Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
πππππππππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti cha umbea lol. Nkiri warudi tu jamani nimechoka kupakua mb 165 wakati mwanyewe nilikuwa nimezoea mb 95, 100, 115 zikizidi sana 120.
Woong mwehu tu mimi wala simpendi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alifikiri Yumi atakaa anamsubiria...Babi bonge la mwanaume sijui unapata wapi nguvu za kumuacha mwanaume kama Babi jamani