Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Mwaka huu wakorea wameniweza kweli asilimia kubwa ya drama zipo slow. Ooh my baby episode ya 2 ikanishinda,dinner mate nikakurupuka nimeivuta yote basi ipo ndivyo sivyo kwa siku naiangalia robo episode.
 
Mwaka huu wakorea wameniweza kweli asilimia kubwa ya drama zipo slow. Ooh my baby episode ya 2 ikanishinda,dinner mate nikakurupuka nimeivuta yote basi ipo ndivyo sivyo kwa siku naiangalia robo episode.
zote sijaziangalia, kiupande wangu nahisi wakorea mwaka huu wamechoka ndio maana dozi imepungua 😛😛
 
nahitaji kuijaribu hii project
the moon embracing the sun, bila ya shaka wengi wenu mulishaiangalia
 

Attachments

  • 1595986041354.png
    1595986041354.png
    145.9 KB · Views: 5
episodes 12 imeendeleaje?
-------------------------------------------
autism spectrum disorder ni ugonjwa usiomzuia mwanadamu kupenda;
nimenusa harufu fulani ya wivu alionao kaka mkubwa (sang tae) dhidi ya mdogo wake(gang tae) na inaonyesha dhahiri ya kwamba gang tae si kwamba anampenda Ko Moon-Young akiwa kama muandishi wa vitabu bali anampenda kama mwanamke anayepaswa kuwa wake kiuhalisia na si ndotoni,
  • kuna scene fulani koo moon young alitaka kulala pamoja na gang tae (baadae walilala pamoja) , sijui kulitokea mjadala gani yule bwana gang tae akamwambia brother wake pipes ya maji imepasuka ndio naitengeneza hivyo basi usitoke nje (kwa lengo asije kumuona yule binti), asubuhi walipoamka aligundua ya kwamba amedanganywa na mdogo wake (alikereka kwa sababu hapendi kudanganywa), ila kilichomkera zaidi ni kitendo cha binti kuvaa nguo za mdogo wake usiku kucha (kivyovyote alitaka binti azivae nguo za kwake yeye)
  • kuna scene fulani gang tae alimyoa (kumkata) nywele binti koo moon young na alimsifia sana ya kwamba amependeza, lakini kaka mkubwa alipokuja na kumshuhudia binti na muonekano wake mpya alichukizwa (kwanini binti amekata nywele) na kilichomkera zaidi kwa nini mdogo wangu anadai ya kwamba binti amependeza
  • gang tae alipomletea saini feki ya binti tulishuhudia hali ya kukasirika kwa kaka mkubwa sang tae
gang tae naye alipokuwa mdogo alikuwa na wivu sana dhidi ya kaka yake na sababu kubwa ni ile hali ya kaka kupendwa zaidi na mama kwa sababu mama yao alitaka gang tae awe zaidi ya mboni ya jicho yenye kumuangaza kaka muda wote, pia awe mtumwa au mlinzi wa sang tae kwa muda wote.

sang tae naye alikuwa na wivu dhidi ya mdogo wake na sababu kubwa ilikuwa ni afya (kwa nini nimezaliwa mgonjwa na si mdogo wangu).

ndio maana kwenye tukio la kuzama kwenye ziwa baridi kila mmoja alitaka kulipiza kisasi dhidi ya mwenzake
  • gang tae alisita kumuokoa kaka yake ili ajifie akiamini kifo cha kaka yake kitampunguzia madhila, baadae akaamua kumuokoa kwa huruma
  • sang tae baada ya kuokolewa naye akaamua kumuacha mdogo wake kwenye ziwa baridi ajifie
finally kwenye hilo tukio lililotokea hospitali ambalo sang tae anamlalamikia au kumpigia kelele mdogo wake mbele ya hadhira/hadhara (amezoea kumzodoa mdogo wake mbele ya hadhira/ hadhara) ya kwamba alimuacha akipiganie kifo chake kiuhalisia kaka mkubwa alikuwa anajizungumzia yeye mwenyewe (sote tunafahamu kilichotokezea ni kwamba yeye ndiye aliyemuacha mdogo wake).

