basi amani ya bwana iwe juu yako usiku huu.Hahahaha mimi sina timu ila napenda muziki mzuri ambao kwa mooo faya naona umeshuka kiwango kidogo si kama siku za nyuma (Nifah asione hapa...na hata akiona asijibu)
Nyimbo za kihindi walaaa sema huwa napenda kuwaangalia wanavyocheza
Kuna swali nimebakiza?
Ndio naamini, maana ulishawahi kusema hata siku za nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen...uarabuni tena sio South Korea kula kimchi?basi amani ya bwana iwe juu yako usiku huu.
na mimi hii comment asifanikiwe kuiona aminas
jamani tupeane mikono ya amani kuanzia leo mpaka siku tutakayokwenda uarabuni kulima mitende.
niliyemkusudia atakuja siku chache zijazo, anaonekana hana furaha kwa sasa kama yalivyo mahusiano ya park bo gum na song hye kyo.
Naomba hii isiwe utani kama ulivyozoeaniliyemkusudia atakuja siku chache zijazo, anaonekana hana furaha kwa sasa kama yalivyo mahusiano ya park bo gum na song hye kyo.
south korea usiwe na wasiwasi naandaa mipango ya kuwa balozi wao wa sanaa nchini kwetu.
japokuwa nasikia nina wapinzani wengi sana wanaotamani nafasi ya ubalozi lakini kwa uwepo wa JF watapata tabu sana kama simba anapokutana na mwindaji anayecheza sebene.
simba mnyama ndie kusudio langu.
ahsante sana dada yangu kwa kunikumbuka, kesho ukienda sehemu ya ibada ukishaomba kwa ajili ya shida zako zinazokukabili baadae niombee na mimi.Damushin Noona anasema Heri ya mwaka mpya.
ah
ahsante sana dada yangu kwa kunikumbuka, kesho ukienda sehemu ya ibada ukishaomba kwa ajili ya shida zako zinazokukabili baadae niombee na mimi.
shida yangu mimi ni moja tu nayo ni hitaji la kuwa na hekima zitakazokuzidi wewe utakayeniombea.
sihitaji uniombee nipate pesa japokuwa ndio tatizo jengine sugu kwa sababu pesa bila ya hekima ni sawa na mlevi bila ya uongo.
naogopa kuandika maneno mengi nikaishia kudanganya kama nipo kwenye foleni kumbe kuna mtu namla kimya kimya.
kwa sauti ya rais wa venezuela ya afrika
😛😛😛😛😛
daebak, umemaliza kila kitu.
kama ungelikuwepo uwezekano tungelianzisha special thread kwa ajili ya SKY CASTLE, ila nimehofia tutakuwa tunafanya ubaguzi kwa wale wenzetu wanaoangalia makjang (막장 ) drama kwa sababu ili uingie kwenye thread yetu lazima usajiliwe.
hahahaaaaaaaaa watapata tabu sana team encounter, gwanggaeto, yi san, the crowned clown n.k
nimeshaihifadhi episode 17 muda huu lakini naiweka kiporo mpaka itoke episode 18 usiku wa leo inshaallah, si unajua raha ya kizuri ukile kwa wakati mmoja na si kwa mapande kama ujenzi wa barabara za nchi za kiafrika.
sasa basi mwenzangu kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa leo na taasisi ya Nielsen Korea ni kwamba episode ya 17 imefikia 19.9% kwa kuangaliwa nchi nzima, na mji wa Seoul imegonga 21.9 % ukilinganisha na episode 16 hivyo basi kwa hesabu za kutumia vijiti na mzigo wa mawe kama watoto wa nursery, rate imeongezeka kwa 0.7%.
kwa cable tv goblin drama ndio inashikilia rekodi ya kufikia 20.5% nchi nzima kwa episode, zimebaki episode tatu na kama itatokezea na leo rate ikaongezeka kwa 0.7% basi sky castle ndio itakuwa ni drama iliyoangaliwa zaidi na wakorea kwa cable tv drama per episode.
kuna watu humu ndani na wale wanaopita bila ya kuchangia chochote unaweza kushangaa wanatamani account yangu niisahau nywila ili stori za sky castle niwapunguzie.
teh teh teh teh povu naruhusu............
