Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

hahahahaaaaa kiwiliwili ni cha detective han moo gang ila vitendo vinafanywa na gream reaper 444 ambaye anajiita black.han moo gang tayari ameshafariki. au wewe unaonaje?
Yah Ndo Ipo Ivyo Han Mo gang Alikufa Kwa kupigwa Na Risasi Na Black yeye Yupo Kwenye Mishe Ya Kumtafuta Yule Msaidizi Mwenzie Ndo Akaamua Kuutfuta Mwili Wa Binaadamu Aingie Ili Aweze Kumtafuta Uyo Grim Reaper Mwenzie..

Na Akaamua kuuchagua Mwili wa Detective Han, Ila Kumbe Detective Han Ni Ana Matukio Mengi Tuuh Ambayo Yalimtokea au Kuyafanya Kipindi Yupo Hai Sa Inakuwa Kama Mwendelezo Wa Ayo Mambo Wakati Yeye Muhusika Ayupo Ulimwenguni, Ndomana ATA Black Mwenyewe Anashindwa Kuelewa Han Alikuwa Ni Mtu Wa Aina Gani Kwa Jinsi Anavyoandamwa..

Na Black Anaamua Sasa Kupigana Na Mambo Matatu.

1;Kumtafuta Uyo Gream Reaper Mwenzie Kwa Kuanza Kutumia Msaada Wa Ha-Ram Kwa Uwenzo wa Kuona Izo Shadow

2; Kupambana Na Maaduhi Wa Han Mo Gang Ili Kuulinda Uo Mwili Usidhulike Kwa Mara Ya Pili Tena Kwani Atashindwa Kutekeleza Adhima Yake.

3;Kuwa Msaada kwa Ha-Ram Ambaye Anahitaji Msaada Wake Uku Akihitajika Kumsaaidia Ha-Ram Kutimiza Malengo ya Kuepusha Vifo Vya Watu Kwaiyo Ana Budi Kumsaidia Ili Naye Amsaidie, Na Ni Kazi Nyengine Iyo Na Nahisi Hiii Kazi Ndo Itakayompa Shida Kule Kwa Boss Wake Kushirikiana Na Binaadamu Kuepusha Vifo Vya Watu Wakati Wao Wanahitaji Kuchukua Roho Za Watu..

Panapokuja Kuchanganya Ni Kuwa Atumjuhi HAN MO GANG AU JOON MISHE ZAKE HASA ZILIKUWA NI NINI!

Atujuhi Kuwa Yule Mchumba Wa Han Ni Nani Hasa Nae Ni Ana Mishe Gani Hasa.

Atujuhi Black Alikuwa Ninani Before Mpaka Nae Amekuwa Kama Kitovu Cha Ichi Drama,

Ha-Ram Na Uwezo Wake Alipoutoa, Kifo Cha Baba Yake Kisababisha Hasa Ni Nani!

Na Mengineyo Mengi Ila Ao Ndo Wakitovu Wenyewe.
 
Yah Ndo Ipo Ivyo Han Mo gang Alikufa Kwa kupigwa Na Risasi Na Black yeye Yupo Kwenye Mishe Ya Kumtafuta Yule Msaidizi Mwenzie Ndo Akaamua Kuutfuta Mwili Wa Binaadamu Aingie Ili Aweze Kumtafuta Uyo Grim Reaper Mwenzie..

Na Akaamua kuuchagua Mwili wa Detective Han, Ila Kumbe Detective Han Ni Ana Matukio Mengi Tuuh Ambayo Yalimtokea au Kuyafanya Kipindi Yupo Hai Sa Inakuwa Kama Mwendelezo Wa Ayo Mambo Wakati Yeye Muhusika Ayupo Ulimwenguni, Ndomana ATA Black Mwenyewe Anashindwa Kuelewa Han Alikuwa Ni Mtu Wa Aina Gani Kwa Jinsi Anavyoandamwa..

Na Black Anaamua Sasa Kupigana Na Mambo Matatu.

1;Kumtafuta Uyo Gream Reaper Mwenzie Kwa Kuanza Kutumia Msaada Wa Ha-Ram Kwa Uwenzo wa Kuona Izo Shadow

2; Kupambana Na Maaduhi Wa Han Mo Gang Ili Kuulinda Uo Mwili Usidhulike Kwa Mara Ya Pili Tena Kwani Atashindwa Kutekeleza Adhima Yake.

3;Kuwa Msaada kwa Ha-Ram Ambaye Anahitaji Msaada Wake Uku Akihitajika Kumsaaidia Ha-Ram Kutimiza Malengo ya Kuepusha Vifo Vya Watu Kwaiyo Ana Budi Kumsaidia Ili Naye Amsaidie, Na Ni Kazi Nyengine Iyo Na Nahisi Hiii Kazi Ndo Itakayompa Shida Kule Kwa Boss Wake Kushirikiana Na Binaadamu Kuepusha Vifo Vya Watu Wakati Wao Wanahitaji Kuchukua Roho Za Watu..

