Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!




Tunahitaji Kusahau Hili, Lakini Kila Nakopita Nakutana Nayo Uyu Kijana Aliteseka Sana,Mola Ampokee Na Hamsamehe Yote Aliyoyatenda Duniani..Amin
Uo Ni Ujumbe Alouacha Alitaka Usomwe baada ya kufa kwake.
So Touching..
 
Vijana nipeni idea maana sa hivi nashindwa kudownload drama kwa Uhuru vifurushi vimebana sana natumia airtel mwanzo nilikuwa na tumia 10gb kwa 600 ila sa HV vocha hazipo so buku GB 1 ambayo ni episode 3 tu.kwa Hali hii drama kudownload kumepungua kasi
 
Aigooooo! Pole, Mi Natumia VODACOM Najiungaga Ile Kifurushi cha yakwako tuuh kuna Cha Buku 10 unapata MB 10240 Kwa 7days na Kuna Kile cha Buku 2 unapata 3072MB Kwa 5days.
labda uame Mtaa.
 

Tafuta line ya TTCL ili ufaidi kifaa inabidi kiwe na 4G subiri saa 6 usiku TOBOA pack GB 10 kwa 1000 ni mwendo wa kushusha File la gb 3 dk kadhaa tu na hawapunguzi speed ila kwa dar sasa sijajua kama upo mikoani inakuaje jpo kuna mikoa inakubali
 
Tafuta line ya TTCL ili ufaidi kifaa inabidi kiwe na 4G subiri saa 6 usiku TOBOA pack GB 10 kwa 1000 ni mwendo wa kushusha File la gb 3 dk kadhaa tu na hawapunguzi speed ila kwa dar sasa sijajua kama upo mikoani inakuaje jpo kuna mikoa inakubali
Daaah afadhali hyo

sent using TV ya chogo
 
Tafuta line ya TTCL ili ufaidi kifaa inabidi kiwe na 4G subiri saa 6 usiku TOBOA pack GB 10 kwa 1000 ni mwendo wa kushusha File la gb 3 dk kadhaa tu na hawapunguzi speed ila kwa dar sasa sijajua kama upo mikoani inakuaje jpo kuna mikoa inakubali
Mi Niko moro

sent using TV ya chogo
 
Aigooooo! Pole, Mi Natumia VODACOM Najiungaga Ile Kifurushi cha yakwako tuuh kuna Cha Buku 10 unapata MB 10240 Kwa 7days na Kuna Kile cha Buku 2 unapata 3072MB Kwa 5days.
labda uame Mtaa.
Hichi cha buku mbili ni cha ukwl

sent using TV ya chogo
 
Yah cha ukweli lakini sijuhi ni kwangu tuuh Maana Kuna Wengine Nikiwaulizaga Wanasemaga Hawana Ila Mi Ndo Mara Nyingi Najiunga Na Icho.
Mm pia nimesikia hilo wengi wanapewa GB 2 bt ww gb3 so bahati pia unayo

sent using TV ya chogo
 
Aigooooo! Pole, Mi Natumia VODACOM Najiungaga Ile Kifurushi cha yakwako tuuh kuna Cha Buku 10 unapata MB 10240 Kwa 7days na Kuna Kile cha Buku 2 unapata 3072MB Kwa 5days.
labda uame Mtaa.
aminas usifikili kila mtu anapata hivyo, Ndio maana wakaita ya kwako tu.

Iko hiv katika kipengele hicho cha ya kwako tu kila mmoja ana ofa yake kutoka na anavyo nunua kwa wingi vifurushi vya upande huo (ya kwako tu).

Kwahyo usifikili akiamia leo atapata ofa kama zako hizo, lazima asote kwanza na anunue vifurushi kwa wingi upande huo. Kadri unavyo nunua nao wanakupandisha daraja. Mfano ww hicho cha 2000 ww unapata 3072Mb, wapo wanao pata GB10 kwa hiyo hiyo pesa. Kwahiyo kuna tofauti hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…