Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Me too hata main actor na actress sijawapenda nashangaa nikajikuta team concubine.
Sijui nani alimshauri kuchukua role hii kwenye bloody heart....hajapendeza wala [emoji706][emoji706][emoji706]

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] I know the pervert in you is not happy at all. Mimi navuta muda na bloody heart ninaposubiria nkiri....niliona kule kwenye channel yetu imepostiwa kwa mb chache nikasema ngoja nizame. Haina mvuto sana kwangu mimi labda kwa sababu ni mwanzoni, ndio niko episode ya tatu
 
Unaionaje lakini

Zamani kabla ya kujua wasanii yani wakiigiza twins huwa napata vibe kabisa ni watu wawili tofauti, Ukubwa huu naona napigwa
Hako ka feeling ka kupigwa huna kanaua mood kabisa, ndomaana mimi huwa sipendi maonyesho yaliyozidishiwa uongo (vitu ambavyo kikawaida haviwezekani), mfamo drama kama LEGEND OF THE SEEKER.
 
Mie wanachoniuzi ni pale actress anateseka weee halafu episode za 40 huko anapata ka unafuu eti anasamehe yootee aliyotendewa. Yaani mie nimeteseka nae tangu mwanzo halafu yeye anasamehe kirahisi rahisi tu😂😂😂😂
Yaani inaumiza moyo namna female lead anavyopitia magumu natamani hata niingie nimbembeleze maana hadi episode ya 20 niliyofika nashukuru mie ni wa kiume,enzi zangu ningelia[emoji23][emoji23]
 
Hako ka feeling ka kupigwa huna kanaua mood kabisa, ndomaana mimi huwa sipendi maonyesho yaliyozidishiwa uongo (vitu ambavyo kikawaida haviwezekani), mfamo drama kama LEGEND OF THE SEEKER.

Yani ndo kinanikuta maana ji sung ndo namna yake ya kusolve hata kwa drama nyingine... so naona why wampe character zote mbili mtu mtu mwenye sifa ile ile

So far, niko nayo sambamba.
 
Mimi actress nampenda wee.... Seo in jae from startup [emoji7] hata actor naona hayuko vibaya

Ndo maana nilihisi nishawah muona
Na yuko bold itakua ndo faeture yake...

Bae jang hyuk hana baya ye hujibebea role yoyote[emoji2] hata kuwa loanshark ilimradi yupo kwa screen
 
Yaani inaumiza moyo namna female lead anavyopitia magumu natamani hata niingie nimbembeleze maana hadi episode ya 20 niliyofika nashukuru mie ni wa kiume,enzi zangu ningelia[emoji23][emoji23]
Oya kamanda nitajie drama Kali za mjini naona kwenye stock yangu zimeisha nahitaji nyingine huku pia kwenye ongoing nimeshazimaliza adamas na big mouth
 
Mie wanachoniuzi ni pale actress anateseka weee halafu episode za 40 huko anapata ka unafuu eti anasamehe yootee aliyotendewa. Yaani mie nimeteseka nae tangu mwanzo halafu yeye anasamehe kirahisi rahisi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo anatakiwa atushirikishe kwanza tulioteseka nae
 
Ndo maana nilihisi nishawah muona
Na yuko bold itakua ndo faeture yake...

Bae jang hyuk hana baya ye hujibebea role yoyote[emoji2] hata kuwa loanshark ilimradi yupo kwa screen
Yes naambiwa yupo na undercover ila nimejaribu kumtafuta humo simuoni kabisa... nadhani nahitaji kuitazama tena
 
Jang Hyuk hajawahi kushirki kwenye kazi mbovu na ni miongoni mwa wakorea wanaovuta mpunga mrefu kwenye tasnia.

HIDEN ROOTS
SIX FLYING DRAGONS( nahisi ndiyo hiyo ya juu)
SHINE OR GO CRAZY
IRIS 2
THE VOICE
BLOODY HEART.

Kwenye hizo series zote( nilizobahatika kuziona) hajawahi kukosea.
Six Flying Dragons hivi yupo mle??
 
Back
Top Bottom