Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

weka picha ahjumma
 
mimi sijaiangalia ep 19 huoni nitakuwa nadanganya.
Yaani Babu Yake Ae- Sin Amefariki Mara Baada ya Lee wan ik kutoka Kubomoa Makazi Yake Ili Wapitishe Ujenzi Wa reli Wakati Ujenzi Wa Reli tayari Ulishakuwa Na Njia Yake Ila Yeye kwa Visa Vyake Akaenda Kumpa Presha Mzee Wetu.
 
mimi sijaiangalia ep 19 huoni nitakuwa nadanganya.
Nakafanya Yote Haya Ili Tuu Wawakamate Right Armies! na Amkamate na Ae Sin

Akalituma Lile Lanajeshi la Japan Kwenda Kumuua Jumo na Kisha Kumninginiza Kwenye Njia Kubwa ya Kupita Watu Na Vyombo Vya Usafiri ili Tuuh Wamkamate Yule Kiongozi Wao
 
Yaani Babu Yake Ae- Sin Amefariki Mara Baada ya Lee wan ik kutoka Kubomoa Makazi Yake Ili Wapitishe Ujenzi Wa reli Wakati Ujenzi Wa Reli tayari Ulishakuwa Na Njia Yake Ila Yeye kwa Visa Vyake Akaenda Kumpa Presha Mzee Wetu.
dah ina maana ujenzi wa reli pro japani wameshaufanikisha?

Gyeongin Railway opening ceremony, 18 September 1899.
 
Nakafanya Yote Haya Ili Tuu Wawakamate Right Armies! na Amkamate na Ae Sin

Akalituma Lile Lanajeshi la Japan Kwenda Kumuua Jumo na Kisha Kumninginiza Kwenye Njia Kubwa ya Kupita Watu Na Vyombo Vya Usafiri ili Tuuh Wamkamate Yule Kiongozi Wao
hii comment umeandika kwa hisia kali sana zaidi ya simba.
unatamani lee wan ik awe karibu yako.
πŸ˜›πŸ˜›
 
hii comment umeandika kwa hisia kali sana zaidi ya simba.
unatamani lee wan ik awe karibu yako.
πŸ˜›πŸ˜›
Yaaani we Hii Episode Imenitoa Chozi Wakati Nilishagomaga Kulia Coz ya Drama

Lakini Leo Mgomo Umesitishwa.

Yaani Amesababisha Yule Mzee kakata Kamba Na Kaona aitoshi Akabidi Aingilia Mazishi Ya Yule Mzee Akayaaribu Yaani!

Kaona Aitoshi Akaenda Kuharibu Tena Ile Siku ya Kumbukumbu Wanayofanyaga Temple Hill Tuuh Amkamate Ae Sin Mpka Wamemuua Yule Msaidizi Wake Ae Sin Yule Mmama Maana Wakiianza Kuwarushia Risasi Waombelezaji Maana Huiseong Kponea Chupu Chupu Nae Alitaka Auliwe Ndo Rights Armies Wakatokea Kuwakomboa
 
we ahjumma mtarajiwa miaka 20 ijayo mbona unanionyesha maajabu.
naomba uteguwe kitendawili chako
We Sema Njia Gani Nikutumie Au Niiweka Kwa Bahasha Nikapeleke Pale Feli Iende Na Boti La Mchana Huu!???
 
dah ina maana ujenzi wa reli pro japani wameshaufanikisha?

Gyeongin Railway opening ceremony, 18 September 1899.
Ndio Na Wanataka Anza Jenga Mpka baba Yake huiseong Aliienda kumuombea kibarua mwanae kwa Wan ik
 
Hili kundi lako silitaki kabisa[emoji23], kwa lady ae sin na eugen choi dah...
 
We Sema Njia Gani Nikutumie Au Niiweka Kwa Bahasha Nikapeleke Pale Feli Iende Na Boti La Mchana Huu!???
ahsante sana Mungu azidi kukuongezea baraka.
hii itakuwa ni offer ya tatu umenipa ila bado nasita kupokea offer zako mpaka itakapotimia offer ya 10000 ndio nitaipokea.
bado 9700.
hwaiting
Aja aja

 
Akalituma Lile Lanajeshi la Japan Kwenda Kumuua Jumo na Kisha Kumninginiza Kwenye Njia Kubwa ya Kupita Watu Na Vyombo Vya Usafiri ili Tuuh Wamkamate Yule Kiongozi Wao
hebu nikumbushe uyo jumo ndio yupi?
au yule dada anayeuza supu ya kuku aliyenona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…