Panapokuja Kuchanganya Ni Kuwa Atumjuhi HAN MO GANG AU JOON MISHE ZAKE HASA ZILIKUWA NI NINI!

Atujuhi Kuwa Yule Mchumba Wa Han Ni Nani Hasa Nae Ni Ana Mishe Gani Hasa.

Atujuhi Black Alikuwa Ninani Before Mpaka Nae Amekuwa Kama Kitovu Cha Ichi Drama,

Ha-Ram Na Uwezo Wake Alipoutoa, Kifo Cha Baba Yake Kisababisha Hasa Ni Nani!

Na Mengineyo Mengi Ila Ao Ndo Wakitovu Wenyewe.
daebak noona umemaliza kila kitu
  1. ukiangalia mwanzoni mwa episode ya 2 kuna ajali imetokezea ya mke na mume na kufariki kwa mwanamme, kwa jinsi inavyoonekana machoni yule gream reaper alitokezea kumpenda yule msichana ambaye alitoka kuolewa na kwa sheria zao hawatakiwi kupenda mke wa mtu, hivyo basi inaonekana yule gream reaper alijingiza kwenye mwili wa yule mwanamme na kujikuta akiwa na mahusiano ya kimapenzi na binadamu na mpaka akazaliwa ha ram.
  2. kwa mtazamo wangu ha ram ni mtoto wa gream reaper na ndio maana ana uwezo wa kuona kivuli cha kifo,na hata pale alipomwambia baba yake ya kwamba huko unakokwenda utakufa lakini baba hata hakujali.
  3. ina maana hata black kama atampenda ha ram naye ataingia kwenye matatizo kwa sababu yeye ni gream reaper.
  4. ile hopitali aliyopelekwa han moo gang inamilikiwa na kampuni ya bima ambayo imehusika na matukio ya mauaji miaka 20 iliopita na matukio yote moo gang aliyaona alipokuwa mdogo, na hata yule daktari aliyetaka kumtoa jicho alikusudia kulitumia lile jicho ili akafungulie mlango wa ghetto la moo gang ili wakatafute tape, na ndio maana ukiangalia mwishoni mwa episode ya 4 alihangaika sana kuufungua mlango kwa sababu black hajui kama moo gang alitumia jicho kama ni password ya mlango wake.
    black0403556.jpg
 
daebak noona umemaliza kila kitu
  1. ukiangalia mwanzoni mwa episode ya 2 kuna ajali imetokezea ya mke na mume na kufariki kwa mwanamme, kwa jinsi inavyoonekana machoni yule gream reaper alitokezea kumpenda yule msichana ambaye alitoka kuolewa na kwa sheria zao hawatakiwi kupenda mke wa mtu, hivyo basi inaonekana yule gream reaper alijingiza kwenye mwili wa yule mwanamme na kujikuta akiwa na mahusiano ya kimapenzi na binadamu na mpaka akazaliwa ha ram.
  2. kwa mtazamo wangu ha ram ni mtoto wa gream reaper na ndio maana ana uwezo wa kuona kivuli cha kifo,na hata pale alipomwambia baba yake ya kwamba huko unakokwenda utakufa lakini baba hata hakujali.
  3. ina maana hata black kama atampenda ha ram naye ataingia kwenye matatizo kwa sababu yeye ni gream reaper.
  4. ile hopitali aliyopelekwa han moo gang inamilikiwa na kampuni ya bima ambayo imehusika na matukio ya mauaji miaka 20 iliopita na matukio yote moo gang aliyaona alipokuwa mdogo, na hata yule daktari aliyetaka kumtoa jicho alikusudia kulitumia lile jicho ili akafungulie mlango wa ghetto la moo gang ili wakatafute tape, na ndio maana ukiangalia mwishoni mwa episode ya 4 alihangaika sana kuufungua mlango kwa sababu black hajui kama moo gang alitumia jicho kama ni password ya mlango wake.
    black0403556.jpg
Okay, Iyo Namba 4.Ndo Umenifungua Daebak! Sikuwa Najua Kama Iyo Hospital Iko Na Matukio Ivyo Japo Niliona Jinsi Yule Aloenda Kumtoa Jicho Japo Sikujua Kisa Cha Kumtoa Jicho!
Basi Black Kazi Anayo..Na Ile Tape Amabayo Balck Aliiacha Inaplay Then ye Akaenda Kumfungulia Mlango Ha-Ram Nayo Itakuwa Inahusika Etiii?
 
