Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Daah kweli tunatofautiana, yaani mimi empress Ki ndio ilinifanya nielewe siasa hata za hapa bongo
Great King Sejong
Jeong Do Jeon
JingBirog(The Book Of Correction)
Queen SeonDeok

God Of War( Soldier)

Hizo ni moja ya Drama nzuri za kisiasa.
"Empress Ki" sikumbuki vizuri ilikuwa 2014 mwaka niliyoiona.
 
Kwanza kabisa ni samehe brother kiufupi ninakuaga nipo bussy Sana Wala sikuwa na lengo la kukwaza na sisi wote ni binadamu kukoseana ni sehemu ya Maisha yetu.
 
Naikubali sana, iko poa kweli kweli
 
Wee Daemusin mbona Yule Mke mkubwa wa wang Gun, mbona haonekani tangu alipoambiwa aende nje ya Palace kama ikiwa njia pekee ya kumtibu, kutokana kuwa Wild Gisaeng za mika 1000 zilikuwa zishatumwa Sangju kwa mzee Ahjigae( Baba yake Kyeon Hyeon).
Je Queen Huyo alikufa ama ndo uhusika wake ashamaliza, hata dingi yake( Lord Yu) simuoni tena Pale Palace.



Mzee mkubwa Kati ya Goryeo na Joseon, ni Nasaba ( Dynasty) ambayo ilikuwa na Wafalme wazuri na Ipi ilikuwa Powerful?
 
Wee @Daemusin mbona Yule Mke mkubwa wa wang Gun, mbona haonekani tangu alipoambiwa aende nje ya Palace kama ikiwa njia pekee ya kumtibu, kutokana kuwa Wild Gisaeng za mika 1000 zilikuwa zishatumwa Sangju kwa mzee Ahjigae( Baba yake Kyeon Hyeon).
wewe mjinga kutoka chato district hivi utaacha lini tabia ya kuniuliza maswali yako ya kijinga jinga?
badala ya kuniuliza maswali yanayomuhusu mke wangu mtarajiwa cha kushangaza mjinga wewe unaniuliza maswali yanayoomuhusu mke wa sheikh wang guhn,

huyo bwege alikuwa na wake takribani 30 ina maana mjinga huyo alikuwa na nguvu za kiume zenye ujazo wa pipa la maji.
kwa ufupi nimeshasahau kwa asilimia fulani kilichotokezea ndani ya hiyo drama, ila kama nitakuwa nipo sahihi hiyo drama imetuonyesha zaidi maisha ya wake zake wawili kwa asilimia kubwa sana.

  • mke wake mmoja ni yule aliyebahatika kumzalia mtoto wake aliyemkabidhi madaraka baada ya kifo chake.
  • mke mwengine ndiye yule aliyekuwa anampenda sanaaaa kama wema sepetu na ndio maana alimzalia watoto wengi akiwemo wang so, nina wasiwasi mke huyu ndiye aliyemtuma akapumzike nje ya palace kwa sababu ya ugonjwa na stress za kumpoteza mtoto wake wa kwanza. baadae kama nipo sahihi alirudi tena ndipo akaanza zoezi la kufyatua watoto takribani watano.


I wish ningelikuwa emperor wang guhn.
jamaa alikuwa hapumziki kufanya harusi kama ukumbi.
 
Me kutumia telegram nimeshindwa kabisa, na mb ni nyingi mno kwa kudownload wengine tunatumia bundles za kawaida, naomba aliye huku DSM , nije aniwekee kwenye device yangu! Plz plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…