Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Haya Bwana Sun Woo tutafanyaje...vile namlenda Dr Kim daah.
Sema kumbe kweli hadi huko watalaka hawaachani[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka sasa hivi nakosa cha kusema kuhusiana na hii episode, haki nimeishiwa maneno kabisa.
Haya ndiyo matokeo ya kuendelea kuwa na ukaribu na ex wako, Sun Woo nimemvua vyeo vyote.
Nilivyokuwa natamani aishie na Dr. Kim sijui itakuwaje sasa 🤦♀️
Ila somehow nimepata releaf kwamba Da Kyung ataumia kwa kilichotokea.
Na tokea mwanzo nilipata mashaka ya wawili hawa kurudiana mwishoni, japo siwapendi pamoja as couple.
Aliyeziweka OST kuendana na yale matukio katisha sana [emoji1430][emoji1430][emoji1430]
aminas
Sent from my iPhone using JamiiForums