Kuna mtu amenirushia episodes za drama ya VIP Kama umeiona hii drama vipi ni nzuri au mizinguo ili nijue kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna Gracious revenge nilikua naenda nayo sambamba aah nikaona mateso haya nimeishia ep 24 nasubiria iishee niivute yote,hapo hapo naivutia pumzi want a taste na mother of mine
Oya vipi hiv drama ya VIP ni nzuri au mbaya?hii weekend imekuwa mbaya sana kiupande wangu.
no stove league drama
no crash landing on you drama
manchester united imekuwa ovyoooo.
sijui nikajaribu kunywa pombe?
View attachment 1334140
Kuna mtu amenirushia episodes za drama ya VIP Kama umeiona hii drama vipi ni nzuri au mizinguo ili nijue kabisa
Je Haina ufundi wowote tofauti na kuchepuka?nzuri kiupande wangu....
unapenda kuchepuka?
So imejikita Sana kwenye kuchepuka kwahiyo Haina visa vingine tofauti?Kwangu mizinguo ipo slow sana inaboa usaliti wake wa kijinga yaani
Namaanisha Haina visa tofauti na kuchepuka?ufundi wa aina gani ulioukusudia...
kuchepuka na mtoto wa bosi pia ni ufundi
unapenda mchaka mchaka.
So imejikita Sana kwenye kuchepuka kwahiyo Haina visa vingine tofauti?
ubongo wangu umechoka.... kila nikivuta maneno hayaji
ishu nyengine ni biashara kwa kutarget tabaka maalumu la wateja (VIP)
unajua tena wateja wakubwa wana miiko yao, wanahitaji huduma bora kabla na baada ya kununua
Asante Sana umetoa maelezo mafupi na yamejitosheleza umemaliza kila kitu hapa ndo napowapendea wanawake Kuna jitu lililonitumie episodes za hiyo drama nikamuuliza ikoje hiyo drama alichonijibu sijakielewa kabisa sisi wanaume sijui tukoje kwenye kueleza mambo.Dhumuni kuu la movie ni biashara. Wanaonyesha jinsi wenye hela wanavyotumia hela mpaka hela zinaomba msamaha. Kwa hapo ni nzuri utaona jinsi tabaka la juu la korea linavyofaidi huduma za kiwango bora kabisa.
Movie ni nzuri ukitaka kuona maisha ya matajiri wanavyonyenyekewa
Baada ya kuangalia Queen seondeok na great kings' dream nimegundua zote zinaelezea history ya eneo moja kwa wakati mmoja ,lakini mwandishi ama mtunzi wa Queen seondeok kidogo aliweka uwongo mwingi has a kwa wahusika,,,,kama mishil inaonesha yupo hai mpaka 632AD ilihali real history inaonesha alikufa mwaka 612AD
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Hata hio Six Flying Dragon ukiipambanisha na Jeong Do Jeon, Six Flying Dragon itaonekana na Uongo mwingi.Ni kama six flying dragons na the great seer
Drama ya VIP nimeikubali Hadi sasa nishaangalia episodes 3 ila nimependa pale yule boss ambaye ana mke ni mfanyakazi wake alivyomdanganya mkewe anaenda kumsindikiza President wa company kumbe alienda hotelini kukutana na mchepuko naye mkewe akamua amfuatilie mumewe ili ajue je kweli mumewe kumsindikiza President wakati anamfuatilia akaona mumewe anaingia hotelini alafu akampigia simu akamuliza tena uko wapi mumewe akaendelea kumdanganya Mara wakakutana uso kwa uso.Hiki kipengele kimenigusa Sana yaani sisi wanaume tuna shida sana.Michembe(viazi vitamu vilivyokaushwa) Korea pia ipo awesome nimeona kwenye chocolate ni dried sweet potato
😂😂 Nilisema kuwa sitoshiriki shughuli zozote za kisiasa mpaka nitakapogombea Uraisi.punguza ulevi mjinga wewe..
huu ni mwaka wa siasa unapaswa urudi kijijini kwenu ukatafute rasilimali utajiri.
Naona leo umeamua Kunipa madongo kwel kwel au sio, tukiachana na Hilo naomba unipe app ya kudownload Korean drama maana kissasian inazingua dramanice nayo hivyo hivyo pleasewewe muhuni wa the blues
mwenzako nimefeli kidato cha nne kwa ujinga wangu ulioambatana na ucheza lakini namshukuru mungu elimu ya uandishi wenye viwango nimeondoka nayo.
mwenzangu kidato cha sita umefaulu daraja la kwanza ila cha kusikitisha muandiko wako hauna utofauti wowote na muandaaji wa risala za mazishi ya wahindi .... no comma, no full stop, no paragraph.
halafu ndio nini kutusimulia mkasa mzima wa tukio kama babu bombaa na wajukuu zake.
nakusalimia kaka mkubwa niliyemfunga magoli 6 msimu huu
kwenye ulimwengu wa simu mtaalamu wa application za kuangalia korean drama ni jirani yako kipenzi.....
Numbisa