Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Baba ana tamaa yule ila sijaimalizia kila nikipata chance naangalia episode moja moja,ipo vizuri na nimependa ina ka scene kangu pendwa
πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› kila la kheri na ka scene chako pendwa.
halafu yule ahjussi nishaangalia drama zake mbili za historical na zote ameigiza uhusika wa kupenda totoz.

gu family book baadae alikutana na dhoruba ya mzimu kang chil
 
Wote wakali ila choi soo jong hua namuelewa zaidi!!!
 
unazikumbuka zile ngumi za utotoni?
utamsikia mmoja anamwambia mwenzake "nianze basi kama mbabe"

hivyo basi na hapa anza wewe kujenga hoja zako yupi ni bora kwa uoni wako, hata ukirusha ngumi za uso sisi tutavumilia bwanaaa
 
unazikumbuka zile ngumi za utotoni?
utamsikia mmoja anamwambia mwenzake "nianze basi kama mbabe"

hivyo basi na hapa anza wewe kujenga hoja zako yupi ni bora kwa uoni wako, hata ukirusha ngumi za uso sisi tutavumilia bwanaaa
Hahah kasema tuweke ushabiki pembeni ati
 
unazikumbuka zile ngumi za utotoni?
utamsikia mmoja anamwambia mwenzake "nianze basi kama mbabe"

hivyo basi na hapa anza wewe kujenga hoja zako yupi ni bora kwa uoni wako, hata ukirusha ngumi za uso sisi tutavumilia bwanaaa
Nitakuja na majibu baadaye, wacha niwafanyie upembuzi yakinifu, maana hawa jamaa ni kama mzani umelingana.
I'm looking for the weakness point.
 
Mimi sina uzoefu na series za kikorea kama kuna mtu alishaiangalia series ya Baekje anijuze kama Jang alifanikiwa kwenye harakati zake za crown prince
 
Mimi sina uzoefu na series za kikorea kama kuna mtu alishaiangalia series ya Baekje anijuze kama Jang alifanikiwa kwenye harakati zake za crown prince
inaitwa ballad of seo dong or song of prince drama na si baekje drama.
i
naonekana unaiangalia hii drama kwa njia ya kutafsiriwa kwa kiswahili
sijawahi kuiangalia hii drama lakini kwa mujibu wa asian wiki baadae anakuja kuwa mfalme wa 30 wa taifa la baekje na alipewa jina la king moo.​
 
Hiyo hiyo mkuu kama ni hivyo basi naendelea kuitazama maana nimiipenda sana kupita maelezo
 
Ukiona hivyo ujue ni tabia yake halisi ndo maana anaiwezea sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…