daebak noona umemaliza kila kitu
  1. ukiangalia mwanzoni mwa episode ya 2 kuna ajali imetokezea ya mke na mume na kufariki kwa mwanamme, kwa jinsi inavyoonekana machoni yule gream reaper alitokezea kumpenda yule msichana ambaye alitoka kuolewa na kwa sheria zao hawatakiwi kupenda mke wa mtu, hivyo basi inaonekana yule gream reaper alijingiza kwenye mwili wa yule mwanamme na kujikuta akiwa na mahusiano ya kimapenzi na binadamu na mpaka akazaliwa ha ram.
  2. kwa mtazamo wangu ha ram ni mtoto wa gream reaper na ndio maana ana uwezo wa kuona kivuli cha kifo,na hata pale alipomwambia baba yake ya kwamba huko unakokwenda utakufa lakini baba hata hakujali.
  3. ina maana hata black kama atampenda ha ram naye ataingia kwenye matatizo kwa sababu yeye ni gream reaper.
  4. ile hopitali aliyopelekwa han moo gang inamilikiwa na kampuni ya bima ambayo imehusika na matukio ya mauaji miaka 20 iliopita na matukio yote moo gang aliyaona alipokuwa mdogo, na hata yule daktari aliyetaka kumtoa jicho alikusudia kulitumia lile jicho ili akafungulie mlango wa ghetto la moo gang ili wakatafute tape, na ndio maana ukiangalia mwishoni mwa episode ya 4 alihangaika sana kuufungua mlango kwa sababu black hajui kama moo gang alitumia jicho kama ni password ya mlango wake.
    black0403556.jpg
Mi Uyo Mtu Napenda Tuuh Shangaa Yake Na Ile Sauti Yake Lol!!

Khantwe Tushirikiane Tuuh Apa...
 
Okay, Iyo Namba 4.Ndo Umenifungua Daebak! Sikuwa Najua Kama Iyo Hospital Iko Na Matukio Ivyo Japo Niliona Jinsi Yule Aloenda Kumtoa Jicho Japo Sikujua Kisa Cha Kumtoa Jicho!
Basi Black Kazi Anayo..Na Ile Tape Amabayo Balck Aliiacha Inaplay Then ye Akaenda Kumfungulia Mlango Ha-Ram Nayo Itakuwa Inahusika Etiii?
ile tape ndio ina mkasa wote inaomuhusu yule binti aliyekuwa ni mchumba wake,mauaji ya msichana miaka 20 iliyopita na hata muuaji mkuu mwenye alama ya spider mkononi.
 
  1. upo sahihi na ndio maana kwenye theory yangu nimesema inawezekana yule aliyejitupa kwenye maji ni gream reaper no 444 aliye kwenye kiwiliwili cha han moo gang ambapo kwa sasa gream reaper yule hatumii code number 444 ila anajiita black, na alipozamia kwenye maji alikutana na mtu anayefanana naye akiwa ndani ya gari,hivyo basi tukio lile kwa jinsi inavyoonekana linaelezea tukio la kufa kwa gream reaper 444 wakati huo alipokuwa ni binadamu wa kawaida . na ni kweli alikuwa anajiuliza maswali kwa nini maiti hii imefanana na mimi sasa aliyekuwa akijiuliza maswali yale ni black na si detective han moo gang.
  2. kama yule aliyekuwa kwenye maji ni joon oppa ina maana alikufa na kufufuka na ndipo baadae akabadilisha jina na kuitwa han moo gang?
  3. lakini ngoja niiangalie tena kwa umakini kwa sababu drama kama hizi zinakufanya kila wakati uwe makini
black0100056a.jpg
Hawa ma grim reaper si wako wa aina mbili,wale ambao wamezaliwa kama grim reaper hawakuwahi kuwa binadamu na wale walikuwa binadamu wakafa kwa kujiua..sasa navyojua grim reaper444 hajawahi kuwa binadamu
 
Hawa ma grim reaper si wako wa aina mbili,wale ambao wamezaliwa kama grim reaper hawakuwahi kuwa binadamu na wale walikuwa binadamu wakafa kwa kujiua..sasa navyojua grim reaper444 hajawahi kuwa binadamu
Swadakta na pia grim reaper 444 ndiye competent gream reaper dunia nzima
 
Wakuu nauliza kwa aliyeiangalia goodbye mr black.
Je ina action kaliii?
Maana nataka kuanza kuidownload niiangalie..isije nipotezea mb zangu na usingizi wangu
 
Wakuu,
Kuna shabiki/wapenzi wenzetu mbona siku hizi hatuwaoni humu jamvini? Leo ngoja niwaite maana naona kitamboo!

Noona(s) & Hyung(s) wangu mupo?
Prishaz, Nifah, elmagnifico, Shark

Hebu nisaidie kuwaita/mention wengine ambao unawakumbuka. (Anza na alama ya @ ikifuatiwa na ID zao bila ya kuacha nafasi)
 
Wakuu,
Kuna shabiki/wapenzi wenzetu mbona siku hizi hatuwaoni humu jamvini? Leo ngoja niwaite maana naona kitamboo!

Noona(s) & Hyung(s) wangu mupo?
Prishaz, niffah, elmagnifico, Shark

Hebu nisaidie kuwaita/mention wengine ambao unawakumbuka. (Anza na alama ya @ ikifuatiwa na ID zao bila ya kuacha nafasi)
Nipo mkuu sema siku hizi sana international jukwaa, celebrities na tech
 
Back
Top Bottom