Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti cha umbea lol. Nkiri warudi tu jamani nimechoka kupakua mb 165 wakati mwanyewe nilikuwa nimezoea mb 95, 100, 115 zikizidi sana 120.
Woong mwehu tu mimi wala simpendi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alifikiri Yumi atakaa anamsubiria...Babi bonge la mwanaume sijui unapata wapi nguvu za kumuacha mwanaume kama Babi jamani
 
Jina tamu kwa kiswahili si ni cha umbea ama?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie nasubiria nkiri ije nilikua navuta kila inayotokea pale juu hasa nikiwa sina cha kudownload

Bora Babi alichangamkapo kuliko wungi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alipotoswa kwa mara nyingine nilifurahi
Yu babi naye kumbe kashaliwa kichwa na yumi
 
Watu wengi bado hawajamove on kutoka kwa Woong.... What's so great about him[emoji57][emoji57][emoji57] This is Babi's error [emoji3577][emoji3577][emoji3577] Na mimi ndio president wa Babi's club[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787] vile woong ni handsome kuliko Babi alafu very humble basi tu kukosa hela akakosa kujiamini
Yani we Prezidaa ndo unanikata maini na hako katoto kanachokua swayed na vitoto vyenzie

Tizama sex scene za woong na Babi hata lust cell alikua analiamsha kila muda[emoji2957][emoji16]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti cha umbea lol. Nkiri warudi tu jamani nimechoka kupakua mb 165 wakati mwanyewe nilikuwa nimezoea mb 95, 100, 115 zikizidi sana 120.
Woong mwehu tu mimi wala simpendi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alifikiri Yumi atakaa anamsubiria...Babi bonge la mwanaume sijui unapata wapi nguvu za kumuacha mwanaume kama Babi jamani

Yan kimoi nimeshusha ma episide za 230 huko alaf sura zinashake shake

Nkiri irud tu
 
[emoji1787][emoji1787] vile woong ni handsome kuliko Babi alafu very humble basi tu kukosa hela akakosa kujiamini
Yani we Prezidaa ndo unanikata maini na hako katoto kanachokua swayed na vitoto vyenzie

Tizama sex scene za woong na Babi hata lust cell alikua analiamsha kila muda[emoji2957][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Woong ni handsome kuliko Babi?? Unaongea kitu gani wewe, Unategemea nini kwa mtu ambaye prime cell yake ni pride cell? Kuwa swayed kitu gani bwana, hayo ni mambo ya kawaida kwenye long distance relationship [emoji16][emoji16][emoji16]
Ila kweli lust kwa Babi alipooza sana aisee sikutegemea nilikuwa nategemea kuona vijimambo vyake.
 
[emoji1787][emoji1787] vile woong ni handsome kuliko Babi alafu very humble basi tu kukosa hela akakosa kujiamini
Yani we Prezidaa ndo unanikata maini na hako katoto kanachokua swayed na vitoto vyenzie

Tizama sex scene za woong na Babi hata lust cell alikua analiamsha kila muda[emoji2957][emoji16]
Halafu unaweza kuamini aliyeingiza sauti ya lust ni mdada eti [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Woong ni handsome kuliko Babi?? Unaongea kitu gani wewe, Unategemea nini kwa mtu ambaye prime cell yake ni pride cell? Kuwa swayed kitu gani bwana, hayo ni mambo ya kawaida kwenye long distance relationship [emoji16][emoji16][emoji16]
Ila kweli lust kwa Babi alipooza sana aisee sikutegemea nilikuwa nategemea kuona vijimambo vyake.

Woong for life[emoji1787]

Sasa eti wanamleta park bo gum kuwa soonrook(mume wa yumi) hapo nitakua swayed kwakweli
 
Muhuni yuleee anaweza had kuamsha yangu hahahahah akianza vile viuno hahah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu babi hawakutuonyesha lust cell wake maa na wa Woong tulimuona, akipandisha mashetani vumbi linatimka, hakukaliki. Ndio niliona tofauti ya mwanamke na mwanaume linapokuja hilo suala....
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu babi hawakutuonyesha lust cell wake maa na wa Woong tulimuona, akipandisha mashetani vumbi linatimka, hakukaliki. Ndio niliona tofauti ya mwanamke na mwanaume linapokuja hilo suala....

Anawaka moto hadi akili haifanyi kazi Yumi alikua achomoi zile amsha amsha... huku mpaka aanze.
 
Back
Top Bottom