Asante ngoja nijaribu tenakama umeshaidownload na kuziona server haina haja ya mb. kazi hapo ni kuilazimisha server ikubali. mara nyingi huwa inasema user server limits.
mara ya kwanza ilinigomea nikaja kuijaribu saa kumi usiku ikakubali maana watu wanakua wamepungua ,hapo unaenda nayo siku nzima,kazi ni kuadd time tu
Asante ngoja nijaribu tena
Nimefanikiwa Sasa hapa imefika sehem kama imestuck Ila VPN Bado iko onUsichoke maana ukifanikiwa hutajutia kuifahamu.
Nimefanikiwa Sasa hapa imefika sehem kama imestuck Ila VPN Bado iko on
Asantehuwa inakua hivyo inastuck kisha inaendelea hivyo ukiweza kushusha episode 5 kwa siku jipongeze maana kesho yake utashusha 10 kisha utaendelea hivyo hivyo maana utakua umeshaizoea na kuijulia. ukiwa unadownload fanya kazi nyingine huku ukicheza na ku add time tu.(ukibahatisha ikakubali uangalie tangazo unapata muda mwingi)
Leo nimeshindwa kuvuta ep kwa wire tun maana sio kwa kugoma huku, ngja niingie kwenye stock ya akina nimalizie viporo
Mkuu kimoitv tv nikidowd epsode zinajipakua mbili wakt nimedownlod moja, na data inasepa ya epsod mbili hii imekaaje mzee, mara ya kwanza nilidhan labda nakosea naklik mara mbili bt ni tofauti huwa nabofya mara moja tu na kwenye galaxy ikishapakua unakuta mbili na bando limelika la mbili. Msaada.Kwenye mb chache nkiri wako vzuri sana ila kimo wana series nyingiii[emoji91][emoji91][emoji91]
Na nawezaje kuona progres za upakuaji mkuu, yaan zilizodownlodiwa na zinazoendelea kupakua.Kwenye mb chache nkiri wako vzuri sana ila kimo wana series nyingiii[emoji91][emoji91][emoji91]
Unatumia browser gani kudownload?Mkuu kimoitv tv nikidowd epsode zinajipakua mbili wakt nimedownlod moja, na data inasepa ya epsod mbili hii imekaaje mzee, mara ya kwanza nilidhan labda nakosea naklik mara mbili bt ni tofauti huwa nabofya mara moja tu na kwenye galaxy ikishapakua unakuta mbili na bando limelika la mbili. Msaada.
Natumia crome mkuuUnatumia browser gani kudownload?
Nina app ya kimoitv moja kwa moja naingia bt mwanzo nilikuwa naisachi through crome.Unatumia browser gani kudownload?
Vipi mzee baba ukiicheki zile korean drama nilizokuambiaNina app ya kimoitv moja kwa moja naingia bt mwanzo nilikuwa naisachi through crome.
Mzee baba bado nazilia timming bt nimeshaziselect kwenye favorite zangu.Vipi mzee baba ukiicheki zile korean drama nilizokuambia
thanks, sasa napata 2hrs per single addelete download upya
thanks, sasa napata 2hrs per single ad