kitendo cha gang tae kuwa karibu na binti hakileti tafsiri nzuri kiupande wake kwa sababu inaonekana dhahiri lengo lake ni kuwa pamoja na binti(rejea ule mchoro wa basi)

afanyeje ili amjengee muonekano mbaya mdogo wake:
acha nimzodowe mbele ya hadhara ndipo watu watakapomfahamu sura yake halisi,
oooooohhhhhhh! kumbe mdogo mtu alitaka kumuua kaka yake...... ndivyo watakavyosema wambeya na mafisadi vijisu na si viwembe
huyo wa mwisho hawezi kuwa ni sang tae (kaka) bali ni gang tae (mdogo) na huyo wa pembeni ni binti koo moo young ndivyo ninavyojiaminisha

simulizi ya sang tae na binti koo moo young inafanana na ule wimbo wa I DONT LOVE YOU ulioimbwa na Urban Zakapa (utatu mtakatifu).
ni rahisi kumpenda mtu ila ni vigumu sana kuingia naye kwenye mapenzi


Haaaah Asante kwa kunitoa tongotongo,nilijua hapendi kumshare kaka yake na mtu mwingine.ananikera sasa🤦
Hapo pa picha nilikua nimetoka kapa.
 
episodes 12 imeendeleaje?
-------------------------------------------
autism spectrum disorder ni ugonjwa usiomzuia mwanadamu kupenda;
nimenusa harufu fulani ya wivu alionao kaka mkubwa (sang tae) dhidi ya mdogo wake(gang tae) na inaonyesha dhahiri ya kwamba gang tae si kwamba anampenda Ko Moon-Young akiwa kama muandishi wa vitabu bali anampenda kama mwanamke anayepaswa kuwa wake kiuhalisia na si ndotoni,
  • kuna scene fulani koo moon young alitaka kulala pamoja na gang tae (baadae walilala pamoja) , sijui kulitokea mjadala gani yule bwana gang tae akamwambia brother wake pipes ya maji imepasuka ndio naitengeneza hivyo basi usitoke nje (kwa lengo asije kumuona yule binti), asubuhi walipoamka aligundua ya kwamba amedanganywa na mdogo wake (alikereka kwa sababu hapendi kudanganywa), ila kilichomkera zaidi ni kitendo cha binti kuvaa nguo za mdogo wake usiku kucha (kivyovyote alitaka binti azivae nguo za kwake yeye)
  • kuna scene fulani gang tae alimyoa (kumkata) nywele binti koo moon young na alimsifia sana ya kwamba amependeza, lakini kaka mkubwa alipokuja na kumshuhudia binti na muonekano wake mpya alichukizwa (kwanini binti amekata nywele) na kilichomkera zaidi kwa nini mdogo wangu anadai ya kwamba binti amependeza
  • gang tae alipomletea saini feki ya binti tulishuhudia hali ya kukasirika kwa kaka mkubwa sang tae
gang tae naye alipokuwa mdogo alikuwa na wivu sana dhidi ya kaka yake na sababu kubwa ni ile hali ya kaka kupendwa zaidi na mama kwa sababu mama yao alitaka gang tae awe zaidi ya mboni ya jicho yenye kumuangaza kaka muda wote, pia awe mtumwa au mlinzi wa sang tae kwa muda wote.

sang tae naye alikuwa na wivu dhidi ya mdogo wake na sababu kubwa ilikuwa ni afya (kwa nini nimezaliwa mgonjwa na si mdogo wangu).

ndio maana kwenye tukio la kuzama kwenye ziwa baridi kila mmoja alitaka kulipiza kisasi dhidi ya mwenzake
  • gang tae alisita kumuokoa kaka yake ili ajifie akiamini kifo cha kaka yake kitampunguzia madhila, baadae akaamua kumuokoa kwa huruma
  • sang tae baada ya kuokolewa naye akaamua kumuacha mdogo wake kwenye ziwa baridi ajifie
finally kwenye hilo tukio lililotokea hospitali ambalo sang tae anamlalamikia au kumpigia kelele mdogo wake mbele ya hadhira/hadhara (amezoea kumzodoa mdogo wake mbele ya hadhira/ hadhara) ya kwamba alimuacha akipiganie kifo chake kiuhalisia kaka mkubwa alikuwa anajizungumzia yeye mwenyewe (sote tunafahamu kilichotokezea ni kwamba yeye ndiye aliyemuacha mdogo wake).

