Na Hyena Pia Imejaa Mambo ya Sheria.unataka kugombania nyadhifa uchaguzi ujao, basi tukutane kwenye kampeni (nimeshaandaa kontena la vitenge, fulana na za kuwahonga wapiga kura), mwenzangu umeandaa jambo gani (au ndio siri hapewi mpinzani)?
kwenye hiyo list ulioiweka inaonekana unavutwaa zaidi na spy drama zenye kubeba dhima ya diplomasia.
legal drama
- Dae Mul = (siasa)
- chief advisor season 1 and 2 = (siasa)
- iris 1 and 2 = (spy, thriller)
- diary of prosecutor
- stranger (secret forest)
- lawless lawyer
- my lawyer Mr jo season 1, 2
- suit drama
- whisper
- witch at court
- innocent defendant
- confession
- your honor
Unaazimishia Wapi Kumbukumbu Ya Leo. Ulojo Upo?wasukuma (miaka yenu ya kujimambafy imewadia)
nasikia ndege zetu munazitumia kupakia vipolo (viroba) vya unga wa sembe
Iangalie Ucheke.bingo (nimesahau labda kwa sababu sijaiangalia)
Mi Nishajitoa Simo.ooooooh! kumbe yule mtu mweusi alikufa siku ya leo.
karantini ya korona imeniweka nyumbani muda huu.
siku hizi tunakula viazi mbatata vilivyo kaangwa (unachanganya chumvi, pilipili, ndimu, ukwaju, tomato)
yule jamaa kichwa chake ni kizito, nahofia tabia yake ya kulala kwenye mawe itapelekea apasue kichwa chake
Mkuu umetumia nguvu nyingi kutokunijibuni kwa sababu bado ombi lako limejaa udhaifu, hizo drama za kileo pia zipo zenye ladha tofauti (hapo kwenye bandiko lako hujaweka categories zinazokuvutia)
action, criminal and investigation, law, comedy, rom-comedy, romantic,medical, siasa n.k.
wakorea pia wana project nyingi sana,
ubora wa project huamuliwa zaidi na muangaliaji na si aliyependekeza (yawezekana bwana X amevutiwa na project A lakini bwana Y project A imegeuka chukizo kiupande wake)
cha kufanya ni kutia mkono kwenye shimo, ukibahatika utapata dhahabu na ukighafilika utatafunwa na nyoka.
Mpe Yeyote Nzuri Ataenda Kuamua Mwenyewe.kivipi brother?
labda ulitaka nikuwekee list ya drama bila ya kufahamu category inayokuvutia?
Unaweza Ukawa Karantin Kabla Ya Ramadhan.ondoa wasiwasi kwa hilo, uji wako nitakunywa ramadhani
Nimetoka Kuimaliza Money Heist Mida Hii Na Nimeangalia Video Inayoonyesha Walivyotengeneza.kivipi brother?
labda ulitaka nikuwekee list ya drama bila ya kufahamu category inayokuvutia?
Mchagulie Nzuri Ata Tano (Ndani Ya Nafasi Yako).nitaweka ngapi mpendwa?
InshaAllah InshaAllah Mola Atufikishe Uko Amiin.Mungu atuepushe kwa sote....
gerezani si sehemu salama hata kwa usiku mmoja...
mwaka huu usije ukaninyima futari yako (naweka oda kabisa)
Kama Kawaida Ndo Linalotupa Nguvu Mwilini Sembe Na Sato.amen....
daku munapika sembe?
Itafute Hasa Uiangalie Uburudike Rohon. Maisha Yenyewe Mafupi Haya.acha nitenge siku maalum ya kuiangalia hiyo project..... sifa zimeshakuwa nyingi
Mjuu Ataiponda Kiukweli Wala Atokupa Ushauri Mzuri.acha nikatafute ushauri kwa mjukuu mstahafu
Sijui Kwanini Aifurahii!hampendi professor
Wakuu naombeni link ya telegram ya lile group la korean dramas Tz fans
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naombeni link ya telegram ya lile group la korean dramas Tz fans
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakufundisha Kupenda na kutetea penzi lako licha ya vikwazo.Jamani hii Marry Me Now karibu itanifanya kichaa na my colleague, kuna wakati mpaka tunajisahau tunacheka kwa sauti SMH [emoji2356]
Mpaka Itaewon naiona imepooza.
Hii ni drama bora kabisa, highly recommended
Scene nizipendazo ni za Madame Lee na shoemaker wake Park Hyo Seob (Napenda Madame Lee akiitamka)
Haki Madame Lee ni mrembo, true definition ya classy lady anakuwaje, OMG I love her
Hakuna jambo niliudhika kama familia ya Park Hyo Seob walipoingilia mahusiano yake na kumcontroll, hata hivyo utulivu wa Mr. Park na namna alivyohandle hilo nimejifunza mengi sana.
Ngoja niendelee mie, ndio kwanza nipo Ep. 19
[emoji111]️
Sent from my iPhone using JamiiForums