Nna mwaka wa 7 sasa hakuna burudani nnayotazama zaidi ya Korean dramas yaani kuna muda huwa sitaki watu washike simu wala pc yangu wengi wanadhani nina picha za ajabu kumbe naogopa tu wataniona wa ajabu maana wamejaa wakorea tupu.
Natazama zangu New Leaf muda huu[emoji91]
Mnatizama nin jamani
Natizama Eve ila nahisi kama natizama marudio ya drama za chaebol family
Yumiβs cells naona sipati vibe kama la season 1 sijui jinyoung naona haendan na kim go eun
Nimechek money heist korea imebid nisimame maana mmeiponda ila kiukweli hawajaiakt kama wao unakose ule udambwi wa kikorea though berlin na tokyo wameuvaa uhusika vizur
Sasa nataka niianze Anna ya Suzy
Ila ishapondwa subtitle
Kweli kila mtu huwa na chaguo lake, yangu ni:-Kuna lile songi la cherry blossom love kwenye series ya 100 days my prince
Yani lile ndo my favoutite ost kwenye korean drama zote adi nimeliweka kama ringtone yangu!
Jamani hii yumi's cells naisubiria kwa hamu iishe ndio nipakue. Sijali akina yumi wanafanyaje mimi napenda cells[emoji1787][emoji1787][emoji1787] can't wait to see Lust cell, reason,hunger, love, emotion na wengineMnatizama nin jamani
Natizama Eve ila nahisi kama natizama marudio ya drama za chaebol family
Yumiβs cells naona sipati vibe kama la season 1 sijui jinyoung naona haendan na kim go eun
Nimechek money heist korea imebid nisimame maana mmeiponda ila kiukweli hawajaiakt kama wao unakose ule udambwi wa kikorea though berlin na tokyo wameuvaa uhusika vizur
Sasa nataka niianze Anna ya Suzy
Ila ishapondwa subtitle
[emoji16][emoji16][emoji16] hatari sana huu ugonjwa ila mimi kilichonishinda ni muziki. Umenishinda kabisaNna mwaka wa 7 sasa hakuna burudani nnayotazama zaidi ya Korean dramas yaani kuna muda huwa sitaki watu washike simu wala pc yangu wengi wanadhani nina picha za ajabu kumbe naogopa tu wataniona wa ajabu maana wamejaa wakorea tupu.
Natazama zangu New Leaf muda huu[emoji91]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna nyuzi humu jf zinaelekeza namna ya kudownload pesaJamani ee bando la mseleleko tushapata mwenye mbinu za kudownload pesa atufundishe tupunguze kubanana kwenye daladala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nikitulia tu nipo you tube kushangaa maajabu ya volcano
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi bado sana huwezi kunilinganisha na Daemushin Al-Hadidy na manguli wengine.Aiseeh nikipitia update za watu humu kwenye huu uzi ndo naamini kuwa mimi bado learner sana kwenye hii tasnia licha ya kujiona nguli na addict wa k-drama, yaani watu wanataja drama ambazo sijawahi hata kufikiria, watu wamekariri celebrity wa korea kama wanaishi kule yani, mara tabia zao.....nk.
Kama hili lingekuwa ni clasa basi ni ile umepelekwa shule za vipaji ( ILBORU, MZUMBE, TABORA) kimchongo halafu unakuta watu wamekata syllabus za form 5&6 kabla hata hamjaanza masomo, ni lazima wenge likutoke[emoji23].
Ngoja niwataje tu Numbisa talnam Al-Hadidy Daemushin Khantwe Aiseeh.
Hicho kipengele cha kushika majina ni msiba hata kwangu, nawajua waigizaji wengi sana (karibia wote) kwa sura na drama walizocheza ila ukiniuliza majina yao sikujibu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi bado sana huwezi kunilinganisha na Daemushin Al-Hadidy na manguli wengine.
Kuna rafiki yangu huwa anacheka balaa ye wakorea anawaangaliaga startimes basi tukiwa wote ananishangaa ninavyomtajia majina ya waigizaji na umri wao[emoji16][emoji16] eti unawezaje kushika majina yao yalivyo magumu
Mimi siwezi kumuona mwigizaji kwenye drama zaidi ya mbili na nisimshike jina(hasa akicheza main role) Labda awe hajanivutiaHicho kipengele cha kushika majina ni msiba hata kwangu, nawajua waigizaji wengi sana (karibia wote) kwa sura na drama walizocheza ila ukiniuliza majina yao sikujibu.
Muziki ndio mambo yangu yaani ballads kama zote,K-Pop Girl Groups nako moto yaani ukija huku kuna watoto wazuri hadi unaweza kuwaona wale mastaa wa kike wa sinema ni wa kawaida sana[emoji16][emoji16][emoji16] hatari sana huu ugonjwa ila mimi kilichonishinda ni muziki. Umenishinda kabisa
Mimi majina yapo hapa ila nipo tofauti na fangirls wanavyovutiwa na mastaa wa kiume basi mimi navutiwa na wa kike akina Noona.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi bado sana huwezi kunilinganisha na Daemushin Al-Hadidy na manguli wengine.
Kuna rafiki yangu huwa anacheka balaa ye wakorea anawaangaliaga startimes basi tukiwa wote ananishangaa ninavyomtajia majina ya waigizaji na umri wao[emoji16][emoji16] eti unawezaje kushika majina yao yalivyo magumu
Aiseeh nikipitia update za watu humu kwenye huu uzi ndo naamini kuwa mimi bado learner sana kwenye hii tasnia licha ya kujiona nguli na addict wa k-drama, yaani watu wanataja drama ambazo sijawahi hata kufikiria, watu wamekariri celebrity wa korea kama wanaishi kule yani, mara tabia zao.....nk.
Kama hili lingekuwa ni clasa basi ni ile umepelekwa shule za vipaji ( ILBORU, MZUMBE, TABORA) kimchongo halafu unakuta watu wamekata syllabus za form 5&6 kabla hata hamjaanza masomo, ni lazima wenge likutokeπ.
Ngoja niwataje tu Numbisa talnam Al-Hadidy Daemushin Khantwe Aiseeh.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna nyuzi humu jf zinaelekeza namna ya kudownload pesa
Nimedownload Be Melodramatic ila sina mzuka wa kuiangalia hivi ni touching eeh?