kitendo cha gang tae kuwa karibu na binti hakileti tafsiri nzuri kiupande wake kwa sababu inaonekana dhahiri lengo lake ni kuwa pamoja na binti(rejea ule mchoro wa basi)

afanyeje ili amjengee muonekano mbaya mdogo wake:
acha nimzodowe mbele ya hadhara ndipo watu watakapomfahamu sura yake halisi,
oooooohhhhhhh! kumbe mdogo mtu alitaka kumuua kaka yake...... ndivyo watakavyosema wambeya na mafisadi vijisu na si viwembe
huyo wa mwisho hawezi kuwa ni sang tae (kaka) bali ni gang tae (mdogo) na huyo wa pembeni ni binti koo moo young ndivyo ninavyojiaminisha

simulizi ya sang tae na binti koo moo young inafanana na ule wimbo wa I DONT LOVE YOU ulioimbwa na Urban Zakapa (utatu mtakatifu).
ni rahisi kumpenda mtu ila ni vigumu sana kuingia naye kwenye mapenzi



Basi mi nilivyo tafsiri si tofauti sana
Naona kama Sang tae anachukia mtu mwingine kuingilia bond yao na gang tae kwa sababu for the longest walikua ni wenyewe wawili so ana depend sana kwa mdogo wake anaona akija mtu mwingine atauchukua upendo na care ya gang tae
 
Jinsi mlivyoisimulia hata sijihangaishi kuivuta imeisha utamu utadhan nimeshaiona kama world of married story nzima ipo humu. Bora mmenishtua mapema.
Basi mi nilivyo tafsiri si tofauti sana
Naona kama Sang tae anachukia mtu mwingine kuingilia bond yao na gang tae kwa sababu for the longest walikua ni wenyewe wawili so ana depend sana kwa mdogo wake anaona akija mtu mwingine atauchukua upendo na care ya gang tae
 
============================
copy and translate
kuna theory tofauti nimezisoma kwenye forum fulani kuhusiana na hii drama kwa kuanzia na tukio la mauaji la mama yao sang tae na gang tae.
mchangiaji mmoja anasema hivi:
huenda Park Ok-Ran na mama yake koo moon young ni ndugu na aliyefanya tukio la mauaji ni park ok ran na si mama yake koo moon young (writer Do Hee Jae ) kama tunavyoaminishwa kwa asilimia 50(hatukuonyeshwa vizuri sura ya muuaji)

Tale of Two Sisters imeandika hivi:
Janghwa na Hongryeon ni mapacha, janghwa maana yake ni rose na hongryeon maana yake ni red lotus na ukiliangalia vizuri lile vazi analopenda kulivaa Hongryeon utagundua lina mchoro wa maua mawili yaliokulia kwenye tawi moja.
1596130603599.png


  1. kile kibanio chenye nembo ya kipepeo huenda ndugu wote wawili wanacho, utofauti ni kwamba mmoja hukiweka upande wa kulia( Doo Hee Jae ) na mwengine hukiweka upande wa kushoto (huenda ni park ok ran) na kwenye tukio la mauaji aliyefanya tukio lile kibanio cha kipepeo alikivaa upande wa kushoto.
1596130521610.png


mama yake koo moon young alipendelea zaidi kucha zake kuzipaka rangi na pia alipendelea zaidi kuvaa pete lakini aliyefanya mauaji hakupaka rangi kucha zake za mikono na hakuvaa pete
kwa sababu ya hilo tukio la mauaji ndio maana park ok ran kwa nyakati tofauti amekuwa akibadilisha muonekano wake kwa kufanya plastic surgery.
1596130718973.png


hivyo basi mama yake koo moon young hana makosa
-----------------------------------------
theory nyengine ni hii: sijaiangalia mpaka mwisho hii video
anasema yule mkuu wa nurse na mama yake koo moon young ni ndugu
ep 13: the father of a tale of two siters itatupa jawabu
 
Basi mi nilivyo tafsiri si tofauti sana
Naona kama Sang tae anachukia mtu mwingine kuingilia bond yao na gang tae kwa sababu for the longest walikua ni wenyewe wawili so ana depend sana kwa mdogo wake anaona akija mtu mwingine atauchukua upendo na care ya gang tae
wow, huenda upo sahihi, he just really idolizes her kama muandishi wa comic books na si vyenginevyo.... His reaction pindi anapomtaja moon young kama ni rafiki yake kipenzi huenda anamaanisha ni kama vile mchezo wa kitoto pindi anapoletewa zawadi nzuri inayomjaza furaha nafsini.

lakini kuwa na Autism hakumzuii kupenda 😎😎😎

nimeikumbuka good doctor drama
 
Back
Top Bottom