Nina 'series' karibu zote za 'Historical dramas' na mpya. Inayooneshwa sasa ni nzuri ya "Hwarang - the beggining". Kikundi cha vijana kilichoanzishwa kumlinda Mfalme na ukoo wake.Kwa sasa sina hata moja ndio maana nahangaika maana nilihonga laptop yenye series na mtu huyo yupo mbali.Laptop yangu sasa hivi ni nyeupeeee haina hata moja
Yap nipo dar my wiiUmesharudi Dar? Pc ilizingua kidogo ntakuambia nadhani wiki hii itakua poa
Basi nitakutafuta unipatie hizo seriesNina 'series' karibu zote za 'Historical dramas' na mpya. Inayooneshwa sasa ni nzuri ya "Hwarang - the beggining". Kikundi cha vijana kilichoanzishwa kumlinda Mfalme na ukoo wake.
Bila shaka, uwe na kifaa chenye "storage capacity" kubwa kama 2 TBBasi nitakutafuta unipatie hizo series
Sasa wii unaonaje umtafute huyu ajussi kwanza ndo uje kwangu[emoji13]Basi nitakutafuta unipatie hizo series
Nifah Unni anasema asante kwa mwongozo maana nae itabidi atumie muda wake kumsikiliza halafu alete mrejesho. Hapa naona pia utakuwa umemgusa Damushinmuhyool moja kwa moja maana ndio uwanja wake.Leo nilitumia muda wangu kumsikiliza Yim Jae Bum hasa OST yake iliyotumika kwenye series/drama ya slave hunters Stigma.
Hii ni moja kati ya my favorite OST ever,huwa inanifanya nitoe chozi nikiangalia hiyo drama.
Jamaa ana powerful voice,namkubali sana.
cc Prishaz Khantwe
Damushinmuhyool
mara ya kwanza wakati namsikiliza mimi binafsi nilishangazwa na powerful voice yake kama michael bolton nakumbuka nilimtumia Prishaz amsikilize ila hajanipa mrejesho wowote,kiukweli nyimbo zake zote ni nzuri sana ila mimi nimeupenda zaidi ule unaoitwa confession.Leo nilitumia muda wangu kumsikiliza Yim Jae Bum hasa OST yake iliyotumika kwenye series/drama ya slave hunters Stigma.
Hii ni moja kati ya my favorite OST ever,huwa inanifanya nitoe chozi nikiangalia hiyo drama.
Jamaa ana powerful voice,namkubali sana.
cc Prishaz Khantwe
Damushinmuhyool
hahahahahaaaaaNifah Unni anasema asante kwa mwongozo maana nae itabidi atumie muda wake kumsikiliza halafu alete mrejesho. Hapa naona pia utakuwa umemgusa Damushinmuhyool moja kwa moja maana ndio uwanja wake.
Vipi mtu wako wa kuchekacheka umeshamalizana nae? sijapata mrejesho wa machozi....
Nyie mnatumia simu gani maana mimi nimeidownload lakini inaniletea video za youtubeMkuu EMPTY ile link ya uzi wako wa lists za Korean Drama iko poa maana ina links za kutosha, tatizo nimedownload moja inaitwa The Jingbirok A Memoir of Imjin War haina English Subtitles kaka, yaani nimekuja kugundua baada ya ku download episodes karibia 51
Mi natumia PC kakaNyie mnatumia simu gani maana mimi nimeidownload lakini inaniletea video za youtube
Daah nlikuwa najiuliza wamepewa kiasi gani hadi kukubali kucheza muvi ya vilemimi binafsi niliitizama kwa dakika 30 tu hii movies ya frozen flower,kiukweli sikutegemeya mwanadada Song ji hyo (yesoya) kukubali ofa ya kucheza movie kama ile jinsi nilivyomuona kwenye jumong,crime squad,gye baek nilimchukulia kama ni mwanadada anayejiheshimu sana
pia hata sikutegemea kama huyu jamaa anayeitwa jo jin moo ambaye ameigiza drama kama vile bichunmo,my love eundong,empress ki naye ningemuona kwenye movie ile lakini ameshinda best actor kupitia ile movie ila wote wapo kazini tunapaswa kuheshimu maamuzi yao
Ina nini movie hiyo kabla sijaipakua niioneDaah nlikuwa najiuliza wamepewa kiasi gani hadi kukubali kucheza muvi ya vile
Ile ponography mkuuIna nini movie hiyo kabla sijaipakua niione
Kumbe ndio story yake ipo hivyo? Hata haifai kuiona.Kwani joanah ile ni series maana mimi nilidhani ni movie na inaisha mfalme anapigana na mlinzi wake mpaka wanauana au kuna series yake?
Si ni ile movie mfalme alikuwa analiwa na mlinzi wake then alipooa akawa anashindwa mlala mkewe wakati jamii inahitaji mfalme apate mtoto akaamua amuombe mlinzi amsaidie kumbe mlinzi na mke wa mfalme wakanogewa huduma akapunguza kwa mfalme akawa anamshughulikia malkia mfalme akaanza pata wivu?