Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Wewe ni kesi maalum tulia pembeni. Mie naangalia kila kitu maana mb zenyewe zipo tele haina haja ya kubagua. Hivi inno kama drama tu unafanya hivyo misosi si mingi utakua na ugomvi nayo
[emoji16][emoji16][emoji16] watu wa nyumbani mwake bila shaka wanapata tabu sana.
 
Kwangu sio muhimu,cha muhimu ni kuongeza idadi ya drama nilizoangalia kuliko kubagua wakati hata sijawahi changia bajeti za drama zao. Siwezi kuelewa hoja zako tafuta mtu yoyote humu hawezi kukuelewa maana mb zenyewe za kumwaga hivyo hakuna hasara ya kuburudisha macho na roho kuangalia kila drama
Kama una mb za kumwaga ni sawa kufanya hivyo ila kwa sisi ambao tuna mb za budget ni ngumu kufanya hivyo
 
Unaona ulivyo? Wapi nimesema ni bora kuliko drama zilizotoka mwaka huu? Nimesema ni drama bora kwangu kwa mwaka huu kwanza kwa drama zilizotoka mwaka huu nadhani nimeangali hiyo tu na Woori the virgin
Hiyo ya kusema ni drama yako Bora kwa ulizoangalia mwaka huu sawa ila hiyo haikuwa hoja yangu kuu hoja yangu ni kwamba nimwambia Numbisa ukali wa drama upo kulingana na preference ya mtu
 
Hata wakati wa mb za bajeti nilikua navuta yoyote tu shahidi comments zangu za nyuma ni either nitaisifia au nitaipondea
Kama una mb za kumwaga ni sawa kufanya hivyo ila kwa sisi ambao tuna mb za budget ni ngumu kufanya hivyo
Hoja yako kuu ni ubishi tu usio na maana pole kwa kushushuliwa
Hiyo ya kusema ni drama yako Bora kwa ulizoangalia mwaka huu sawa ila hiyo haikuwa hoja yangu kuu hoja yangu ni kwamba nimwambia Numbisa ukali wa drama upo kulingana na preference ya mtu
 
Sana tu yaani anatabia ya kulazimisha kila anachokipenda yeye na wengine wakipende
[emoji16][emoji16][emoji16] watu wa nyumbani mwake bila shaka wanapata tabu sana.
Anajiona kakamilika kila idara pitia nyuzi zake hadi comments zake. Mie nilidhani hio topic ya preference zake ilishaisha kumbe aliniweka kiporo aje kupata point mbeleni daah😂😂😂😂😂
Sasa wewe huwa unalazimishia drama yako unayoipenda kila mtu aipende
 
Sana tu yaani anatabia ya kulazimisha kila anachokipenda yeye na wengine wakipende

Anajiona kakamilika kila idara pitia nyuzi zake hadi comments zake. Mie nilidhani hio topic ya preference zake ilishaisha kumbe aliniweka kiporo aje kupata point mbeleni daah😂😂😂😂😂
Silazimishi ninatoa sifa za hiyo drama
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah yaani mimi nazielewa sana yaani, kuna siku mtu alinikuta naangalia akaniambia mtu mzima unaangalia katuni? Yaani kwa idea uwepo wa zile cells naweza kusema Yumi's cells ndio drama yangu bora kwa mwaka 2022, it's so relatable [emoji1787][emoji1787]
Sarange,gabsonga,pegupaa
 
Emotion cells,reasoning cells,hungry cell,love cells, yumis cells tamu acha niendelee kucheka mi
Umeona eeeh?? Nafurahi kupata mshirika...bila kumsahau detective cell, naughty cell, writer cell, cheapskate (stingy) fashion cell, guard etc
 
Back
Top Bottom