FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
Tafuta moja inayoitwa King Gwanggaeto the Great. Pia usisite kuleta mrejesho!Mi huwa napenda korean drama zenye bonge la action zaid ya six flying dragon season 1 kama ipo zaid ya hiyo nipe.
Hili mara nyingi hutokea hasa pale unapoweka tegemeo kubwa katika kazi ama project fulani ambazo zimekwisha sifiwa sana na watazamaji wengine.Hakuna drama ilowahi kuni disappoint kama vagabond [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama si juhudi za yule mhuni wa Kirusi Vladimir Gojayev, sijui hali ingekuwaje mule ndani ya ile safe ya hela.View attachment 1484357
Hatmaye nimeimaliza "THE FIERY PRIEST" I enjoyed a lot, Genre;Comedy , Thriller & action.
Duh!Sijui huu uvivu nimeutolea wapi
Utakutana na 'mazombi' ya hapa na pale!Guys
Naomba ambaye ameshaiona season 1 ya ''KINGDOM'' ambayo imeshatoka anipe summary kabla sijaanza iangalia
Nisijekutana na mauzauza
Me swez nliacha mwanzon baada ya kuona lile li vampire uwiiiihUtakutana na 'mazombi' ya hapa na pale!
Kama wewe ni mpenzi wa filamu za namna hiyo (horror), basi na hiyo utapata kuipenda.
KINGDOM inamuelezea Mwana Mfalme wa Joseon aitwae Lee Chang ambaye katika harakati za kiuchunguzi kufahamu undani wa ugonjwa uliomkumba Mfalme wa kipindi kile (baba yake) anasafiri kuelekea mbali kidogo na mji ili kutafuta ufumbuzi juu ya suala hilo.
Lee Chang anafika katika eneo moja la kitabibu akiwa na mlinzi wake binafsi ama bodyguard na kubaini kuzuka kwa janga kubwa na la kushangaza la wafu kurejea katika maisha na kuwaua wale walio hai, janga ambalo tayari limekwisha leta athari kubwa katika eneo hilo. Huko anakutana na mfanyakazi mmoja wa kitabibu, mtu pekee aliyenusurika katika kituo hicho cha kitabibu, mwanadada unaweza muita Seo-Bi.
Ni jukumu la Lee Chang pamoja na ushirika wa watu wake wa karibu kupambana dhidi ya kuenea kwa janga hilo kubwa na la kutisha katika eneo hilo na taifa la Joseon kwa ujumla.
Nakutakia utazamaji mwema!
Inabide nifanye hivyo mkuuDuh!
Kuna kamsemo kanasema, "kushindwa jambo sio makosa, bali kuacha kufanya jambo kabisa ni makosa makubwa."
Tukiuleta msemo huo katika tasnia yetu hii;
Kama ni projects, tazama hata mwanzo wake tu na kadri utazamapo unaweza kukutana na mambo mbalimbali yatayokupa hamasa zaidi ya kuendelea kutazama.
legend the wind bongo la kitu utasema party 2 ya jumongNini kinakufanya useme wakorea wambea wakat wapo so talented katka ku catch feelings na kwa style yao ya uigizaji....Mzungu haeki mkono....Nakushauri tafuta Jumong tu....utaelewa zaid.....
Una weekend nzuri mno,hwarang ipo vizuri
Ile scene anayo mpa soda ya coca imenipa demu mtaani kwanguOmo omo omo...
Ndio nimeimaliza What’s wrong with Secretary Kim. Ni drama nzuri sana,sana.
Hapa ndio naona faida ya ule msimamo wangu wa kutokuangalia ongoing drama maana kwa jinsi nilivyoipenda ningepata wazimu wa kusubiri.
Ep 10 ndio the best kwangu, nilicheka zaidi ya mwendawazimu! Nimempenda sana Ms. Bong Se Ra na yule Mr. Hero wake hahaaaaa
Yule bonge nae ana vituko jamani!
Sasa ndio naianza Hwarang...
Ile scene anayo mpa soda ya coca imenipa demu mtaani kwangu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ulifanyaje mkuu na mimi nifanyeIle scene anayo mpa soda ya coca imenipa demu mtaani kwangu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ile scene anayo mpa soda ya coca imenipa demu mtaani kwangu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yaaan Yuko vizuri,alililia kwa hisia utasema kweli kumbe igizo tu,hadi chozi lilinitoka.View attachment 1510809
Nani ame check It’s okay not to be okay ep 9 jana?
Daamn hii drama ni [emoji91][emoji91]
Kim soohyun hii drama anaitendea haki kwa kweli
Yaaan Yuko vizuri,alililia kwa hisia utasema kweli kumbe igizo tu,hadi chozi lilinitoka.
yuko njema ndo maana anaongoza kwa kulipwa vizuri
SureAna deserve kabisa kuwa highest paid
Jina jingine la hii drama au jina halisi la muigizaji.main characterMuitafute my holow love ts [emoji95][emoji95][emoji91][emoji91][emoji91]
Sent from my SM-J415F using JamiiForums mobile app
> Endless LoveUmoufia kwenu....naomba nisaidiwe orodha ya historical drama kali za kikorea .za miaka ya karibuni..nimecheki baadhi nimezipenda kama six flying dragon,royal gambler,scarlet nk,natanguliza shukran
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app