Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Hapo kwenye kipengele cha Male Popularity Award Naona Ata Mtu wangu wa nguvu SONG SEUNG HEON simuoni Kabisa u serious wote ule kwenye Black alafu hayupo. Huo sasa ni utani kabisa.
Black drama labda usubiri korean cable tv awards 2018 kwa sababu tunzo za mwaka 2017 zilifanyika mwezi wa tatu.
na drama ya goblin ndio ilionekana kufanya vizuri sana kwa cable tv.
utabiri wangu kwa cable tv drama awards kwa mwaka 2018 natabiri because this is my first life drama itashinda tunzo ya best drama.

hahahahahaaaaa uyo paka tu ameshaifanya hii drama ishinde tunzo
 
BLACK ndio itachukua tuzo
 
Na Huu Umpweka Alikuwa Anauficha Na Smile Lake Muda Wote Yaani..

Ivi kwa Nini Inakuwa Ivi Unashindwa Kuwa na Ata Mtu Mmoja Wakumweleza Mambo yako Hili Nafsi Ipungukiwe na Matatizo!!
Mamy kuna kipind niliwah kupitia matatizo nkawa nanyauka tuu sina w kumwelezea ,nkajipa moyo kumwelezea Dada mmja alikua Rafiki angu though sio kiviile ila alikua MTU wa kanisani sana...maajabu n kuwa alinitangaza!hapo ndo akanizidishia maumivu kabisa ,nliamua kupamban n hali yangu mwenyew kW kufanya ibada n kujitahid kW kila hali had nkazivuka changamoto hizo ...time heals n niliamin,...hua najiambia kama skuweza kufa that time basi stakuja kufa kW msongo w mawazo tena...i am happy and healthy and always I embrace my inner peace.
 
2017 KBS Drama Awards Opens Voting For Netizen Popularity Awards

Netizen Award – Male

go kyung pyo (strongest deliveryman)
kwon sang woo (mystery queen)
namgoong min (chief kim)
park seo joon (fight my way)
park hyung sik (hwarang)
e.t.c
Netizen Award – Female
kim ji won (fight my way)
chae soo bin (strongest deliveryman)
lee yoo ri (father is strange)
choi kang hee (mystery queen)
e.t.c
Best Couple Award
Kwon Sang Woo and Choi Kang Hee (Mystery Queen)
Go Kyung Pyo and Chae Soo Bin (Strongest Deliveryman)
e.t.c.
NB
nimeona uvivu kuendelea kuandika kwani nafsi yangu haina furaha ila sina depression, ni aibu kwa kbs drama awards kutokuwepo kwa QUEEN FOR SEVEN DAYS kwenye kipengele chochote.
 
  1. pole sana kwa yaliokukuta na ni jambo la kumshukuru mungu ya kwamba hukuchukua hatua yoyote hatarishi kwa ajili ya nafsi yako.
  2. depression ni tatizo ambalo linakufanya uamini ya kwamba hakuna anayekujali jambo ambalo kumbe si kweli, kinyume chake wapo wengi sana wanaokujali na kukuombea kila siku uendelee kufanikiwa lakini ndio bahati mbaya huwezi kujua kwa sababu ya maumivu yaliopo kwenye nafsi yako.
  3. unabaki kujiona huna kipaji, dhaifu, huna msaada wowote katika jamii na kufikiria kufanya maamuzi ya hatari pasina kufahamu ya kwamba hatua unayoichukua itawaumiza wale wote wanaotamani kukuona ukifanikiwa na kuwa na furaha katika maisha yako.
  4. nahisi ulifanya suala zuri sana kueleza matatizo yako kwa mwengine ili aweze kukusaidia.
  5. hakuna maumivu makali kama kuondokewa na mtu wako wa karibu kwa sababu ambayo inaweza kuzuilika, kwa mfano kujiua.
 
Wooah
Ailee namkubali sana
Ana song lake laitwa Are you the Same?
I really love her
 
Jamani queen for seven dayz ni nzuri ila walikosea sana kwny upande wa character ya king maaana braza MTU nyota Yake iling'aa zaid ya mdogo MTU so as the result wengi hatukuimaliziaga
 
Jamani queen for seven dayz ni nzuri ila walikosea sana kwny upande wa character ya king maaana braza MTU nyota Yake iling'aa zaid ya mdogo MTU so as the result wengi hatukuimaliziaga
Moja kati ya Drama nilizo zipotezea kama sizijuhi.!
 
Pole sana mkuu, hiyo kitu niliwahi kuangalia kama epsd 2 hiv kisha nikaipotezea ngoja nikipata mda nitaichukua.
Mimi mwenye iilikuwa muda mrefu najishauri niangalie au nisiiangalie,hata nilipoanza kuangalia nilikuwa nadownload ep moja moja kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…