yako, huna siri ww.!!Ubishi Unao
vizuri zaidi utembelee youtube ndipo utakutana na darasa zuri kwa sababu anayefundisha unamuonaAigooooo mi mbona nakuamin nielekeze basi unavyo tumia huko Google kujua hii lugha
Aisee hii kitu haihitaji hasira kabisavizuri zaidi utembelee youtube ndipo utakutana na darasa zuri kwa sababu anayefundisha unamuona
Hahahahahaha, Siri gani Nilizoleta Uku Tena?Aisee hadi huku unaleta mambo yako, huna siri ww.!!
Kuna Mahala Niliona Ulimention Kuwa Umebadirisha Laptop So Nikajua Itakuwa Inahusiana Na Iliumejuaje?
YaisheHahahahahaha, Siri gani Nilizoleta Uku Tena?
Hahahahahha! Guud BoyYaishe
Hahahahaaaa! Guud.......Hahahahahha! Guud Boy
ihae mothae = sijajua unamaanisha niniAisee hii kitu haihitaji hasira kabisa
Nimemanisha unifundishe unayo juaihae mothae = sijajua unamaanisha nini
Somo limeanzaihae mothae = sijajua unamaanisha nini
hahahahahaaaaaa mbavu zanguSomo limeanza
Zimekuwaje mkuuhahahahahaaaaaa mbavu zangu
Boyfriend-NamjachinguNimemanisha unifundishe unayo jua
Polehahahahahaaaaaa mbavu zangu
Hahahahaaaa kumbe unajua,Boyfriend-Namjachingu
Girlfriend-Yeojachingu
Sweetheart-aein