View attachment 999069
Less than evil na ghost detective sio kitu kimoja kweli?
- secret forest /stranger
- criminal mind
- pied piper
- 3 days
- tunnel
- life on mars
- k2
- hidden identity
- less than evil
- terius behind me
- lawless lawyer
- signal
- the player
- mad dog
- bad guys
- the ghost detective
- partners for justice
- heartless city
- gap dong
- queen of mystery
- mrs cop 2
- sign
- incarnation of money
- voice season 1, 2
- defendant
- black
- come and hug me
- children of a lesser god
- phantom
unywaji pombe kupita kiasi ni faida kwa mzalishaji.
Less than evil na ghost detective sio kitu kimoja kweli?
anyeong yoo jin woo
Okay
- less than evil (bad detective) : MBC : starring - Shin ha kyun
- the ghost detective : KBS : starring -choi daniel
Daima sipendi series za mambo ya kufikirika, ndio maana Goblin/Gumiho n.k zilinishinda.
Goblin nimeachia Ep ya 10.
Napenda kuangalia vitu vyenye uhalisia...
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] hapana mkuu sijachukia ila mi ni expert wa muvi nimeangalia season more than 130 ila city hunter ndio nilitoa bikra ya k drama 2012 na faith ikafatia miaka hio hio ndio maana mpaka leo nazipenda na nna ziheshimu afu six yenyewe napenda action yake na uwepo wa lee bang ji na cheuk sa gwang mkuuu ila izo n top three ila nnaseries ambazo nna zipenda kama
1.queen seondok
2.the legend
3.legend of blue sea
4.k2
5.moon lover
6.healer
7.remember war of the son
8.doctor stranger
9.blood
10.mr sunshine
11.iris
12.athena
13.warrior dong soo
Izo nazo nnazikubali kinyama pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilopofikia nakosa hata maneno jamani, maana familia mchanganyiko Mambo.talnam castle, popote ulipo nunua unachohitaji halafu woo joo atakuja kulipa, watapata tabu sana wapinzani wetu (makjang drama) na kipigo chao ni kizito muda huu kuliko cha mwizi aliyeiba soko la butcher.
wakorea siku ya jana wamejua kunifurahisha yaani nilikuwa naombea rate iongezeke kwa 0.7% lakini cha ajabu imezidi zaidi ya hapo.
siku yangu ya kwanza kuiangalia hii drama kama kawaida yangu nilikuja kuisifia humu ndani lakini watu kimyaaa wanahangaika na makjang plot, PD nim pleaaaaseeeee ongeza episode zifikie angalau 50 ili watu wahame mtaa wakajifiche kwenye ngome zetu.
“SKY Castle” Overtakes “Goblin” To Set Highest Viewership Ratings In Cable Network History
kwa mujibu wa taasisi ya Nielsen Korea episode ya 18 ya drama hiyo imeangaliwa nchi nzima kwa 22.3 %, ikiwa ni ongezeko la 2.4% ukilinganisha na episode ya 17. Goblin ndio drama iliyokuwa ikishikilia rekodi ya kuangaliwa zaidi nchini korea kupitia cable network.
zikiwa zimebakia episode mbili wadau mbali mbali nchini korea wamebaki na swali moja kubwa sana kwenye bongo zao
Je ni rekodi ipi itakayowekwa tena na sky castle?
je itavuka 25%?
yule mwanadamu aliyesema dawa ya moto ni moto kama bado yupo naombe nikutanishwe naye kwa ajili ya mazungumzo machache.
- sky castle = 22.3%
- goblin = 20.5%
- Reply 1988 = 18.8%
View attachment 1000019
Cha Min-Hyuk : munaionaje pyramid mpya niliowaletea, vipi ni nzuri? kuanzia sasa nataka muiangalie hii pyramid kileleni popote pale munapotembea.
nimefurahi sana mulipoivunja pyramid ndogo, nimedhibiti hasira zangu na nikaamua kuileta pyramid kubwa ambayo hamutathubutu kuivunja.
hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa baba kama huyu dawa yake ni kumlaza nje kila siku.